Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,723
- 126,575
Mimi nimeweka tu bango ''MBELE KUNA MTEREMKO" ni juu yake kuendesha taratibu au la.Mwifwa usishauri mapenzi bana mwache atumbukie
Mimi nimeweka tu bango ''MBELE KUNA MTEREMKO" ni juu yake kuendesha taratibu au la.Mwifwa usishauri mapenzi bana mwache atumbukie
Hahahahaa. Wanajishtukiaga. Wanajiwekeaga akilini kwambwa mwanamke wa muonekano fulani anatakiwa kudate watu fulani. Upuuzi mtupuNa mahusiano yakishakuwa na mashaka mengi huwa mwisho unakua karibu!
Ila ni kwa nini wanaume wanaishi kwa mashaka sana!?
Leo nipo kwenye tafakuri nzito ya hatma ya mahusiano yangu!
Ningekuwa nakunywa leo ningekunywaaaa mpaka nilale barHahahahaa. Wanajishtukiaga. Wanajiwekeaga akilini kwambwa mwanamke wa muonekano fulani anatakiwa kudate watu fulani. Upuuzi mtupu
Mungu pekee hatoshi, kuna wakati unahitaji kuishi dunia halisi "kwa uhalisia wake".Hahaaaa kabisa kuchitiwa kunauma walah nadhani nahtaji kujifariji hata kuomba Mungu aisee.
Nakucheka Sana tu nankuna Siku sisi tutacheka sana tuUsicheke halafu
Mapenzi hayana ustrong wewe. Kanywe ulaleNingekuwa nakunywa leo ningekunywaaaa mpaka nilale bar
Ngoja nikagongee cha ukucha
Unaweza jikuta strong ila mapenzi yakakufanya kama mlenda
Mxiiiew
Sie wapenzi watazamaji tu, tunatazama tu mwaego kuna msururu unakutazama Hahaha Maana we sio kwanza humuUnataka nitumbukie halafu nilie baadae useme ulinambia nikajitia niko in love![]()
Sie wapenzi watazamaji tu, tunatazama tu mwaego kuna msururu unakutazama Hahaha Maana we sio kwanza humu
mi mwenyewe sitaki kuwa wa kwanza. Halafu unaemuhisi sie ujue. Mtu mwingine kabisa. Muache N baby wangu wa dhahabu. Huyu wa jana leo na kesho.Yaani unashindwa kuaga kibamia kabisa? Si ujaribu zingine?Mie hata sijielewi
Sielewi kama niliye naye nampenda au nipo tu.
Kuna saa najihisi kumove on, but I love his dick![]()
.
Kuishi na mtu asiyekuamini ni mtihani sana.
Utanitajia pm shogaa,, ila ushauri sikuoni upoje kwanza yaliyomo unaweza bahatisha mwaya
Silipendi hili swali aseeehunanipendea nini?
Pole sana wanaume pasua kichwa sanaMnoooo. Mwenyewe ex wangu nilikua nampendea jinsi tunaconnect when we make love. Ndo mwanaume ambae nakua nae huru on bed. Ila alikua haniamini kabisa na ni kwa sababu ndugu zake na marafiki zake walikua wanamwambia haniwezi na yeye alikua anajua mwanzoni hawezi kuwa na mimi sababu hawez kujua kama naweza mpenda mtu kama yeye. Sema mie mwenzie ndo nilikolea yeye sasa anajua ntamuacha at any time t. Basi bwana aende tu salama ntapata mwingine ntampenda zaidi yake
We nae kwa kumtaja Huyo hata hahusiki Hapa wenzio tushagaywa kwanza unamvyotaja unaleta mengine![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mi mwenyewe sitaki kuwa wa kwanza. Halafu unaemuhisi sie ujue. Mtu mwingine kabisa. Muache N baby wangu wa dhahabu. Huyu wa jana leo na kesho.
Tushabahatishana ivoo. Hata ikishindwa kufanya kazi trust me tutakua hivi hivi. Ndo maana nakwambia huyu wa jana leo na kesho. Sema sasa huyu sio N kabisa kabisa. Mimi na N ni zaidi ya hivi ndo maana hatuwezi kudate wala kuachanaUtanitajia pm shogaa,, ila ushauri sikuoni upoje kwanza yaliyomo unaweza bahatisha mwaya




Ihihiii N huyu naemjua Mimi au?Tushabahatishana ivoo. Hata ikishindwa kufanya kazi trust me tutakua hivi hivi. Ndo maana nakwambia huyu wa jana leo na kesho. Sema sasa huyu sio N kabisa kabisa. Mimi na N ni zaidi ya hivi ndo maana hatuwezi kudate wala kuachana![]()
Weee. Sikutajii pm kwanza hata huwa hachat sana.Utanitajia pm shogaa,, ila ushauri sikuoni upoje kwanza yaliyomo unaweza bahatisha mwaya


Nimepoa mpenzi saaa hiv naishi kwa uhuru hata siwazi akijua nafanya hjv atamind.Pole sana wanaume pasua kichwa sana