Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

Kwani Lissu ni Masikini? unamshinda kwa hela? Huyo ukibaraka uko damuni, hata ungempa Mbuga ya Serengeti yote bado atakwenda kutanua domo lake huko wanakolea Mashoga
Inakuuma sana Lissu kwenda huko?Kama huko ndiko wanakolea mashoga,kwanini tusiondoe ubalozi wetu huko ili tusijiassociate na wale mashoga!
 
Mbona hakuna kitu cha ajabu.Tumeanza kumchangia toka akiwa Nairobi na hadi Ubelgiji.Yaani huyu bwana sisi ndio tunampa Coverage,maana tunamzungumzia sana wakati kuna mambo yetu kama Chama na serikali tunatakiwa kuyatolea majibu.

Job huo mshahara aliozuia hata yeye sio wake,ni kodi za wananchi.Ukiwa mwanasiasa,pesa unayotumia ni kodi za wananchi na sio zako.

Lissu kaanza kusaidiwa kwa watu kuzunguka kumuombea misaada...Alipopata nafuu akasema ye mwenyewe atazunguka,na ataenda kuwashukuru wote waliomchangia mpaka kafikia hapo.Account zilitolewa toka akiwa Nairobi na tulichanga.Sasa hapa kuna kipi labda kipya?

Kuna watu walitegemea wakikata mshahara huyu bwana atapiga magoti,sasa wanadhani kwa kuweka video hii wanamdhalilisha Lissu.Kitengo chetu cha mikakati na Propaganda kimefubaa sana.

Tunatakiwa kumjibu Lissu kwa namna ya matendo ambayo yeye atakosa hoja,hizi hoja za ombaomba hazina mashiko.Sisi kama Taifa tunakopa na kuomba kila siku.Hao tunaoita mabeberu,mwezi ujao bunge la bajeti Mh.Mpango atawataja kwenye hotuba kama wadau wa maendeleo na si mabeberu.

Lissu katibiwa kwa pesa za wasamalia wema toka siku amenyanyuka Dodoma na ndege ya Flight link.

Mwisho wa siku,kila mtu ataonja mauti,licha ya kutukana na kusakama watu nyuma ya keyboard.Taifa linalofikia kuona uhai wa mtu ni kama uhai wa kuku,na watu wake kufurahia,ni Taifa linaloelekea kuvurugika kwa chuki.
Well said,umeandika hoja za msingj sana!
 
Lisu hela ya Kula, kulala ,nguo za kuvaa yeye,mkewe na watoto hana na hana na hela ya ada za watoto hana hiyo hela ya kampeni ya uraisi atatoa wapi? Aachie wenye pesa akina Sumaye,Lowasa,Mbowe na Nyalandu.Tundu Lisu Huyo anataka pia kugombea uenyekiti Chadema taifa amtoe Mbowe anataka ale tu pesa za chadema.

Nyerere alipoleta uhuru wa nchi hii alikuwa milionea? Alichangiwa mpaka na wachoma mahindi, kipi kinakushangaza hapo? Hao akina Lowassa, Nyalandu nk wana hela kweli lakini Lissu ndio anabeba feelings zetu.
 
Duh!!!, ndugu kabonyeza kweli kile kitufe??. Jeuri inakatwa kidogo kidogo, ukikosa pesa huwezi kuwa na ujasiri wa kitu chochote....daaah
 
Jitahidi kusoma na kuelewa, zile 200m alizolipwa ni mishahara yake ya miezi 15 ambayo na wabunge wote wamelipwa. Malipo hayo hayajafanyika kwa mara moja, ni malipo ya kila mwezi. Hoja ya spika ni kwamba hizo 200m ni jumla ya hela alizolipwa akiwa nje ya bunge. Kwa hiyo wamezuia hayo malipo ya kila mwezi mpaka arudi kuanza kuhudhuria bungeni aache kuzurula huko ulaya na marekani.
Halafu kenge ligola kaagiza akamatwe!

Hii Ze Comedian Show ya Lissu na Serikali ya CCM ya Magufuli sijui itamalizika vipi..!!
Angalizo ni kwamba. 'The Star never dies" kwenye comedy yoyote.
Ukweli ni kwamba huyu Tundu Lissu ni Star katika mchezo huu na ndiyo maana pamoja na kumininiwa RISASI 38 jamaa hafi bado ame endela ku-SURVIVE!!!!

Matonya Ndugai alitaka kuwadanganya Watz kuwa Bunge limemlipa Toto Tundu 250m kama gharama za matibabu;;;;lakini kuna watu walimtonya kuwa kama anataka kufukuzwa kazi na Jiwe na aonyeshe huo mkeka wa kulipia matibabu Toto Tundu. Baada ya kuona hivo ikabidi aweke wazi kuwa huo ni mshahara wa Mbunge na stahiki zake zingine na hazihusiani na malipo ya Matibabu...!!

Hivo ukweli unabakia palepale kwamba Serikali na Bunge walisha kataa kumlipia gharama za Matibabu Mhe. Lissu lakini jamaa anatibiwa kwa misaada ya Wasamaria wema...!!!Juzi Supukali ya Matonya kaamua kushikilia Mshahara wa Toto Tundu lakini misaada bado inaendelea kumiminik tu..Hi hali inawachanganya sana akili kina Jiwe, Matonya Ayubu, DA Bashite na vibaraka wao....!!!
 
Lissu yuko tayari kuishi kwenye umasikini ila siyo kulamba nyayo za mtawala

Lissu ni shujaa haishi kwa kumpigia magoti mtawala

Huyu ndio Lissu nimjuaye mimi

Lissu atoe tu akaunt namba ya bank tumpe pesa za kujikimu

Pesa tutamchangia zaidi ya mshahara wa ubunge

Sent using Jamii Forums mobile app
Akaunti ni 000123456790 tupia hapo hako kalaki kako mkuu.
 
Aisee,, aibu naona mimi!

Ndio maana wenzake wanamwambia arudi tu ajifanye hakuna lililotokea, amwachie Mungu, yeye aendelee na mishe zake. Naamini hata hao wabaya wake hawatakuwa na la kumfanya,.

Wewe hawa wabongo hawa ambao Mbowe yupo ndani mwezi wa tatu huu wapo kimya tu unafikiri utawapigania utaweza? Arudi aendelee kulea familia yake huku akimwabudu na kumtukuza Mungu kwa yote yaliyomkuta, sasa akiendelea kujifanya yeye ni jeuri sana haya ndio yanamkuta sasa. Hapo bado hajapokonywa kabisa jimbo 2020!

Sent using Jamii Forums mobile app


sasa wale wanyama wa aina ile chadema hawaelewi hili


na hawajawahi kutoa mchango
 
Afe tu, Hana faida yoyote kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe bila shaka ni kichaa na aliyekuroga keshakufa..!!
Hivi unajua maana ya KIFO au unaropoka tu? Mungu peke yake ndo anaweza kusitisha uhai wa mtu yyote ukiwemo na wewe. Usije ukashangaa wewe unatangulia na Tundu ;akaendelea kuishi hata miaka 100..!!Kama Mungu amemlinda mja wake asife kwa kupigwa risasi 38, hivi kuna muujiza mwingine mkubwa kuliko huu?

Kama Lissu hana faida yoyote hata na wewe ia huna faida yoyote hapa duniani. Kumbuka...kila mtu ameumbwa hapa duniani kwa kusudio maalumu na Muumba wake....ndiyo maana Lissu hajafa mpaka leo kwa vile kuna majukumu ambayo hajaya kamilisha na akikamilisha tu off he goes whether by NATURAL DEATH or by beaing KILLLED kama ilivyokuwa ieangwa lakini ikaishia kuwa an abortive mission...!!!.
 
Huyu jamaa ataelewa tu baadae ngoja tuone huko mbele akipoteza kila kitu kuanzia ubunge mpaka mashabiki na hapo atabaki mwenyewe na familia yake wakikodoleana macho na wasijue wa kumlaum, kitakachomsaidia ni kufungua ka ofisi ka uwakili kuganga njaa.... Ni jambo la muda tu.

Over

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuota hivyo hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AHaaaaahaaa haaaaaaa leo bavicha zamu yenu kujitetea bwahaaaaahaaaa
Kweli njaa haina baunsa.....wenzie wanafanyaga harakat wakiwa na udhamini nyuma ya pazia sasa yey anajifanya one man army mamaeeee, bavicha woote wapo nyuma ya keyboards wanakula ubuyu tu.
Niulize....si yupo US Ivi mange nae hajawah kuhudhuria kweny mikutano yake? Kwanini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu wa kweli ni serikali yake anayoituhumu pande zote za dunia,haiwezekani ikulipe na malipo yake uzunguke kuitukana na hao alionao anaodhani wanamshangilia watamsaliti kama huyo aliyechukua video na baadae hatopata hata mia mwisho wa siku Amani ya nafsi ataipatia nyumbani kwake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unadhani yeye na Magu Nani anakosa Amani moyoni? Nani anakosa usingizi kwa dhambi zake?
Yule anayelilia kuombewa daily ndio mwenye kukosa Amani moyoni. Lissu hajawahi kula rushwa wala kuiba trilion za watu that's why anawashirikisha wengine hali yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom