Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Feb 26, 2021
949
2,865
"Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya.

"Magufuli hakuiba tusimsingizie wala hakusaini huo mkataba, Magufuli mnajua mambo yake hakuwahi kuiba.

"Umewahi kuona wapi CCM wanazunguka nchi nzima kutetea Mkataba wa bandari, kuna nini, kuna maslahi yapi ya ziada, wameacha ilani yao wameamua wafe na Mwenyekiti wao!

"Nani kama Mama, Mama gani anauza mali za familia? Mama gani anagawa cha kwetu kwa watu tusiowajua? Mama gani anakula chakula cha watoto wake?

"Kama ni mwizi tutamuita mwizi, amegawa bandari zetu kwa Waarabu, atuambie manufaa ya huu mkataba yako wapi kwenye mkataba sio kupiga maneno na hayapo kwenye mkataba."


Pia soma: Tundu Lissu: Hakuna Rais kwenye nchi hii amewahi kutufanyia kitu mbaya kama Rais Samia
 
Niliwambia zamani CHADEMA

Kumtukana Magu live jukwaani ni LAZIMA uwe umelewa kama kamanda Fulani pale furahisha.

Magufuli aliipenda Nchi hii na alikuwa MZALENDO 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Lissu kwann hukumkubali Akali akiwa hai🙏🙏🙏🙏????

Nenda Chato ukatubu, ingawa TOBA yako Si Rahisi kusikika sababu Nabii Magu, hayupo kaburini,

Yuko Mbinguni.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen.
 
Back
Top Bottom