Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

Tundu Lissu akiomba misaada Marekani

Tanzania kuna vituko sana, jiwe akipewa msaada anaitisha vyombo vya habar na press conference na anachekelea ile mbaya na anasifiwa ile mbaya na wana-lumumba, lakin tundu lisu kuomba msaada ni ajabu huu ni unafik kiwango cha phd
 
LAZIMA UCHANGIWE BROTHER UNASTAHILI SABABU UMEJITAHIDI KUPIGANIA UKWELI KWA KIPINDI CHOTE HICHI WAPENDA HAKI WAPO NAWE
 

Attachments

  • tundulissu-300x160.jpg
    tundulissu-300x160.jpg
    6.1 KB · Views: 24
It's okay Lissu kuomba wamsaidie, matibabu yake ni cost full.
Na baada ya spika kumpoka haki zake anahitaji msaada aweze ku survive(yeye na família yake).
Binafsi nitamchangia Lissu, by the way ana deserve kuchangiwa after all the drama he has been through.
amen
 
Eti kuna muujza mwengine kuliko huu!
Umewah kusoma vzuri historia ya fidel castro wewee au unasema tu kisa mahaba yamekuzid

Sent using Jamii Forums mobile app

Je, unataka kutuambia kuwa Fidel Castro(RIP) naye aliwahi kushambuliwa kwa risasi 38 mchana kweupe tena kwene viwanja vya Bunge na makazi ya Viongozi wa Cuba? Hebu tujuze weye unayejua habari za Cuba kuliko za Tanzania! Pambaf!
 
Chama kinapata ruzuku kama milion 300 hiv kwa mwezi na hiyu Lusu ni kiongozi wa chama ni busara chama kimgaramikie mahitaji yake yote huko ughaibuni,pia aendelee kudai stahiki zake baadhi amabazo anastahili..wakati mengine yakiendelea..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha ya Ulaya ni magumu kama huna kipato khasa huko Ubelgiji hivyo Tundu Lissu kuomba msaada wa kuchangiwa si jambo la ajabu.

Tukumbuke fedha anazopewa zikifika Ubelgiji zinakuwa ndogo kutokana na kubadilishwa TShillings kuwa Euros.

Hivyo akilipia masuala madogo tu fedha hizo zaisha kama waya.
 
Maisha ya Ulaya ni magumu kama huna kipato khasa huko Ubelgiji hivyo Tundu Lissu kuomba msaada wa kuchangiwa si jambo la ajabu.

Tukumbuke fedha anazopewa zikifika Ubelgiji zinakuwa ndogo kutokana na kubadilishwa TShillings kuwa Euros.

Hivyo akilipia masuala madogo tu fedha hizo zaisha kama waya.
Ana haki 100% sisi watanzania tunaojua tasfsiri ya Uzalendo tutamchangia hata damu!! achilia hela. Tundu lissu you will never want!!
 
Alitamka Lisu mwenyewe hadi passport ya dereva kwenda ubelgiji ilitolewa na ubelgiji
Kama alitamka mwenyewe, sasa kwanini umeandika kishabiki utafikri unafurahishwa na kilichompata Lissu?.
 
Sasa mzee shida ni kushambuliwa kwa risasi 38 tu mchana kweupe kweny viwanja vya bunge au ishu ni kuponyeka jaribio la kifo!!!! Kama shida ni eneo la tukio castro aliponyeka kuuawa ikulu kabisa, jamaa alisurvive majaribio 50 ya kuuwa kwa kila mbinu unayoijua wew. Sembuse uyo kiduku wenu.
Au shida ni kujua mambo ya cuba zaid kuliko bongo?? Wew nikikuuliza unitajie first eleven ya Manchester United utanitajia yote ila nkikwambia unitajie ya Mtibwa sugar utaweza!??????

Btw pambaf mwenyew

Je, unataka kutuambia kuwa Fidel Castro(RIP) naye aliwahi kushambuliwa kwa risasi 38 mchana kweupe tena kwene viwanja vya Bunge na makazi ya Viongozi wa Cuba? Hebu tujuze weye unayejua habari za Cuba kuliko za Tanzania! Pambaf!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mzee shida ni kushambuliwa kwa risasi 38 tu mchana kweupe kweny viwanja vya bunge au ishu ni kuponyeka jaribio la kifo!!!! Kama shida ni eneo la tukio castro aliponyeka kuuawa ikulu kabisa, jamaa alisurvive majaribio 50 ya kuuwa kwa kila mbinu unayoijua wew. Sembuse uyo kiduku wenu.
Au shida ni kujua mambo ya cuba zaid kuliko bongo?? Wew nikikuuliza unitajie first eleven ya Manchester United utanitajia yote ila nkikwambia unitajie ya Mtibwa sugar utaweza!??????

