Je, kweli ni CHADEMA na CCM pekee ndio zimeunda Timu ya Wataalamu kuandaa mchakato wa Katiba Mpya kama alivyosema Tundu Lissu?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,998
142,025
Tunavyofahamu sisi Wananchi ni kwamba mapendekezo ya Katiba mpya yako kwenye Ripoti ya Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla

Kwamba, Vyama vyote vya Siasa isipokuwa Chadema ndio viliandaa Ripoti hiyo

Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kupitia kipindi cha Dakika 45 ITV amesema kwa sasa imeundwa Timu ya Wataalamu kutoka Chadema na CCM ambayo inashughulikia mchakato wote wa Katiba Mpya.
Alipoulizwa na mtangazaji mh Middle wa ITV kwanini Vyama vingine havimo Lisu akasema vikiomba vitafikiriwa

Swali langu ni dogo tu; Je ni kweli kuna hii Timu ya Wataalamu wa CCM na Chadema? Imeundwa na nani? Lini?

Sabato njema!
 
Tunavyofahamu sisi Wananchi ni kwamba mapendekezo ya Katiba mpya yako kwenye Ripoti ya Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla

Kwamba, Vyama vyote vya Siasa isipokuwa Chadema ndio viliandaa Ripoti hiyo

Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kupitia kipindi cha Dakika 45 ITV amesema kwa sasa imeundwa Timu ya Wataalamu kutoka Chadema na CCM ambayo inashughulikia mchakato wote wa Katiba Mpya.
Alipoulizwa na mtangazaji mh Middle wa ITV kwanini Vyama vingine havimo Lisu akasema vikiomba vitafikiriwa

Swali langu ni dogo tu; Je ni kweli kuna hii Timu ya Wataalamu wa CCM na Chadema? Imeundwa na nani? Lini?

Sabato njema!
Umeelewa vibaya ndugu. Alichomaanisha Lissu ni ile kamati ya maridhiano ambayo inaundwa na Chadema na CCM. Rudia tena kusikiliza kwa utulivu bila mihemuko, utaelewa.
 
Umeelewa vibaya ndugu. Alichomaanisha Lissu ni ile kamati ya maridhiano ambayo inaundwa na Chadema na CCM. Rudia tena kusikiliza kwa utulivu bila mihemuko, utaelewa.
Kamati ya Maridhiano ndio Kamati ya Wataalamu wa Katiba?
 
Tunavyofahamu sisi Wananchi ni kwamba mapendekezo ya Katiba mpya yako kwenye Ripoti ya Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla

Kwamba, Vyama vyote vya Siasa isipokuwa Chadema ndio viliandaa Ripoti hiyo

Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kupitia kipindi cha Dakika 45 ITV amesema kwa sasa imeundwa Timu ya Wataalamu kutoka Chadema na CCM ambayo inashughulikia mchakato wote wa Katiba Mpya.
Alipoulizwa na mtangazaji mh Middle wa ITV kwanini Vyama vingine havimo Lisu akasema vikiomba vitafikiriwa

Swali langu ni dogo tu; Je ni kweli kuna hii Timu ya Wataalamu wa CCM na Chadema? Imeundwa na nani? Lini?

Sabato njema!
Kwa heshima uliyojijengea humu hili linakushindaje kuelewa? Lissu alichoongea ni mwendelezo wa kilichoanza wakati wa maridhiano. Kulikuwa na timu Mkandala Vs CCM na timu Mbowe Vs CCM. Kwa hiyo timu Mbowe imeacha wataalamu wake wakiendelea na CCM upande wa Katiba.
 
Kwa heshima uliyojijengea humu hili linakushindaje kuelewa? Lissu alichoongea ni mwendelezo wa kilichoanza wakati wa maridhiano. Kulikuwa na timu Mkandala Vs CCM na timu Mbowe Vs CCM. Kwa hiyo timu Mbowe imeacha wataalamu wake wakiendelea na CCM upande wa Katiba.
Mbowe anaridhiana na Komredi Kinana na mchakato unaendelea, au hawa wawili ndio Wataalamu wenyewe?
 
