Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,691
- 40,893
Mama anasemaje
na marehemu jeNi kweli si rahisi kumwelewa kichaa!
Sjui Nani tu aliyefanyaga kosa Hilo...?Risasi kibao na hakufa ila kale ka kayafa maralia tu chali
Mama anasemaje
Big brainHahahaa Tundu Lissu is on some shyt for real!
Anywho, ana hoja za msingi sana kama ukimsikiliza kwa utulivu na kwa kutumia akili na si hisia.
Intellect over emotions.
Companero
Kaaazi kwelikweliHuyu malkia uchwara na ushungi wake kaingia ofisini kwa mbwembwe kumbe sifuri tupu!
Anawalaghai watanzania kwa maneno matupu bila utekelezaji!
Mara ooh ati kodi ni za dhulma!
Kama anajua kuwa kodi ni za dhulma mbona hatuoni michakato ya kufuta sheria mbaya za kodi?
Huyu bibi kizee hakuna kitu! Ni tapeli mzoefu.
Ni Lissu hajielewi au wewe umeshindwa kumwelewa?Lissu hajielewi anajilazimisha kumkosoa Mama Samia ili aendelee kukaa ubelgiji
Samia is big brain!Big brain
Wewe hata lissu akinyea chakula huwa yupo sahihi kwakoView attachment 1778797
Ukweli mchungu, Lissu yuko sahihi.
NonsenseKumwelewa Lissu inahitaji uwe na akili kubwa sn
Mimi sitakaa nimuamini kwa sababu mpaka leo anataka nini na mwendazake keshakwendaLissu hajawahi kukosea anapombatiza mtu jina! Alifanya hivyo kwa Dikteta Uchwara, na sasa anafanya hivyo hivyo kwa Malkia mwenye kauli tamu.
Eleza ni vipi na kwanini kwani yeye kichanga au chizi ambao kuwaelewa lazima uwe mtaalamu mzamizi kwenye fani husika? Watu walimwelewa Nyerere washindwe kumuelewa Lissu kama ni mzima kiakili?Kumwelewa Lissu inahitaji uwe na akili kubwa sn
Lissu ni mzushi sana wakati mwingine.Mimi sitakaa nimuamini kwa sababu mpaka leo anataka nini na mwendazake keshakwenda
bora hata Padri Slaa na Mch Mtikila RIP waieleweka na tukawasukuma kwenye magari
ni hicho kiti cha Malkia bado anakitaka?
View attachment 1779241
Wewe umemsikiliza Tundu Lissu au umepofushwa na Ushabiki wa Buku saba za kupewaWewe hata lissu akinyea chakula huwa yupo sahihi kwako
Hafai, Lisu hafai! Amwache mama yetu atuongoze kwa amani!! Yeye anakula vya kunyonga alivyovilipia kwa gharama ya kuuza uhuru wake kwa mabeberu!!Lissu hajielewi anajilazimisha kumkosoa Mama Samia ili aendelee kukaa ubelgiji
Umpeñde, usimpende, Lissu tayari ameingia kwenye historia. Sisahaugi alichokifanya tarime miaka ya nyuma. Bila ajenda za kisiasa, bila malipo, aliwatoa magerezani zaidi ya watu 400 waliobambikizwa kesi mpaka za mauaji, kisa wanapinga vitendo vya unyanyasaji wa kampuni ya uchimbaji dhahabu. Haya madhambi yalifanyika kwa msaada wa viongozi wa serikali ya ccm, enzi za Mkapa, Magufuli akiwa waziri.Mbeligiji...?? Simpendi
Ni kweli Lissu ana uwezo mkubwa kiakili na kitaaluma. Pia ni mzungumzaji mzuri sana. Lakini unapomlinganisha na Mbowe, kumbuka hawa ni watu wawili wenye haiba tofauti. Lissu naweza kumuita hardliner, radical, wakati Mbowe ni Dove. Wote wana manufaa yao na mapungufu yao.unprecedented intelligent, convincing, charistmatic politician. unaweza kuona anavyotengeneza hoj. Siyo ile hotuba ya Mbowe ya kujisahahu kuwa yeye ni opposition.
Tunayo haba ya watu kama Lisu.
don‘t be mistaken, a good politician doesn’t mean he can be an implementer,
JPM alikuwa mfanyakazi lakini alikuwa hana Lisuism. Mama angejua angejaza hilo shimo, we don’t want cheap talk, it is about lives
Hii lugha ya Mabeberu ilizikwa Chato pamoja na hayati Magufuli. Malkia wetu wala hana hizo vibes.Hafai, Lisu hafai! Amwache mama yetu atuongoze kwa amani!! Yeye anakula vya kunyonga alivyovilipia kwa gharama ya kuuza uhuru wake kwa mabeberu!!
Hata ikitokea viongozi wetu wakakosea, Lisu hana moral authority ya kuwakosoa!! Kama Lisu ana ubavu awakosoe mabeberu tuone!
Umemuelewa vizuri kabsa,halafu aje kujifanya ni muumini wa demokrasia, kiufupi hatufuati upuuzi huo.Nimefuata ushauri wako nimeweka pembeni hisia.
Kwa maelezo yake ya mwisho kwenye clip hii, Lissu si muumini tena wa utawala wa sheria. Anahimiza watu wadai haki zao mitaani kwa nguvu. Kwa kuonyesha msisitizo wa hoja yake hiyo ya hatari ametumia mfano wa mwanaharakati Martin Luther Jr wa Marekani aliyewaandikia wenzake barua akiwa gerezani kuwa watafute haki yao wenyewe wasisubiri busara za Mahakama ya nchi hiyo.
Kwa maelezo hayo, ni kweli Lissu hajawa stable kisiasa hivyo bado nadhani itakuwa hujuma kwa nchi kumuamini "mtanzania" mwenzetu huyu!