Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,548
- 860,682
- Thread starter
- #861
Anaandika Wakili Paul Kisabo
Leo, Julai 27, 2026, nimemtembelea Mhe. Tundu Lissu Tundu Antiphas Lissu Gereza la Ukonga. Mbali na kunipa maelekezo kuhusu maandalizi ya nyaraka za submissions katika kesi yetu, kufuatia kukamilika kwa maswali ya dodoso Julai 23, 2026, Mhe. Lissu amesisitiza kwamba watu wote waliokamatwa na kufunguliwa mashitaka ya ugaidi wanapaswa kupata uwakilishi wa kisheria na kutembelewa mara kwa mara magerezani ili kuwafariji, kufuatilia ustawi wao na kujua maendeleo ya kesi zao.
Amenieleza pia kwamba hakuna hata mmoja anayepaswa kusahaulika, wote wanapaswa kutetewa na mawakili.
Nilienda na Wakili Deogratias Mahinyila Deogratius Mahinyila lakini hakuruhusiwa kuingia baada ya maafisa wa Magereza kudai kuwa jina lake halipo kwenye orodha ya mawakili wanaoruhusiwa kumwona Mhe. Lissu.
Mhe. Tundu Lissu anawasalimieni sana Watanzania. Pokeeni salamu zake.
Leo, Julai 27, 2026, nimemtembelea Mhe. Tundu Lissu Tundu Antiphas Lissu Gereza la Ukonga. Mbali na kunipa maelekezo kuhusu maandalizi ya nyaraka za submissions katika kesi yetu, kufuatia kukamilika kwa maswali ya dodoso Julai 23, 2026, Mhe. Lissu amesisitiza kwamba watu wote waliokamatwa na kufunguliwa mashitaka ya ugaidi wanapaswa kupata uwakilishi wa kisheria na kutembelewa mara kwa mara magerezani ili kuwafariji, kufuatilia ustawi wao na kujua maendeleo ya kesi zao.
Amenieleza pia kwamba hakuna hata mmoja anayepaswa kusahaulika, wote wanapaswa kutetewa na mawakili.
Nilienda na Wakili Deogratias Mahinyila Deogratius Mahinyila lakini hakuruhusiwa kuingia baada ya maafisa wa Magereza kudai kuwa jina lake halipo kwenye orodha ya mawakili wanaoruhusiwa kumwona Mhe. Lissu.
Mhe. Tundu Lissu anawasalimieni sana Watanzania. Pokeeni salamu zake.