Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

Yes kuomba ni heshima kuliko kupigia magoti madhalimu wanaotaka kukuua kwa risasi!

Watu kama nyinyi Malcolm X alikuwa akiwaita HOUSE NEGROES, uko tayari kuendelea kuwa Mtumwa kwenye nyumba ya bwana mkubwa kisa tu anakulisha vizuri, hata akikushika kalio unajichekeshachekesha tu!
House Negro
 
Njaa ya Lissu na yako ni tofauti kabisa... ni vile tu unatumika kijinga bila kujua
 
Eti kuna muujza mwengine kuliko huu!
Umewah kusoma vzuri historia ya fidel castro wewee au unasema tu kisa mahaba yamekuzid
Wewe bila shaka ni kichaa na aliyekuroga keshakufa..!!
Hivi unajua maana ya KIFO au unaropoka tu? Mungu peke yake ndo anaweza kusitisha uhai wa mtu yyote ukiwemo na wewe. Usije ukashangaa wewe unatangulia na Tundu ;akaendelea kuishi hata miaka 100..!!Kama Mungu amemlinda mja wake asife kwa kupigwa risasi 38, hivi kuna muujiza mwingine mkubwa kuliko huu?

Kama Lissu hana faida yoyote hata na wewe ia huna faida yoyote hapa duniani. Kumbuka...kila mtu ameumbwa hapa duniani kwa kusudio maalumu na Muumba wake....ndiyo maana Lissu hajafa mpaka leo kwa vile kuna majukumu ambayo hajaya kamilisha na akikamilisha tu off he goes whether by NATURAL DEATH or by beaing KILLLED kama ilivyokuwa ieangwa lakini ikaishia kuwa an abortive mission...!!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lissu yuko tayari kuishi kwenye umasikini ila siyo kulamba nyayo za mtawala

Lissu ni shujaa haishi kwa kumpigia magoti mtawala

Huyu ndio Lissu nimjuaye mimi

Lissu atoe tu akaunt namba ya bank tumpe pesa za kujikimu

Pesa tutamchangia zaidi ya mshahara wa ubunge

Sent using Jamii Forums mobile app


hauchangi wewe!

wala haujawahi kumchangia
 
Dawa pekee ya kumnyamazisha Lissu huko Duniani aliko ili aachane na kuituhumu serikali yake, dawa hiyo aliyenayo ni serikali yenyewe kujishughulisha na suala la Lissu ikiwa ni pamoja na ;

1.Serikali kutoa ushahidi usio na shaka wa mtu halisi aliyehusika kumshambulia Lissu

2. Serikali kuieleza Dunia walikokuwa walinzi waliokuwa zamu kulinda nyumba za serikali wakati Lissu anashambuliwa.

3. Serikali kuieleza Dunia zilikokwenda CCTV camera baada ya Lissu kushambuliwa.

Kwa nini serikali ndo inapaswa kuwa na majibu haya? Kwa sababu ndo pekee ina mamlaka ya kutoa majibu hayo na si mwingine!!! Hayo ndiyo maswali pekee ambayo Lissu amekuwa akiyauliza kila kwenye chombo cha habari cha kimataifa anachoalikwa!!
Hahaha njaa mbaya mkuu!!
 
Kwamba kuomba msaada kwake imeku uma nini mbona nini munakamuliwa mpaka wa machinga hii hali hamna pesa mtaani munaona ni sawa tu wakati serikali ilitanganza inapesa za kutosha mkuu
 
Alitibiwa kwa msaada wa watanzania na wasamaria wema baada ya kutelekezwa na waliotaka kumuua, hao hao wasamaria wema na watanzania kwa ujumla hawatamtupa ktk hali yoyote ile. Hvyo watesi wake hamuna haja ya kufurahi ktk hili kwani Mungu wake aliemuokoa dhidi ya mauti bado yuko nae na daima hata muacha kamwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom