Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

huu ni mwezi wa mapenzi
tunaomba kila mtu atoe ushuhuda wa maisha yake ya mapenzi
je upo kwenye mapenzi na mtu?
kama ni mume/mke je ni kweli unampenda mwezako kimapenzi? na yeye je anakupenda au mpo tu kwa ajili ya watoto?

mimi nipo bilabila sina anaenipenda wapo wanaonitamani tu wanile papuchi wasepe ila sijawahi kuona mtu ananipenda sidhani . na mimi nimeacha kupenda penda .
wengine we r just busy with our online projects, kuwafurahisha tu wale wanaopendana...
 
Ninae huyu rafiki Yangu nikipata hisia tunataftana, nikama mpenzi wangu vile ila anae wakwake na nnajua hilo. Ninampenda sana kiukweli natamani ckumoja awe wapekeangu lakini sioni dalili hizo ataivyo ninafuraha na maisha ya hivi
Kwanini usiongee nae uone na yeye anataka nini zaidi ya kutafutana? Labda na yeye anatamani muende mbele zaidi ila anaona wewee utazingua.
 
Mi bwana kuna memba humu nampenda sana tatizo anaruka ruka kama maharage. Embu nisaidie nimfanyaje?
Kuruka ruka kule kuna madhara yake, kaa chini ujitafakari na kufanya maamuzi sahihi ambayo hutojutia baadae.

Angalia pia priority ulizompendea, zingine ni anasa tu.

Upendo upo moyoni na wala sio kwa vitu alivyonavyo mtu hasa vitu vinavyoweza kutoweka muda wowote.
 
Wenye wapenzi hongereni mie niliye chitiwa sina hamu and I no longer believe in true love loh I know one day I will get someone who truly love me kwa moyo. Lord bring me someone special with true love and caring
 
Sina mpenzi ila wanaonipenda kwa dhati wapo na wanaotaka kula papuchi wako wengi zaidi. Sijakata tamaa ya kupenda nasubiria nipate mwingine nimpende hata akatokea mtu nikamuelewa nitampa papuchi kiroho safi.
Walah papuchi mi wamenitoka I feel nahtaji kupumzika kupenda
 
Wenye wapenzi hongereni mie niliye chitiwa sina hamu and I no longer believe in true love loh I know one day I will get someone who truly love me kwa moyo. Lord bring me someone special with true love and caring
Tuliochitiwa inabidi tuunde umoja wetu wa kutoana upweke
 
Kuruka ruka kule kuna madhara yake, kaa chini ujitafakari na kufanya maamuzi sahihi ambayo hutojutia baadae.

Angalia pia priority ulizompendea, zingine ni anasa tu.

Upendo upo moyoni na wala sio kwa vitu alivyonavyo mtu hasa vitu vinavyoweza kutoweka muda wowote.
Sio suala la upendo ni kwamba nimemuelewa tu. Sema huyu hafai hata kunioa hatataka niende hata dukani ataogopa nitaibwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom