Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Shost Miss Natafuta mie nimekufa na kuoza kwenye penzi la mwendesha BODABODA yaani yuko vizuri sana, anajua mambo si kawaida najiona kama niko pepo fulani. Hata harufu ya koti lake chafu siisikii. Acheni jamani bodaboda wako njema. Nikipanda "usafiri" wake huwa namtekenya tekenya.
Badaboda man anakubeba. Hadi kwenye picha hapo?
 
Shost Miss Natafuta mie nimekufa na kuoza kwenye penzi la mwendesha BODABODA yaani yuko vizuri sana, anajua mambo si kawaida najiona kama niko pepo fulani. Hata harufu ya koti lake chafu siisikii. Acheni jamani bodaboda wako njema. Nikipanda "usafiri" wake huwa namtekenya tekenya.
Badaboda man anakubeba. Hadi kwenye picha hapo?
 
Shost Miss Natafuta mie nimekufa na kuoza kwenye penzi la mwendesha BODABODA yaani yuko vizuri sana, anajua mambo si kawaida najiona kama niko pepo fulani. Hata harufu ya koti lake chafu siisikii. Acheni jamani bodaboda wako njema. Nikipanda "usafiri" wake huwa namtekenya tekenya.
Badaboda man anakubeba. Hadi kwenye picha hapo?
 
huu ni mwezi wa mapenzi
tunaomba kila mtu atoe ushuhuda wa maisha yake ya mapenzi
je upo kwenye mapenzi na mtu?
kama ni mume/mke je ni kweli unampenda mwezako kimapenzi? na yeye je anakupenda au mpo tu kwa ajili ya watoto?

mimi nipo bilabila sina anaenipenda wapo wanaonitamani tu wanile papuchi wasepe ila sijawahi kuona mtu ananipenda sidhani . na mimi nimeacha kupenda penda .

Ahahahahahaha
 
huu ni mwezi wa mapenzi
tunaomba kila mtu atoe ushuhuda wa maisha yake ya mapenzi
je upo kwenye mapenzi na mtu?
kama ni mume/mke je ni kweli unampenda mwezako kimapenzi? na yeye je anakupenda au mpo tu kwa ajili ya watoto?

mimi nipo bilabila sina anaenipenda wapo wanaonitamani tu wanile papuchi wasepe ila sijawahi kuona mtu ananipenda sidhani . na mimi nimeacha kupenda penda .

Ahahaha usiache kupenda miss natafuta HIYO SIO DAWA ANGALIA UNAKOSEA WAPI WATU WANAFANYAGA NINI. TO START A RELATIONSHIP IS EASY BUT VERY HARD TO BE IN IT . Elewa kuwa mapenzi yanaRUN DUNIA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom