Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?

Uko sahihi kiongozi wangu
 
What God did to your pompous man and Lissu justifies who righteous was. Imagine 16 bullets never killed a righteous person but just a flue and an electric shock of 0.0001 voltage killed a bad man.
Unajisumbua bure kuandika maneno mazito hayo hizi takataka haziwezi kukuelewa kamwe
 
Wewe tuambie ni Mlinzi yupi kafa wa Rais? Unakwenda kwa Platform kubwa vile kusema uwongo.Ndiyo maana hawezi taja specific jina kaishia kubwabwaja tu,mwambieni aendelee na matibabu ya Akili,bado hajakaa sawa.
Muulize Lissu acha ulopolopo. Lissu aliposema kwa mara ya kwanza kuwa JPM kazima mlibisha, hili la mlinzi wake naye kutangulia mbele za haki, sio jipya, na Rais hana mlinzi mmoja. Mtafute Lissu akutajie jina kama unalihitaji!
 
Na wewe unayeamini maneno ya LISU kuwa kuna mlinzi wa magufuli amekufa na Corona.
UNAHITAJI DAKTARI WA AKILI
Na wewe unayeamini bandiko lisilo na hitimisho? Bandiko unaloliamini halina uhakika wa mhusika kwenye tuhuma, walinzi aliokuwa nao ni zaidi ya uliowatambua, usiwe mwepesi wa kuamini jambo, nenda taratibu mwisho utapata uhakika.
 
Kweli
 
Angalia how composed Mbowe na Zitto wakiwa wanajenga hoja kisha mtazame Lissu. In short Lissu katika uwanja wa siasa is only smart anapoongelea jambo ambalo unataka kulisikia ila kama upo upande tofauti nae hana uwezo kukushawishi kua upande wake.

Huwa anatamani hata akurukie akupige makwenzi, nguvu ya ushawishi hana, mbali ya Mbowe na Zitto mwingine aliyekuwa na nguvu ya hoja alikuwa Dr.Slaa.
 
Kwani mlinzi wa Rais alikuwa ni huyo tu ?!. Yeye mbona hajamtaja jina ila wewe umeleta mpaka picha !!


Odhis *
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…