Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,734
- 13,104
Kuna yule wa Mbeya akasema na yeye kapigiwa simu,Wataje wewe walinzi wa Rais wako wangapi na wangapi wako hai?
Yeye mwenyewe mlipo ambiwa kafa mlibisha na kusema yupo kajifungia anachapa kazi huku wengine wakisema Rais anawasalimia (akiwepo PM) sasa mtashindwa kubishia Mlinzi msiyemjua hata jina?