Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

Siku wasanii wakiomba msaada wewe ndiyo wakwanza kutoa Yanga inaomba ichangiwe na yenyewe ni aibu?
Ninyi kuzuia mshahara wake ndiyo mnampiga chura mateke Lissu ataaaidiwa kwa hali na mali maana mlitaka afe
Hakuna mtu omba omba kama mwenyekiti wenu miaka 3 tuu deni zaidi ya 20tr wakati anaomba kura alisema nchi tajiri hataomba
MSAGA SUMU
USSR
LIKUD
Dogo Siku nyingine usiuhusishe Yanga na upuuzi Kama wa Yuda askari Lissu, Pumba.... F
 
Bado kumchukulia mke tu, shenzy kabisa msaliti

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatzo elimu and what goes around come around inabid ufikiri kabla ya kuongea ujinga wako haya n maisha n ss sote tunapita na lissu adi kuwa hai mpk leo n mpango wa mungu i can't imagine ww ungepigwa risas moja tu nahc nw ungekuwaa kuzmu matako yanawaka moto tu fikir kbla ya kucoment ujinga.....boguass ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapi wewe MU.hu.,ni yule msaliti hakubaliki mahali popote hata kwa shetani. Ile ni mbegu iliyo kwisha kuoza haiwezi kuota hata umwagilie kwa maji safi ya kwenye chupa spesheli. Ny.um.bu wewe
Tatzo elimu and what goes around come around inabid ufikiri kabla ya kuongea ujinga wako haya n maisha n ss sote tunapita na lissu adi kuwa hai mpk leo n mpango wa mungu i can't imagine ww ungepigwa risas moja tu nahc nw ungekuwaa kuzmu matako yanawaka moto tu fikir kbla ya kucoment ujinga.....boguass ww

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapi wewe MU.hu.,ni yule msaliti hakubaliki mahali popote hata kwa shetani. Ile ni mbegu iliyo kwisha kuoza haiwezi kuota hata umwagilie kwa maji safi ya kwenye chupa spesheli. Ny.um.bu wewe
Kwa Lissu shetani kashindwa na hiyo ndiyo sababu ya mateso haya mnayoyapitia, mashetani wakubwa. Mliyoyapanga gizani Mungu kayapangua na ndio sababu mnapayuka hovyo.
 
Na tutachanga kiroho safi na hatutochoka kuchangia, waliokwapua trillion 2 sio zao ni kodi zetu so hata Lisu tutamchangia bila kuchoka, tena yeye atakuwa anapata za halali kabisa.
💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾
 
Binafsi nimeumia na kujisikia vibaya sana kitendo cha serikali wanachomfanyia Tundu lissu cha kusitisha malipo na mshahara wake.

Mh. Tundu lissu ameingia katika wakati mgumu sana na inasikitisha akiomba sehemu ya kula , kulala na ada kwa ajiri ya watoto wake!

Mungu ibarika Tanzania, mungu mbariki Tundu Lissu

Haya maisha tu! Leo kwake kesho kwako.




Sent using Jamii Forums mobile app

Wamempiga risasi lakini hawakufanikiwa kumnyamazisha.
Wamezuia hela zake za matibabu lakini hawakufanikiwa kumnyamazisha.
Hata wakimnyima mshahara hawatafanikiwa kumnyamazisha.

Hizi ni juhudi za serikali ya Jiwe aka watu wasiojulikana ambao kamwe hawatafanikiwa.
 
Back
Top Bottom