Unauwezo mdogo Sana wa kufikiri, aliyekwambia huyo uliyemtaja ndiye mbeligiji ni Nani??Umpeñde, usimpende, Lissu tayari ameingia kwenye historia. Sisahaugi alichokifanya tarime miaka ya nyuma. Bila ajenda za kisiasa, bila malipo, aliwatoa magerezani zaidi ya watu 400 waliobambikizwa kesi mpaka za mauaji, kisa wanapinga vitendo vya unyanyasaji wa kampuni ya uchimbaji dhahabu. Haya madhambi yalifanyika kwa msaada wa viongozi wa serikali ya ccm, enzi za Mkapa, Magufuli akiwa waziri.
Katika siasa zake, ni mtu anayejitoa tena kwa hamasa kubwa, bila kuangalia mafao binafsi.
Wakati wa uchaguzi uliovurugwa mwaka 2020, alipata sapoti ya Malaki kwa Malaki ya watanzania