Maya Angelou
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 1,081
- 2,487
Msaada wa nyoko !? Yaani mtu Ampige risasi 16 kwa lengo la kumuua halafu baada ya kunusurika na umauti aanze kukaa na kukusifia baada ya wewe kufa !!! Umeshawahi kuona wapi !? Ingekuwa wewe ungeweza !!? Au mnaleta unafiki wenu tu hapa
Kuna wengine mpo humu mnamponda lissu wakati mpaka dakika hii mnayo post post hapa Kuna watu walikuwa marafiki /jamaa zenu /ndugu hamuongei nao na kisa Cha kutoongea nao waweza kukuta ni kwa sababu waliwa dhulumu 500k tu au waliwachukulia wapenzi wenu !?? Je Hali ingekuwaje kama mngepigwa risasi kama alivyo fanyiwa lissu sindio mngepindua Nchi kabisa
Wataanzania ifike mahali tuache unafiki sio Jambo jema kiwango Cha unafiki kimefikia hatua kubwa Sana hii haipendezi kabisa shame on you
Shame on me uko na wazimu nini wewe!?
Hebu nitolee povu lako jf is where we dare to speak openly unashangaza ukitaka wote tuwe na same opinion
By the way huwa nawa quote watu tunao fanana maoni huwa sijisumbui kuquote watu tunaopishana nao I suggest ujifunze hilo
Anahitaji msaada according to my opinion hutaki kunya boga
Next koma kunipangia cha kuchangia humu jf hunichangii bando wala nini,mshenzi mmoja,mxeew