Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Watanga ndo wazuri mkuu. Tunajua mapenzi ya moyoni mpaka ya kitandani. Ulifanywa nini Tanga mpaka utuogope?
"Hearsay" tu wala hakuna nilichofanywa. Nimewahi kuwa na urafiki wa mda mfupi na mtanga...and she was....wooow, huwa namkumbuka.

Ndio maana nikasema unaonekana "full of love".
 
Sina mpenzi ila wanaonipenda kwa dhati wapo na wanaotaka kula papuchi wako wengi zaidi. Sijakata tamaa ya kupenda nasubiria nipate mwingine nimpende hata akatokea mtu nikamuelewa nitampa papuchi kiroho safi.
Mzigua90 banaaaa!
Basi sawa!
 
"Hearsay" tu wala hakuna nilichofanywa. Nimewahi kuwa na urafiki wa mda mfupi na mtanga...and she was....wooow, huwa namkumbuka.

Ndio maana nikasema unaonekana "full of love".
Hahahaa. Atakua amekukumbuka na yeye huko alipo leo.
 
Mi bwana kuna memba humu nampenda sana tatizo anaruka ruka kama maharage. Embu nisaidie nimfanyaje?
Hahahaa Aiseee Eti ana ruka ruka kama Maharage....labda hajui kama unampenda,fanya Maishara kwake atajua tuu...mwambie hata Unakubali sana michango yake ataelewa somo!
 
Hahahaa Aiseee Eti ana ruka ruka kama Maharage....labda hajui kama unampenda,fanya Maishara kwake atajua tuu...mwambie hata Unakubali sana michango yake ataelewa somo!
Nimemwambia sana hanielewi sana sana nimeona anaflirt na mtu kwenye hii post
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom