Meshe
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 375
- 470
Wengine hatuhitaji mabishano ya kiitikadi . Tunataka kumchangia Mtanzania mwenzetu!!
Leteni utaratibu tuchange!!
Haya Mkuu wa mkoa amehamasisha michango kwa Lisu.
Hatakwenye matibabu tulichanga kutoka makundi yote wakiwamo CCM na CHADEMA.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Leteni utaratibu tuchange!!
Haya Mkuu wa mkoa amehamasisha michango kwa Lisu.
Hatakwenye matibabu tulichanga kutoka makundi yote wakiwamo CCM na CHADEMA.
Sent from my iPhone using JamiiForums