Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,411
MATAGA mmekosa kazi, mbona mlimzushia Mrema, Mbowe na Lema kifo imekuwaje mnaona hili la lissu?
Mbona hamsemi Jiwe alipokufa na Majaliwa kukataa na hakujiuzulu? mkuu kusema ameongea namarehemu na marehemu kasema tuchape kazi hiyo si slander kam unavyojibaraguza hapa?
Mbona hamsemi Jiwe alipokufa na Majaliwa kukataa na hakujiuzulu? mkuu kusema ameongea namarehemu na marehemu kasema tuchape kazi hiyo si slander kam unavyojibaraguza hapa?