Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,029
- 52,507
- Thread starter
- #81
Sitaki bnaMiss natafuta twende Zanzibar Valentine hii please?
Sitaki bnaMiss natafuta twende Zanzibar Valentine hii please?
Si mahari hyolaki 5 kwa show nzima
ha ha ha, alafu ubaya valentine ndiyo jumatano ya majivu (ash Wednesday the beginning of lent)Si mahari hyo
Basi tufanye reservation hapa hapa mjini?Sitaki bna
Mwifwa rafik angu jiongeze apaKuna mtu nataka nianzishe naye mahusiano tena iwe couple imara kama the bold na nifah popote alipo ukipita hapa naomba u like nina upendo wako umejaaa gunia fanya haraka kabla sjabadilisha maamuzi wewe kaka unanitesa sana moyo wang
Nakupenda hata kama una sura mbaya maneno yako tu mm yananikosha mwezio hivi hauoni tu kama nakupenda
Likes zote hizo ninazokupa haujishitukiii wewe mtu gani?
Japo ulininyima kapicha kako kwa kuogopa eti una sura mbaya
Aliyekwambia mm napenda handsome nan mm napenda mtu anayeshuka madini
Hebu acha kunitesa mtoto wa mweziooo wewe kaka jaman
Wacha nilie tu hakuna namna
Bora wewe umemtaja kabisa atajiongezaMwifwa rafik angu jiongeze apa
Nisubiri hapohapo nakujaNjoo nikupende


.
️
️
️Rrrondo wewe mtaje nikuombee msamahaMy best Valentine's for the last three years ilikuwa na mdada niliekutana nae humu JF, kwenye thread kama hii. Kiutani tu nilisema im single for that day na yeye akasema yuko single tutumie hio siku pamoja. It was amazing, siku hio nilienda kumchukua kwao, maeneo yale mnaita ya ki-sure, Dar hii eneo hilo lipo top 3! Nimeibuka na ki-corolla geti kufunguliwa kumejaa ndinga za hatari hizo balaa! Mtoto wa watu wala hana makuu, kaingia hao tukaenda dinner. Aisee ilikuwa kama tumefahamiana miaka zaidi ya 20 iliopita kwasababu kumbe tulikaa mitaa fulani pamoja enzi hizo.
Huyu dada alinielewa sana sema ndio hivyo im sorry to admit niliharibu,na dada was too smart alikuwa anaweza kusoma mazingira. Allin all popote ulipo K you are amazing.
Mbarikiwe sanaNimekutana na mmasai wangu tumependana sana miaka inakatika milima na mabonde tunapanda na kushuka hadi kuporomoka. Tumewahi kutenganishwa na mito ya ghafla nyakati za mvua ila mahaba daima yalijenga daraja tukavuka, mapenzi ya dhati yalijaza nguvu mioyo yetu tukapanda milima na kushuka bondeni salama hata kwenye kuporomoka katika mabonde tulipata majeraha na maumivu lakini mahaba yetu yalifanya ahueni na tukashikana tena. Nampenda mmasai wangu nae ananipenda sana tunaelewana tunafahamiana tunajuana tumeshibana na kujazana mioyoni.
Wee mmasai wangu najua upo huku na utasoma maneno ya moyo wangu siijui ID yako ila waijua yangu.
Nakupenda mno nakupenda ulivyo kamili kila idara sijawahi kulalamika nje wala ndani. Nakupenda ulivyo smart kuanzia mavazi hadi kichwani. Siku nilipokutana na wewe dakika ile ile mioyo yetu iliangukia kwenye shimo lenye sufi ya huba. Ilikuwa ajabu kuwa wote tuliangukia humo hakika ilikuwa.
Mioyo yetu haijawahi kuumia bila kuponyana. Nakupenda mmasai wewe najua nawe wanipenda mno nimeshawahi kukutest mara zaidi ya nyingi nimegundua unanipenda zaidi ya nilivyowahi kufikiria.
Every time I look at you I'm reminded of how I can never stop loving you.️
️
️
"From Now onward I'll go by the name paracetamol cause we ant-pain are blessed(refference aspirine)To my love Asprin, the man I have chosen to love️. Thank yuo for being part of my life.
I do promise to love you more tomorrow than yesterday
,,Wachache sana wanaopendana kwa dhati nyakati hiziDuuuh wapendanao walisha pita siku hizi wapo wanao itwa uvumilivu
Watu siku hizi wanapenda pesaWachache sana wanaopendana kwa dhati nyakati hizi
jamani miss natafuta nakuzimia kila wakati daaah njoo tuu pm nitauza hata spare tair na kale Kashamba ka urith nisikukosemapenzi ya jf wakati usiku unakumbatia mto ??? hivi sky in real life una mahusiano?
Aiyaaa miss uMie nakupenda mbona !!.
Unanipenda au wanitamani?jamani miss natafuta nakuzimia kila wakati daaah njoo tuu pm nitauza hata spare tair na kale Kashamba ka urith nisikukose