Mike dee
Senior Member
- Oct 18, 2016
- 104
- 91
Oooh!!! Kwani hujala??? Fanya mpango ule basi.Ambavyo nilitamani nikeshe humu leo ila njaa itanikimbiza mapema.
Oooh!!! Kwani hujala??? Fanya mpango ule basi.Ambavyo nilitamani nikeshe humu leo ila njaa itanikimbiza mapema.
sawaaa...mi nacheki tuu mwisho wa siku ni kufurahia tu maisha...life goes on...kuna uongo na kweli humo humo.
Diet my dear. Njaa ya leo naona ni balaa. Nilitaka kutoka ila nimeghairi naona nikitoka nitakula.Oooh!!! Kwani hujala??? Fanya mpango ule basi.
Kama Connor tu Hivi hajapita Hapa leounampenda mwanaume wa dizain gani
Hahaha kuna kitu nine note....Nimemwambia sana hanielewi sana sana nimeona anaflirt na mtu kwenye hii post![]()
Hahahahaa.Hahaha kuna kitu nine note....
From U....
Inaonekana wewe ni Mtamu sana....(joking)na Kuna ka uwezekano Hujapata wa Kukukuna perpendicular to your needs/desire.
All in all!
U like to enjoy the friendship!and Up to date Events! Live long Member!
ahahahaa yule mzee wa rubbish auKama Connor tu Hivi hajapita Hapa leo
Pesa mingi hivyo labda kama unaondoka nayomiss mm nakupenda....will u be my valentine ? ila uwezo hyatt sina.. 22.4m per night hapana aise papuchi inipite tu.
Karibu tena na tenaaInshallah
Mimi nina mke nampenda sana ila nikikupata hata wewe ntakupenda pia maana natafuta mke wa pili sasa hivi. Ninaahidi nitawapenda wotehuu ni mwezi wa mapenzi
tunaomba kila mtu atoe ushuhuda wa maisha yake ya mapenzi
je upo kwenye mapenzi na mtu?
kama ni mume/mke je ni kweli unampenda mwezako kimapenzi? na yeye je anakupenda au mpo tu kwa ajili ya watoto?
mimi nipo bilabila sina anaenipenda wapo wanaonitamani tu wanile papuchi wasepe ila sijawahi kuona mtu ananipenda sidhani . na mimi nimeacha kupenda penda .
Ilikuaje mkuu?Leoo nusu nikalalee Central kisaa mapenzii
Hongeramie namshukuru Mungu, nimepata mke mwenye vigezo vyote, tena yupo humu jamii forum,
Ewaaa...Ngoj nitakufata huko private
Yes niunganishe basiahahahaa yule mzee wa rubbish au
ahahahaa oke dina hujanijibuuYes niunganishe basi
Umenichekesha sana. Moto ukipunguzwa hatarukaruka. Mfungukie tu Mi bwana kuna memba humu nampenda sana tatizo anaruka ruka kama maharage. Embu nisaidie nimfanyaje?