Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Yaani unamsikiliza huyo Vale?

Mwenzio anataka uachane na mimi ili abaki yeye tu.

Hakuna anayeweza kustahmili competition na saba mara sabini😀

Stuka.......
Hahahahaaa. Basi ntavumilia tu bby hata ukiniumiza nitashikana hivyo hivyo.
 
huu ni mwezi wa mapenzi
tunaomba kila mtu atoe ushuhuda wa maisha yake ya mapenzi
je upo kwenye mapenzi na mtu?
kama ni mume/mke je ni kweli unampenda mwezako kimapenzi? na yeye je anakupenda au mpo tu kwa ajili ya watoto?

mimi nipo bilabila sina anaenipenda wapo wanaonitamani tu wanile papuchi wasepe ila sijawahi kuona mtu ananipenda sidhani . na mimi nimeacha kupenda penda .
nimejitolea mimi kukupenda nakuahidi sitokula papuchi yako hadi pale utakapo nipa wewe mwenyewe
 
Hshaha
Ila na wewe una kihere hereeee . Mtoto wa kizigua hips hiha kama mcheza porno
Mtoto kaenda hewani ana chura ya haja kama kasusiwa.
Au anatoka tanga.

Huyu mi dawa yake nitamchapa na ulimi kule kunako.

Mama yoyooo lakini hujanimiss?
. Umeniona api na uongo wako.
 
Ndio ni wewe. Kwanini hunitaki eeeh? Kwani mi kosa langu kuwa hivi? Au mpaka nikuanzishie thread niseme ninavyokuzimikia halafu we unaogopa mie sio type yako?
achana naye mshamba huyo njoo kwangu mtoto wa kiluguru nikupe mapenzi moto moto hadi umeforget aliye unlock the lock
 
mimi mpole sana, na muaminifu, sema kila nnaekutana nae yupo kwa ajili ya kitu, na mwishoni huwa naachwa kwa kudhalilishwa sana, naweka maisha yangu sawa najua MUNGU atanijalia mwanamke atakaenielewa na tukafanya jambo maishani
 
mimi mpole sana, na muaminifu, sema kila nnaekutana nae yupo kwa ajili ya kitu, na mwishoni huwa naachwa kwa kudhalilishwa sana, naweka maisha yangu sawa najua MUNGU atanijalia mwanamke atakaenielewa na tukafanya jambo maishani
hii comment yako imekaa kihuruma huruma ili wanawake wa humu wa kuonee huruma wakutunuku papuchi ndani ya valentine hii
 
Sina mpenzi ila wanaonipenda kwa dhati wapo na wanaotaka kula papuchi wako wengi zaidi. Sijakata tamaa ya kupenda nasubiria nipate mwingine nimpende hata akatokea mtu nikamuelewa nitampa papuchi kiroho safi.
We mwenyewe hata PM hujibu sasa tuta yajenga vipi
 
mimi mpole sana, na muaminifu, sema kila nnaekutana nae yupo kwa ajili ya kitu, na mwishoni huwa naachwa kwa kudhalilishwa sana, naweka maisha yangu sawa najua MUNGU atanijalia mwanamke atakaenielewa na tukafanya jambo maishani
Amiin
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom