Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Najitahidi kwa kadri ya uwezo wangu ili niweze kusahahu yaliyopita, lakini Mungu ni mwema!
 
huu ni mwezi wa mapenzi
tunaomba kila mtu atoe ushuhuda wa maisha yake ya mapenzi
je upo kwenye mapenzi na mtu?
kama ni mume/mke je ni kweli unampenda mwezako kimapenzi? na yeye je anakupenda au mpo tu kwa ajili ya watoto?

mimi nipo bilabila sina anaenipenda wapo wanaonitamani tu wanile papuchi wasepe ila sijawahi kuona mtu ananipenda sidhani . na mimi nimeacha kupenda penda .
Hebu tupe kipimo chako cha kumpima mtu aliyekupenda usiseme tu wanatamani papukii yako
 
Watu huwa wanashindwa kujua maana ya kupendwa au kupenda hili neno in tata sana kwa watu wote Wa kike na kiume

Jiulize unajipenda mwenyewe?

Je hujawahi kujichukia hata ck moja?
 
To love is nothing ,
To be loved is something,
To be loved by the one you love is Everything.
 
Mawazo kama haya niyawatu wenye tatizo la kisaikolojia,mapenzi nikama bahari yagawe tu kwa uhuru

Heee! makubwa unasema mapenzi ni kama bahari yagawe tu kwa uhuru??? Ungejiuliza mapenzi ni nini. Hapa tunaongelea kupenda kwa dhati... sio kweli kwamba utapenda tuuu kila mahali kwa dhati... eti kama bahari😱. Kuna tofauti ya mapenzi ya dhati na kufanya mapenzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom