Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

hahahah hii ni mara ya kwanza kwa mimi kuambiwa hivi huku jf ...o'course kama umekua brave enough to write it here in public umetisha ...sawa...lets see...I wish ungekua unamaanisha hahahahahaha
Namaanisha ndio
 
Sina mpenzi ila wanaonipenda kwa dhati wapo na wanaotaka kula papuchi wako wengi zaidi. Sijakata tamaa ya kupenda nasubiria nipate mwingine nimpende hata akatokea mtu nikamuelewa nitampa papuchi kiroho safi.
Nakupenda na nafuraha kusikia u ready to mingle.
 
Namaanisha ndio
sawa..mbuyu ulianza kama mchicha....ngoja niweke stop watch nione tutaishia....leo nimepata mzigua...i dare say this is the strangest thing ever happened to me this year...hahahahaha.We found love in a strange way..watu wanatuona lakini ujueeee...
 
Hahahahaa.. hana tofauti na kitunguu saumu eeeh
Hakyanani ningekuwa singo halafu mdogo mdogo ningeku-approach, unaonekana umejaa mapenzi weye, tatizo mtanga...nawaogopa sana nyie watu
 
sawa..mbuyu ulianza kama mchicha....ngoja niweke stop watch nione tutaishia....leo nimepata mzigua...i dare say this is the strangest thing ever happened to me this year...hahahahaha.We found love in a strange way..watu wanatuona lakini ujueeee...
Waache waone tu.
 
Hakyanani ningekuwa singo halafu mdogo mdogo ningeku-approach, unaonekana umejaa mapenzi weye, tatizo mtanga...nawaogopa sana nyie watu
Watanga ndo wazuri mkuu. Tunajua mapenzi ya moyoni mpaka ya kitandani. Ulifanywa nini Tanga mpaka utuogope?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom