pamoja Santa
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 1,108
- 1,599
Sasa hivi kozi ni mwaka kwa hiyo we Anza kuhesabia mwezi walioingia then zidisha mara kumi na mbiliWaliojiunga na Mafunzo mwaka huu 2025 wanamaliza Kozi lini? Maana miezi siku zinaenda Sana
Sasa hivi kozi ni mwaka kwa hiyo we Anza kuhesabia mwezi walioingia then zidisha mara kumi na mbiliWaliojiunga na Mafunzo mwaka huu 2025 wanamaliza Kozi lini? Maana miezi siku zinaenda Sana
Sio mbaya kwa maisha yetu ya kibongo1.6+ million hii ni pamoja na posho zake pia huyu ni ana bachelor ya kawaida manake kama atakuwa na I.T au MD itakuwa zaidi ya hapo au kama atakuwa na kitengo pia itakuwa zaidi ya hapo
Maisha hayana usawa ..hata huyo ofisa wa TRA kuna idara zinamzidi tu vzuriYaani posho na mshahara ndio 1.6m, hii ni posho ya extraduty ya ofisa wa tra
Chache sana hapa hazizidi 5 hapa Tanzania, like tasac,tcra,Maisha hayana usawa ..hata huyo ofisa wa TRA kuna idara zinamzidi tu vzuri
Unazijua posho za chamwino chifuChache sana hapa hazizidi 5 hapa Tanzania, like tasac,tcra,
Umesoma nilichoandika? Nimesema hazizidi 5 na nikakupa mfano kama tasac , tcraUnazijua posho za chamwino chifu
Shemeji yenu yupo uko nadhani akitoka atakuwa ameshaolewa tayariSasa hivi kozi ni mwaka kwa hiyo we Anza kuhesabia mwezi walioingia then zidisha mara kumi na mbili
Yani hawa hata kama atakuwa na mpenzi kule chuoni wakati wa kuja mkoani hapo ndo huwa wanatenganishwa kwa hiyo usiwe na hofu labda aharibikie mkoaniShemeji yenu yupo uko nadhani akitoka atakuwa ameshaolewa tayari
Hahaha kaka nikupe pole..ila kama ana akili akitoka muoeShemeji yenu yupo uko nadhani akitoka atakuwa ameshaolewa tayari
Hahaha kaka nikupe pole..ila kama ana akili akitoka muo
Kwanini tena chief, nifafanulie vizuri hapo kama nimepigwaHahaha kaka nikupe pole..ila kama ana akili akitoka muoe
Wala hata usiwazee sahivi ni kadem ka Kuruti mwenzie hapo CCP ila kakitoka wataacha ikiwa watakua wametenganishwa Mikoa(Long distance relation Never Work) kanaenda Mkoa kaliopo kanaowakuta wanaanza kukatolea Macho tenaa😂💔inabaki kwake Achague kusuka Au Kunyoaa😂😂Shemeji yenu yupo uko nadhani akitoka atakuwa ameshaolewa tayari
Unaongea nako lakini na kanasemaje ila usikape tu mimba ndani ya miaka miwili aseeKa police kangu kanamaliza mwezi wa tano najiandaa kuoa sasa karibuni wote
Hutaamini katavyokuja kukuruka😂😂Ka police kangu kanamaliza mwezi wa tano najiandaa kuoa sasa karibuni wote