Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,430
- 4,222
Na hao wakizingua anawademuaAyatollah Zitto na chama chake cha act wasaliti wenyewe wanajiita ACT Wazalendo kimyaaaa! Busy wanatafuna pesa yao ndefu waliyokatiwa na wa kudemka.
Na hao wakizingua anawademuaAyatollah Zitto na chama chake cha act wasaliti wenyewe wanajiita ACT Wazalendo kimyaaaa! Busy wanatafuna pesa yao ndefu waliyokatiwa na wa kudemka.
Unataka Chadema wakazungumzie wapi na hao watu kama sio kwenye makongamano na mikutano.Sijawahi kuona msukule wa makengeza mbowe akiwa na akili.
Chaggadema punguzeni ubinafsi, kwamba hamtaki kuzungumza na watu isipokuwa watu ndio wanapaswa kuunga mkono hatakati zenu.
Tundu Lisu mwongo!! Anasukumiza wenzake mbele wakati yeye alikimbia kwa woga! Anyamaze. Kama anataka na yeye angekuwa pale mwanza.Makamu Mkiti wa Chadema akiongea leo kwenye Forum ya Maria Space inayoongozwa na Mwanaharakati Maria Sarungi iliyoshirikisha watu zaidi ya elfu 6 duniani kote, amesema...
Hata makaburu walitumia dola lakini yaliwashinda.Haya ndo madhara ya mama kucheka na nyani,na bado mama asipokaza watamzingua mpaka atachutama.
Wakati wa vita vya Kagera kama ulikuwepo sikuwahi kumuona Nyerere kashika bunduki au akiendesha kifaru front.Tundu Lisu mwongo!! Anasukumiza wenzake mbele wakati yeye alikimbia kwa woga! Anyamaze. Kama anataka na yeye angekuwa pale mwanza.
Twitter SpacesUnataka Chadema wakazungumzie wapi na hao watu kama sio kwenye makongamano na mikutano.
Huu ujinga ambao mtu ukimchalenji, au kukataa kile anaamini halafu anakupiga Tofali huwa wanautoa wapi?Hahaha...hiko kikahaba ukikichalenji kinakubloku wafuasi M 1 kitawatoa wapi? kama CHADEMA yenyewe haina wafuasi hao Maria kawatoa wapi?
Huyo Mario mjaluo, Kigogo, na na nyumbu wote huko Twitter ni MADIKTETA ya TWITTERHuu ujinga ambao mtu ukimchalenji, au kukataa kile anaamini halafu anakupiga Tofali huwa wanautoa wapi?
Hawa ni Intruments kama sio Utensils. Hoja zipingwe kwa Hoja sio block...
Acha waje na SPACE na hizo international organs wanazojiaminisha, watashangaa.Huyo Mario mjaluo, Kigogo, na na nyumbu wote huko Twitter ni MADIKTETA ya TWITTER
Bado unaishi stone age this is digital era my friend bila mitandao hata Samia hawezi endesha nchi.Twitter Spaces
Vipi maandamano ya kukinukisha yameendaje huko Twitter 🤣Bado unaishi stone age this is digital era my friend.
Ukionekana unatoa hoja za kitopolo unapigwa tofali, ukileta matusi unakula tofali ukileta ujinga kwenye serious issue unaonyeshwa mlango wa kutokea.Huu ujinga ambao mtu ukimchalenji, au kukataa kile anaamini halafu anakupiga Tofali huwa wanautoa wapi? Hawa ni Intruments kama sio Utensils. Hoja zipingwe kwa Hoja sio block...
Ayatollah Zitto na chama chake cha act wasaliti wenyewe wanajiita ACT Wazalendo kimyaaaa! Busy wanatafuna pesa yao ndefu waliyokatiwa na wa kudemka.
Back to the topic nikikuuliza mmefikia wapi na utetezi wa legacy ya mwendazake utasemaje.Vipi maandamano ya kukinukisha yameendaje huko Twitter 🤣
Nini maana ya Haki za mtu Kikatiba. Ccm wanatumia mbinu za kipunguani hizo hizo.Ukionekana unatoa hoja za kitopolo unapigwa tofali, ukileta matusi unakula tofali ukileta ujinga kwenye serious issue unaonyeshwa mlango wa kutokea.
Legacy sasa hivi makengeza ameshaamshwa na CHA ASUBUHI kutola kwa Sabaya.Back to the topic nikikuuliza mmefikia wapi na utetezi wa legacy ya mwendazake utasemaje.
Kutoingia barabarani sio kuwa tatizo halipo.Tundu Lissu hawaelewi vizuri Watanzania au anajipa matumaini hewa. Kama watu hawajaingia mtaani kwa kuchukizwa na tozo kwenye miamala, leo waingie mtaani kisa viongozi wa Chadema wamekamatwa?
Kama unasubiri mimi hadi nifanye nini ndipo nawe utake katiba kifupi hujitambui na hujui umuhimu wa katiba.Nini maana ya Haki za mtu Kikatiba. Ccm wanatumia mbinu za kipunguani hizo hizo.
Unataka Katiba mpya kwao ni upuuzi uliwe kichwa.
Kama na wewe ni miongoni mwa watu wa aina hiyo hakuna haja ya Katiba Mpya