Tundu Lissu anastahili kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA lakini siyo Rais wa Tanzania

Nimefuatilia kwa karibu harakati za wakili msomi Tundu Lisu tokea aingie nchini kutoka Ubelgiji hadi sasa anapogombea urais wa JMT.

Kiukweli ingependeza sana kama Tundu Lisu angekuwa ndiye mwenyekiti wa Chadema kwa sababu anamzidi sana Freeman Mbowe kimaarifa na kwa kukubalika.

Lakini kwa nafasi ya Rais wa Tanzania bado hatoshi, angejiandaa kwanza labda kwa 2030 anaweza kuwa amejijengea uwezo.

Itoshe tu kusema kwa urais TAL anapaswa kusubiri.

Maendeleo hayana vyama!
Boss pole sana,huyu Lisu amebadilisha hali ya hewa kwa kweli,naona sa hivi hubanduki mtandaoni kabisa..
 
Huu ni wakati wa kufanya maamuzi, nyuma usibaki mlengwa unayefanya makuzi...

Natoa hoja ili jamii ijadili, tundu lissu atabaki kua rahisi mahili
Kweli kabisa, rahisi mahili na Magufuli atabaki kuwa Rais mahiri.
 
Nimefuatilia kwa karibu harakati za wakili msomi Tundu Lisu tokea aingie nchini kutoka Ubelgiji hadi sasa anapogombea urais wa JMT.

Kiukweli ingependeza sana kama Tundu Lisu angekuwa ndiye mwenyekiti wa Chadema kwa sababu anamzidi sana Freeman Mbowe kimaarifa na kwa kukubalika.

Lakini kwa nafasi ya Rais wa Tanzania bado hatoshi, angejiandaa kwanza labda kwa 2030 anaweza kuwa amejijengea uwezo.

Itoshe tu kusema kwa urais TAL anapaswa kusubiri.

Maendeleo hayana vyama!
Siku hizi umekuwa mpanga nafasi za kazi?
Naamini unayakumbuka maneno ya Babu yako marehemu Kingunge juu ya nafasi iliyomfaa na kumpendeza huyo mwenyekiti wako! Nalo Hilo unalisemeaje?
 
Nimefuatilia kwa karibu harakati za wakili msomi Tundu Lisu tokea aingie nchini kutoka Ubelgiji hadi sasa anapogombea urais wa JMT.

Kiukweli ingependeza sana kama Tundu Lisu angekuwa ndiye mwenyekiti wa Chadema kwa sababu anamzidi sana Freeman Mbowe kimaarifa na kwa kukubalika.

Lakini kwa nafasi ya Rais wa Tanzania bado hatoshi, angejiandaa kwanza labda kwa 2030 anaweza kuwa amejijengea uwezo.

Itoshe tu kusema kwa urais TAL anapaswa kusubiri.

Maendeleo hayana vyama!


Ndiyo lesson ya Lumumba leo baada kupata sahani ya pilau na soda na paketi ya sigara pamoja na buku saba???

Naona kitambi kiko juu hapo , sasa bora kakojowe ukalale
 
Wewe na unao washabikiwa hawawezi hata kuchaguliwa tuu.

Sina hakika kuhusu wewe, lakini nitakufahamisha kuwa kuna asilimia kubwa sana ya vilaza humu na sijui ila inawezekana na wewe ni mmoja wao.

Kuna njia halisi ya kufikiri na kupata muelekeo. Ukisema chochote kile unatakiwa ukisubject kinacho semwa kwa formular ifuatayo: Hypothesis analysis na synthesis analysis. Baada ya kupitisha hoja katika tanuri la kufikiria kisayansi unamalizia na Critical path analysis.

Ukiweza kutumia njia hiyo katika kila tatizo linalo kukabili mara zote utakuwa na majawabu katika tatizo lililopo.

Kwa hiyo Magufuli akisema kitu, kipitishe katika formular hiyo.

Akisema kitu Lissu, kipitishe katika formular hiyo.

Utakuwa sahihi hata kama unabaki pekee yako, bado utakuwa sahihi.

KAMA WASOMI MPO HUMU NDANI JF CHANGIENI TUPUNGUZE VILAZA.
NA USHABIKI MAANDAZI. NCHI NA KWETU SOTE.

OGOPA SANA SANA WAJINGA HASA WAKIWA WENGI, HUWATAWALA WEREVU NA HASA WEREVU MKIWA WACHACHE.
 
Ndiyo lesson ya Lumumba leo baada kupata sahani ya pilau na soda na paketi ya sigara pamoja na buku saba???

Naona kitambi kiko juu hapo , sasa bora kakojowe ukalale
Hahahaaaa.......Katambi yuko Shinyanga kwa manka Salome Makamba!
 
CCM imewatesa hadi watumishi wa umma kwa miaka hii 5 bila kuwa na huruma.
 
Mh.Lissu hatoshi kwa vigezo gani labda?Urais ni Haki ya kila Raia wa Tanzania,mwenye umri stahili,mwenye akili timamu pamoja na sifa zingine kama Elimu,Uadilifu,Uwajibikaji,Uzingativu na Kufuata Katiba ya Wananchi.Kama huyu wa sasa na waliotangulia walitosha,anashindwaje Mh.Lissu?
Sasa kama hizi ni moja wapo ya sifa basi jamaa yenu Lissu anazikosa, kama ya utimamu.
 
Nimefuatilia kwa karibu harakati za wakili msomi Tundu Lisu tokea aingie nchini kutoka Ubelgiji hadi sasa anapogombea urais wa JMT.

Kiukweli ingependeza sana kama Tundu Lisu angekuwa ndiye mwenyekiti wa CHADEMA kwa sababu anamzidi sana Freeman Mbowe kimaarifa na kwa kukubalika.

Lakini kwa nafasi ya Rais wa Tanzania bado hatoshi, angejiandaa kwanza labda kwa 2030 anaweza kuwa amejijengea uwezo.

Itoshe tu kusema kwa urais TAL anapaswa kusubiri.

Maendeleo hayana vyama!
Usituletee kisirani
 
Uzi mzuri ila malofa na yasiyo na mwelekeo wa maisha/wakosefu wa ajira watakavokushambulia!! yalivo mengi nyuma ya keybord itoshe tu kusema..

Aibu ni 28
 
Pamoja na ukweli kwamba ndugu yetu Tundu Lisu alipatwa na majanga makubwa na ya kusikitisha sana pale aliposhambuliwa na majambazi lakini hiyo siyo sababu ya kupanda roho ya kisasi ndani ya moyo wake.

Inampasa kujifunza kwa wanasiasa wakongwe kama mzee Lowassa, Maalim Seif (RIP) na hata waziri Mazrui ili awe na ngozi ngumu kama bado anatamani kubaki siasani siyo kwenye harakati.

Mtu mwenye sifa za kuwa Rais baada ya kupitishwa na NEC mwaka jana 2020 anapaswa kuwa mtu wa mfano kwa kuonyesha Upendo na kutenda mema badala ya kushabikia uovu.

Nawatakia Kwaresma Yenye Baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom