Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

mapenzi kweli hayana mwenyewe....watu wamefunguka mpaka huruma....japo hatuonani ila kuna kaa ukweli...polen watendwa....
 
Ujikute tu ni ww
Hshaha
Ila na wewe una kihere hereeee . Mtoto wa kizigua hips hiha kama mcheza porno
Mtoto kaenda hewani ana chura ya haja kama kasusiwa.
Au anatoka tanga.

Huyu mi dawa yake nitamchapa na ulimi kule kunako.

Mama yoyooo lakini hujanimiss?
 
Wenye wapenzi hongereni mie niliye chitiwa sina hamu and I no longer believe in true love loh I know one day I will get someone who truly love me kwa moyo. Lord bring me someone special with true love and caring
You NO longer believe in true love, yet you pray to the Lord akuletee someone special with true love!

Duh!
 
huu ni mwezi wa mapenzi
tunaomba kila mtu atoe ushuhuda wa maisha yake ya mapenzi
je upo kwenye mapenzi na mtu?
kama ni mume/mke je ni kweli unampenda mwezako kimapenzi? na yeye je anakupenda au mpo tu kwa ajili ya watoto?

mimi nipo bilabila sina anaenipenda wapo wanaonitamani tu wanile papuchi wasepe ila sijawahi kuona mtu ananipenda sidhani . na mimi nimeacha kupenda penda .
Boss wangu mimi nawewe ni masingo. Hamna namna njoo tuu tudange Wote Valentine hii
 
Umenichekesha sana. Moto ukipunguzwa hatarukaruka. Mfungukie tu
Anajua sasa. Sema analeta pozi zile za sitaki nataka. Na mie niko hoiii. Nahisi anaweza kuwa hata beb wangu kwa mahaba haya nlonayo juu yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom