Huyu jamaa ataelewa tu baadae ngoja tuone huko mbele akipoteza kila kitu kuanzia ubunge mpaka mashabiki na hapo atabaki mwenyewe na familia yake wakikodoleana macho na wasijue wa kumlaum, kitakachomsaidia ni kufungua ka ofisi ka uwakili kuganga njaa.... Ni jambo la muda tu.
Over
Sent using Jamii Forums mobile app
Utapeli unao wewe unayetengeneza neno utapeli ili uzuie Tundu Lisu kuchangiwa, kwani kama Ndungai kaiba na kupora mshahara wake atatoa wapi pesa? Acha kuja na vigezo vyako vya kiwendawazimu.Ubaya ni pale anapotumia utapeli ili watu wachange - kutumia maneno kama "you can imagine hivi watashangiliaje wakisikia watoto wamefukuzwa shule!" na mengine-ni utapeli.
Reason for the decision. Kwa nini uchange?Kwani kuna ajabu gani?Ndugai tulimtibu kwa michango yetu ambazo ni kodi zetu.Tanzania inaomba misaada nje na mpaka sasa bajeti inategemea wafadhili kwa asilimia zaidi ya 45!!
Na hii wala sio kumchafua,watu walianza kumchangia toka akiwa Nairobi.Na yeye amekiri hivyo.Sina itikadi moja na Lissu,lakini nilimchangia kuanzia usafiri wa kutoka Dodoma kwenda Nairobi na mpaka matibabu.Nitaendelea kumchangia.
Kwangu,utu kwanza na itikadi baadae.Siasa na itikadi vitapita,JPM atamaliza muda wake na ataondoka,lakini utu na thamani ya uhai wa mtu vinadumu milele.Naona hapo juu watu wanamtukania mpaka mkewe,sasa mlitaka asichangiwe wakati hajapewa pesa ya matibabu?Jamani jamani hizi siasa za awamu hii,ni chuki tupuu
Watesi wa CCM wengi ni wavuta Bangi hawajui kuwa kuna Maisha baada ya ubunge wao wanajua wakimkomoa mtu kwenye ubunge wamefunga milango yote ya Maisha.Ww Ni wale waoga wa maisha, mbona sisi sio wabunge na tunaishi maisha bora tu. Hali hiyo huwa inawatisha watu wanaotegemea ajira za wanaume wenzao kama ww.
Acha tu afunuliwe madudu anayoyafanya huko, anaacha Mashamba ya alizeti yanaharibika Singida anakwenda kupinga Magoti achangiwe kodi ya Pango?TUBADILISHE SASA JUKWAA LIITWE LISSU FORUMS
Hajui maana ya utapeli huyo. Lumumba huwa hata kiswahili ni shida. Mtu anayeomba kusaidiwa kwa shida ambayo ni ya kweli hawezi kuwa tapeli, labda kama anatengeneza kitu ambacho hakipo ili kuwarubuni watu wamchangie.Utapeli unao wewe unayetengeneza neno utapeli ili uzuie Tundu Lisu kuchangiwa, kwani kama Ndungai kaiba na kupora mshahara wake atatoa wapi pesa? Acha kuja na vigezo vyako vya kiwendawazimu.
Kila Rais aliyetembelea Tanzania ameombwa misaada na magufuli mpaka wengine wanaogopa kuja ebu fikiria aliomba msaada Nchi ya kiafrika Morocco wamjengee uwanja Dodoma kasahau kuwa pesa wanayotumia kukandamiza demokrasia ingeweza kujenga viwanja kila mkoa nchini Tanzania kote na chenji kubakiMbona sisi wenyewe ni mafundi wa kutembeza bakuli huko kwa wazungu?! Tunatembeza bakuli hadi tunapewa 40% ya bajeti yetu. Kwahiyo tukifanya sisi sawa, ila akifanya mwingine kosa.



Lissu yuko tayari kuishi kwenye umasikini ila siyo kulamba nyayo za mtawalaNjaa mbaya sana, huyu ni Tundu Yule nimjuaye ndo kawa mpole hivyo wakati akiomba?
Kwani kuna ajabu gani?Ndugai tulimtibu kwa michango yetu ambazo ni kodi zetu.Tanzania inaomba misaada nje na mpaka sasa bajeti inategemea wafadhili kwa asilimia zaidi ya 45!!
Na hii wala sio kumchafua,watu walianza kumchangia toka akiwa Nairobi.Na yeye amekiri hivyo.Sina itikadi moja na Lissu,lakini nilimchangia kuanzia usafiri wa kutoka Dodoma kwenda Nairobi na mpaka matibabu.Nitaendelea kumchangia.
Kwangu,utu kwanza na itikadi baadae.Siasa na itikadi vitapita,JPM atamaliza muda wake na ataondoka,lakini utu na thamani ya uhai wa mtu vinadumu milele.Naona hapo juu watu wanamtukania mpaka mkewe,sasa mlitaka asichangiwe wakati hajapewa pesa ya matibabu?Jamani jamani hizi siasa za awamu hii,ni chuki tupuu
Kwani Lissu ni Masikini? unamshinda kwa hela? Huyo ukibaraka uko damuni, hata ungempa Mbuga ya Serengeti yote bado atakwenda kutanua domo lake huko wanakolea MashogaLissu yuko tayari kuishi kwenye umasikini ila siyo kulamba nyayo za mtawala
Lissu ni shujaa haishi kwa kumpigia magoti mtawala
Huyu ndio Lissu nimjuaye mimi
Lissu atoe tu akaunt namba ya bank tumpe pesa za kujikimu
Pesa tutamchangia zaidi ya mshahara wa ubunge
Sent using Jamii Forums mobile app