Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Zaidi ya hiyo ngapi? Unajua ukisikia hizo posho wanazojisifu nazo utadhani ni hela kubwa kumbe hela yenyewe jumla inacheza bado kwenye 1M-1.9m haifiki hata 3M
Ndo ufatilie sasa jipe Quiz..! Kuhusu kulipwa na kutofika 3M ni mmekaririshwa, kitu ambacho hujui ni kuwa kwenye majeshi wanalipa kulingana na rank na elimu Inategemea ni ana cheo gani pia! Sasa ukisema mtu hafiki 3M ni ujinga mtupu
 
basi tufanye hivi Kwa maslahi (posho,salary nk) wa kwanza ni
1. POLISI
2. MAGEREZA
3. KITENGE\BAKABAKA
umeridhika
Ngoja nikuambie kitu Associate Professa humu ndani hamna mtu aliyekataa kwamba TPDF kwenye majeshi wanalipwa mishahara zaidi ya majeshi mengine na hata dunia inajua hivyo ila tunachokataa hapa ni wewe kuongeza chumvi kiasi kwamba mpaka tunashangaa humu

Pia ukija kwenye fursa yani mishindo achana na rushwa namaanisha pesa halali nje ya mishahara
PT wanongoza
TISS
JW
na kuendelea huko
 
Ndo ufatilie sasa jipe Quiz..! Kuhusu kulipwa na kutofika 3M ni mmekaririshwa, kitu ambacho hujui ni kuwa kwenye majeshi wanalipa kulingana na rank na elimu Inategemea ni ana cheo gani pia! Sasa ukisema mtu hafiki 3M ni ujinga mtupu
- hoja ya msingi ilikuwa ni kwa vyeo vya kuanzia na vinavyofanana nikatoa mfano wa nyota mbili polisi na nyota mbili ya bakabaka nani yupo juu,
-hata ukichukua SP vs nyota moja ya bakabaka nani yuko juu
 
Ngoja nikuambie kitu Associate Professa humu ndani hamna mtu aliyekataa kwamba TPDF kwenye majeshi wanalipwa mishahara zaidi ya majeshi mengine na hata dunia inajua hivyo ila tunachokataa hapa ni wewe kuongeza chumvi kiasi kwamba mpaka tunashangaa humu

Pia ukija kwenye fursa yani mishindo achana na rushwa namaanisha pesa halali nje ya mishahara
PT wanongoza
TISS
JW
na kuendelea huko
-pesa nje ya mshahara hiyo ni rushwa, kwa sababu polisi haipo kwenye taasisi zenye perdiem na vikao vingi kama TARURA,EWURA,LATRA,TANROADS,TANESCO
- kwenye mission za UN kama UNAMID,MONUSCO,MINUSCA,nk bakabaka ndio wanaenda wengi compared to majeshi yote.
 
Unaujua mshahara wa Polisi mwenye taaluma ya uRubani?
-polisi wangapi ni marubani
  • unaujua mshahara wa bakabaka ambaye ni rubani
  • hizo posho mnazolipwa bado ni ndogo, kuna mashirika ya umma posho yake moja tu inafunika kila kitu huko kwenu polisi, eg unakuta extraduty 1,500,000, housing 900,000, transport (fuel allowance)400,000, communication allowance 200,000, salary 3M
 
Mjadala ufungwe, ushakubali bakabaka\batiki wako juu kuliko majeshi yote na hicho ndio kilikuwa ndio msingi wa hoja yangu

Mjadala ufungwe, ushakubali bakabaka\batiki wako juu kuliko majeshi yote na hicho ndio kilikuwa ndio msingi wa hoja yangu
Hapana shida sio kukubali kwamba wao wanalipwa zaidi shida ni kuwa wewe unaongeza chumvi kiasi kwamba hata wao wakiona wanacheka
 
Back
Top Bottom