cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,613
- 137,353
Lissu hajawahi kukosea, warumi binamu njoo huku
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kenda likizo atarudiHivi Amsterdam kaishia wapi?
Bora mara mia.....unajua kauli chachuu wewe zinavyoleta presha na mshtuko?
Nimemaliza kuweka sawa bandiko lako ili nikuelewe vizuri.Mkuu Hujamuelewa au Umemuelewa Lissu? Au pia utakuwa unafanya kusudi kupotosha japo unaonekana Kama unaimiza sheria ifuatwe? Alichomaanisha Lissu ni kuwa mahakama na mawakili pekee hawawezi kufanya haki ikapatikana bila watu wenyewe kuwa na nia ya kutaka haki itendeke. Nikupe mfano mdogo tu. Mtu anaweza kufungwa kwa kuonewa tu, lakini hutosikia mahakama wala wakili kupinga huo uonezi kwa kukata rufaa na mtu anaendelea kusota gerezani. Sasa hawa walio nje pamoja na mfungwa mwenyewe ndiyo wapinge kuonewa kwa mtu na kuhamasisha kukatwa kwa rufaa ili yule aliyefungwa apate haki yake. Ndicho alishomaanisha Lissu; ni wananchi kuwa na ile kiu ya kukataa kuonewa na kutaka kutendeka kwa haki ili kusukuma wanaosimamia haki kuona umuhimu wa kutenda haki. Maana hata hakuna wakili atakuruka kukutetea wakati wewe mwenyewe hauna kiu ya kupinga uonezi uliofanyiwa na hiyo mahakama iliyokufunga kwa uonezi
Pambana na hali yako
Sawa mkuu. Naomba kuuliza swali dogo la nyongeza. Huyo Amsterdam Ni mwanasheria wa Tundu Lissu. Anafuata maelekezo ya mteja wake. Sababu humpendi ni ipi?Amsterdam
Ukikubali kuendelea kuwa mpumbavu badala ya mjinga basi hutamwelewa kabisa.Lissu hajielewi anajilazimisha kumkosoa Mama Samia ili aendelee kukaa ubelgiji