Btw pambaf mwenyew


Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe bado unaendelea kudhihirisha uzezeta na ufisi wako na huna lolote. Hata kama ni majaribio 1000, issue ya Lissu kupigwa risasi 38 na 16 zikimwingia mwilini na kupoteza damu 80% lakini bado aka-survive was a special case to Doctors at nairobi Hospital and Belgium..!!!. Waulizeni madaktari wa Nairobi Hospital waliomtibu Lissu jinsi walivyokiri kwa vinywa vyao kuwa kumhudumia Lissu mpaka kupona katika hali ile kwao ilikuwa ni tukio la KIMIUJIZA...!!. Mwanadamu akipoteza kiasi hicho cha damu na bado akaweza kuishi ni MUUJIZA..!!!
Sasa tuambie hayo majaribio 50 ya kumwua Castro akiwa Ikulu alishambulia kwa risasi ngapi, ngapi ziliingia mwilini na alipoteza damu kiasi gani,alilalzwa Hospital ya nchi gani kwa muda gani hatimaye akaweza ku-survive...!!! Tundu Lissu's case is quite a special case compared to none...!!!
Wewe huna tofauti na hao mazezeta wenzako wanaoshabikia Ligi za Ulaya na kukariri majina ya wachezaji wote 22 wa timu lakini wanakosa uzalendo wa kushabikia timu za nyumbani hata hawajui majina ya ndugu zao Watanzania. Kunatofauti gani na wewe uliyaleta habari za Fidel Castro kulinganisha na tukio la Tundu Lissu...???Non-sense!
 
Binafsi nipo tayari nipo kumchangia Lissu kiasi chochote cha fedha nitakachojaliwa naomba Lissu asiishie huko tu hata Sisi wengine tunatamani kuendelea kumchangia atupe utaratibu tu wa kutuma fedhaa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni zezeta mstaafu au, mikono, miguu, kiuno zote ni sehemu za mwili ata angepigwa risasi 1000 kwa iyo usistuke sana kuskia risasi 16 zilimwingia kikubwa zilimwingia wap? Kiunoni kushuka chini rate ya kusurvive ni kubwa tofauti ingekuwa kiunoni kupanda juu...mahaba yamekuzidia sana wew bavicha.
Wewembado unaonekana ni zezeta tu huna lolote. Hata kama ni majaribio 1000 issu ni risasi 38 na 16 kumwingia mtu mwilini na kupoteza damu 80% na bado aka-survive. Waulizeni madaktari wa Nairobi Hospital walivyokiri kwa vinywa vyao kuwa huo kwao ilikuwa ni kuhudumia tukio la MIUJIZA. Mwanadamu akipoteza kiasi hico cha damu na akawez kuishi ni MUUJIZA..!!!
Sasa tuambie hayo majaribio 50 ya kumwua Castro akiwa Ikulu alishambulia kwa risasi ngapi, ngapi ziliingia mwilini na alipoteza damu kiasi gani,alilalzwa Hospital ya nchi gani kwa muda gani mpaka kuu-survive...!!! Tundu Lissu's case is quite a special case compared to none...!!!
Wewe huna tofauti na hao mazezeta wenzako wanaoshabikia Ligi za Ulaya na kukariri majina ya wachezaji wote 22 wa timu lakini wanakosa uzalendo wa kushabikia timu za nyumbani hata hawajui majina ya ndugu zao Watanzania. Kunatofauti gani na wewe uliyaleta habari za Fidel Castro kulinganisha na tukio la Tundu Lissu...???Non-sense!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kuna ajabu gani?Ndugai tulimtibu kwa michango yetu ambazo ni kodi zetu.Tanzania inaomba misaada nje na mpaka sasa bajeti inategemea wafadhili kwa asilimia zaidi ya 45!!

Na hii wala sio kumchafua,watu walianza kumchangia toka akiwa Nairobi.Na yeye amekiri hivyo.Sina itikadi moja na Lissu,lakini nilimchangia kuanzia usafiri wa kutoka Dodoma kwenda Nairobi na mpaka matibabu.Nitaendelea kumchangia.

Kwangu,utu kwanza na itikadi baadae.Siasa na itikadi vitapita,JPM atamaliza muda wake na ataondoka,lakini utu na thamani ya uhai wa mtu vinadumu milele.Naona hapo juu watu wanamtukania mpaka mkewe,sasa mlitaka asichangiwe wakati hajapewa pesa ya matibabu?Jamani jamani hizi siasa za awamu hii,ni chuki tupuu
Huyo ndugu yenu bi tapeli mkubwa na msaliti. Anachokipitia anastahili kabisa. Kila siku kutukana watu na kujifanya yeye ndiye mjuaji wa kila jambo. Mgonjwa gani kila siku kuzunguka kuitukana serikali na nchi yetu?
 
Wamarekani wawe waswahili au wazungu noma Marekani Lisu kakwaa kisiki kule sio kama ulaya.Alijua Siri kumbe wanamchora tu

Indeed
Pure Americans
Hawakwambii ukweli wanakuacha tu mpaka hapo utakapo jitafakari mwenyewe alafu uwachie ngazi
Hivi hivi itakuwa mambo ya:
Sorry come tomorrow
Sorry the boss is out for lunch
Sorry boss is sick
Sorry we are all in summer holidays
Sorry.......on and on and on
Na lissu ndio yuko kwenye hilo wheel
Mpaka atakapo gundua ‘akufukuzaye hakwambii toka ‘
UKWELI NI KUWA DUNIA NZIMA INAMLAANI TUNDU LISSU


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh.. Lissu kumbe kiboko.. anacheza na akili za wafuasi wafata mikumbo.. eeeeh mtajiju
Hivi huko kaenda kufanya nini?.. pesa hakujua wanae wanaenda shule.. utapeli na uongo nje nje.. uwiiii makubwa..
Huyu jamaa ni tapeli sana. Tayari ameshajua akili ya nyumbu na wao walivyo wameshaanza kumchangia. Aka kweli wajinga ndiyo waliwao
 
Back
Top Bottom