Tunavyofahamu sisi Wananchi ni kwamba mapendekezo ya Katiba mpya yako kwenye Ripoti ya Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla

Kwamba, Vyama vyote vya Siasa isipokuwa Chadema ndio viliandaa Ripoti hiyo

Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kupitia kipindi cha Dakika 45 ITV amesema kwa sasa imeundwa Timu ya Wataalamu kutoka Chadema na CCM ambayo inashughulikia mchakato wote wa Katiba Mpya.
Alipoulizwa na mtangazaji mh Middle wa ITV kwanini Vyama vingine havimo Lisu akasema vikiomba vitafikiriwa

Swali langu ni dogo tu; Je ni kweli kuna hii Timu ya Wataalamu wa CCM na Chadema? Imeundwa na nani? Lini?

Sabato njema!
PUNGUZA KIHEREHERE mtoto wa kiume
Lissu kazungumzia suala la MARIDHIANO kuwa ni Ccm na Chadema Mwanaume hapendezi kuwa na Kiherehere
 
Tunavyofahamu sisi Wananchi ni kwamba mapendekezo ya Katiba mpya yako kwenye Ripoti ya Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla

Kwamba, Vyama vyote vya Siasa isipokuwa Chadema ndio viliandaa Ripoti hiyo

Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kupitia kipindi cha Dakika 45 ITV amesema kwa sasa imeundwa Timu ya Wataalamu kutoka Chadema na CCM ambayo inashughulikia mchakato wote wa Katiba Mpya.
Alipoulizwa na mtangazaji mh Middle wa ITV kwanini Vyama vingine havimo Lisu akasema vikiomba vitafikiriwa

Swali langu ni dogo tu; Je ni kweli kuna hii Timu ya Wataalamu wa CCM na Chadema? Imeundwa na nani? Lini?

Sabato njema!
kamati hiyo ni ya maridhiano siyo ya katiba. hata kama ni ya katiba itakuwa hivyo maana ukiondoa cdm upande wa upinzani, vyama vingine vyote ni watoto wa ccm. Mazungumzo ya wakubwa watoto huwa hawaruhusiwi kuhudhuria.
 
Tunavyofahamu sisi Wananchi ni kwamba mapendekezo ya Katiba mpya yako kwenye Ripoti ya Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla

Kwamba, Vyama vyote vya Siasa isipokuwa Chadema ndio viliandaa Ripoti hiyo

Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kupitia kipindi cha Dakika 45 ITV amesema kwa sasa imeundwa Timu ya Wataalamu kutoka Chadema na CCM ambayo inashughulikia mchakato wote wa Katiba Mpya.
Alipoulizwa na mtangazaji mh Middle wa ITV kwanini Vyama vingine havimo Lisu akasema vikiomba vitafikiriwa

Swali langu ni dogo tu; Je ni kweli kuna hii Timu ya Wataalamu wa CCM na Chadema? Imeundwa na nani? Lini?

Sabato njema!
Hicho kikosi kazi cha Mkandala kilichokuwa na yule sheikh ubwabwa ni cha kimagumashi na feki. Maridhiano yamepatikana baina ya CHADEMA na CCM na mchakato wa kuanza majadiliano utasimamiwa na vyama hivyo wengine watajiunga kama watapenda.
 
Kikosi kaz my foot!!
Tunavyofahamu sisi Wananchi ni kwamba mapendekezo ya Katiba mpya yako kwenye Ripoti ya Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla

Kwamba, Vyama vyote vya Siasa isipokuwa Chadema ndio viliandaa Ripoti hiyo

Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kupitia kipindi cha Dakika 45 ITV amesema kwa sasa imeundwa Timu ya Wataalamu kutoka Chadema na CCM ambayo inashughulikia mchakato wote wa Katiba Mpya.
Alipoulizwa na mtangazaji mh Middle wa ITV kwanini Vyama vingine havimo Lisu akasema vikiomba vitafikiriwa

Swali langu ni dogo tu; Je ni kweli kuna hii Timu ya Wataalamu wa CCM na Chadema? Imeundwa na nani? Lini?

Sabato njema!
 
Back
Top Bottom