RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,908
Mama anakila sabab ya kuongoza kama jpm nchi hii inahitaji kuongoza kwa ungangali ukichekea watu ambao wanajuwa wanapopatia hela utashindwa kuongoza nchi! Jpm alikataa ujinga na tabasam za kubembelezana siasa 2020 ikawa hvo tena ikafanyika uchaguzi mkuu!