goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,151
Me nampenda Lucifer



Basi kuanzia leo umu ndani na kitaan kwetu ntakuwa mpoleeee......na mdogo kaa pritonUnaweza ukawa ni wewe hata. Dunia ina mengi.
Mmh wapi..full mikausho.Najibi bwana.
Ume ongea kwa uchungu sana wacha nijitokeze tuu here i am babe am willing to give u all my love to uKuna mtu nataka nianzishe naye mahusiano tena iwe couple imara kama the bold na nifah popote alipo ukipita hapa naomba u like nina upendo wako umejaaa gunia fanya haraka kabla sjabadilisha maamuzi wewe kaka unanitesa sana moyo wang
Nakupenda hata kama una sura mbaya maneno yako tu mm yananikosha mwezio hivi hauoni tu kama nakupenda
Likes zote hizo ninazokupa haujishitukiii wewe mtu gani?
Japo ulininyima kapicha kako kwa kuogopa eti una sura mbaya
Aliyekwambia mm napenda handsome nan mm napenda mtu anayeshuka madini
Hebu acha kunitesa mtoto wa mweziooo wewe kaka jaman
Wacha nilie tu hakuna namna
Jaman Nataman nikupe nafasi ila Nampenda yeyeUme ongea kwa uchungu sana wacha nijitokeze tuu here i am babe am willing to give u all my love to u
Hmmm safari njema mamiiJaman Nataman nikupe nafasi ila Nampenda yeye
Asanteee sanaHmmm safari njema mamii
Hao wote wakichizika kwako utakuwa na kesi ya kujibuNakutumia pm. Wako watatu![]()
Hao wote wakichizika kwako utakuwa na kesi ya kujibu





sasa si nawapenda wote jamani.Duuuuu!!!!!Ndio ni wewe. Kwanini hunitaki eeeh? Kwani mi kosa langu kuwa hivi? Au mpaka nikuanzishie thread niseme ninavyokuzimikia halafu we unaogopa mie sio type yako?
Itakuwa tafrani humu jfsasa si nawapenda wote jamani.
Kuna MTU anakumendea humu Kanifuata inbox eti nimuunganishie Kwako!Utani tuu.

Mlete mlete ila kama hana hela stakiKuna MTU anakumendea humu Kanifuata inbox eti nimuunganishie Kwako!
Natafakari Sijui nimuunganishie,nimpotezee Au Nifanye Mwenyewe.....![]()
![]()
Waatajua wenyeweItakuwa tafrani humu jf
Ana Hela ila wanawake ninaowafahamu wanamkimbia Sijui Kwanini!Mlete mlete ila kama hana hela staki
