Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
Waweke account namba turushe pesa zetu tu, mbona hakuna shida hapa. We love you kaka Lissu, tutachangia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ajabu huoni hapo kweli au unafanya maksudi. Mtu kama tundu lissu si wakuomba hela ya kula, sehem ya kulala na ada. Labda ingekuwa kitu kikubwa zaid ningemuelewaKuna ajabu gani?
Ninyi si dona kantre??Makubwa haya huyu Lissu anawataka Wafadhili wasitupe misaada wakati huo huo na yeye anaomba Msaada? Hii ni tabia ya UBINAFSI.
Pathetic!!!!!
Sidhani kama kuna ukweli kwenye madai yakokuna mahala akili ya lisu haipo powa
So unampenda polepole na msibaAtatombewa na hao hao waliomwalika,na usishangae akarudi bila mke km akirudi bongo.
Mi hata angekua babaangu huyu namkana live.
Hio laana ni fake ndugu mlitaka afe sasa jiulize nani laana inamtafuna....na atachangiwa tuu mpende msipende mtake msitakeUmeona ehh
Huyu Tundu Lissu fuse iko damaged kwa kweli
Alitegemea misaada ya wadhungu
Sasa wame mpiga chini baada ya kugundua jitu ni tapeli kweli kweli
Na bado LAANA YA AFRICA NA TANZANIA ITAMMALIZA YEYE NA KIZAZI CHAKE MPAKA CHA NNE
TENA HADHARANI ILI WATU WAPATE FUNDISHO KUWA NCHI YETU TANZANIA SIO MCHEZO MCHEZO
SPECTACULAR FAILURE HUYU TUNDU LISSU
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui unasema nini wewe ?!. Bila shaka umeona hata ruzuku sasa ni kwa hisani ya mutungiPole lissu Kwa Hiyo Hata chadema wamekususa
Kutapeli kivip.kwani kuna kipi kipya hapo kwasababu toka mwanzo Lissu alikua akichangiwa na amekua akishukuru waliokua wakimchangia kwaiyo kama hujui bora ukaka kimya.Ata hivyo kama serikali inayokusanya kodi inaomba msaada na kufadhiliwa sembuse mtu binafsi.Msikilize anatumia hali yake kutapeli - sikiliza mpangilio wake wa kitapeli wajinga ndio waliwao! Nilijua kuwa itaishia hivyo kutapeli.
Sawa tuu na bado hata kama Nina jero tu nitato 250 nakubaki na 250 kumchangia so na yeye anamashabiki wake tuliza ballWenye kuona mbali tulijua tu,mwisho wa hizi kelele ni kutangaza njaa
Lissu ni tapeli,anaetumia tukio la kupigwa risasi kujipatia mamilioni ya dola toka kwa wazungu,huku bavicha wanapigwa jua kalii
Mwenye kiburi yeye ana nini ?!. Zile ni kodi za wananchiMwamba relax kias tuliza hasira
nimeumia sana baada ya kuona lisu anaomba msaada kwa watu sasa kwann anakuwa kibur na anajua anashida
hii ni video ambayo imevuja ambapo jamaa amenaswa akiomba msaada na hapo Mi muda mfupi baada ya wao kusitisha live streaming haya sasa
Aache kujitia kibur
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye kuona mbali tulijua tu,mwisho wa hizi kelele ni kutangaza njaa
Lissu ni tapeli,anaetumia tukio la kupigwa risasi kujipatia mamilioni ya dola toka kwa wazungu,huku bavicha wanapigwa jua kalii