Mpini Wa Chuma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,728
- 1,329
Unaota mchana...kweupeHuyu jamaa ataelewa tu baadae ngoja tuone huko mbele akipoteza kila kitu kuanzia ubunge mpaka mashabiki na hapo atabaki mwenyewe na familia yake wakikodoleana macho na wasijue wa kumlaum, kitakachomsaidia ni kufungua ka ofisi ka uwakili kuganga njaa.... Ni jambo la muda tu.
Over
Sent using Jamii Forums mobile app