Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,651
- 860,935
- Thread starter
- #841
#UPDATES_KESI_YA_MAWAKILI_WA_MHE_LISSU_DHIDI_YA_MKUU_WA_MAGEREZA
Part 12
Mhe. Lissu anaendelea kumdodosa Ntamamiro (Bwana Jela)
Ntamamiro (Bwana Jela) : Lakini suala la searching zipo sheria zingine.
Mhe. Lissu: Sasa huko tutafika. Mashahidi wengine nilikuwa nawambia waache kiherehere sasa unataka na wewe nikwambie hivyo halafu tutaendaje Ukonga baadae, sitaki kukwambia hivyo Afande wangu.
Watu wanacheka. Majaji pia wanacheka sana. 😂😂😂😂
Mhe.Lissu: Sasa soma kifungu cha 105(1)(l) kama hakisemi kuwa Waziri ndio mwenye mamlaka ya kutunga kanuni za management na treatment za prisoners. Ndio au hapana?
Ntamamiro (Bwana Jela) : Naomba nielezee kidogo.
Mhe. Lissu: Nimesema mimi na wewe kwetu ni ukonga tukitoka hapa. Tukitoboa mtumbwi tutafika? Haya jibu swali tusigombane?
Ntamamiro (Bwana Jela) : Kweli
Mhe. Lissu: Kamishna Mkuu ana mamlaka ya kutunga hizo kanuni za kutunga mambo haya ambayo nimesema hapo juu?
Ntamamiro (Bwana Jela) : Waziri ndio amempa mamlaka kamishna wa magereza.
Mhe. Lissu: kwa kifungu?
Ntamamiro (Bwana Jela) : Kile nilichosema cha 5(2)
Mhe. Lissu: Kile hakijataja Prisoners sasa.
Ntamamiro (Bwana Jela) : Kimetaja Prison ndio Prisoners wapo.
Mhe. Lissu: Kasome Definition section kwenye hiyo sheria kuna tofauti kati ya Prison na Prisoners. Havitumiki interchangebly. Gereza na wafungwa ni vitu tofauti.
Ntamamiro (Bwana Jela): Sijui.
Mhe. Lissu: Kanuni ya 8 ya kanuni za usimamizi magereza. (Prison Management regulation) je inaeleza utaratibu wa ku search wafungwa.
Ntamamiro (Bwana Jela) : Ndio lakini zipo na sheria zingine.
Mhe. Lissu: Tutaenda kila mahali. Tutafika kwa hizo sheria zote.
Ntamamiro (Bwana Jela) : Sawa. Nakubali.
Mhe. Lissu: Haki za wafungwa tunaenda kanuni ya 9 hadi ya 11?
Ntamamiro (Bwana Jela): Kweli
Mhe. Lissu: Kanuni ya 12 na Kanuni ya 17 je kanuni hizo zinahusu haki ya wafungwa kutembelewa gerezani?
Ntamamiro (Bwana Jela): Kweli.
Mhe. Lissu: Soma kanuni ya 13 na useme inahusu nini? Ni kweli inahusu haki ya wafungwa kutembelewa na mawakili au washauri wao wa kisheria?
Ntamamiro (Bwana Jela) : Ni kweli.
Mhe. Lissu: Kanuni hizo pia zimeeleza hata namna ya adhabu ya kifo ifanyike kwa maana ya kunyonga wafungwa na masuala yote yanayohusu wafungwa wa adhabu ya kifo? Soma kanuni ya 33.
Ntamamiro (Bwana Jela): haeleweki amesoma nini?
Mhe. Lissu: Ngoja nikusomeee. Anamsomea hapa.
Ntamamiro (Bwana Jela): Nilikuwa sijaiona nimeiona.
Mhe. Lissu: Namna ya kunyoa wafungwa si imeandikwa kwenye kanuni?
Ntamamiro (Bwana Jela): Naam
Mhe. Lissu: Mimi huoni nimefuga rasta sio mfungwa ndio hamuwezi niambia chochote unaelewa hilo?
Ntamamiro (Bwana Jela): uko sahihi.
Mhe. Lissu: Kwa kanuni hizo mahabusu kama mimi napaswa kusimamiwa na askari magereza wawili usiku na mchana.
Ntamamiro (Bwana Jela): Kuna kipengele cha segregation kwenye sheia zetu.
Mhe . Lissu: Jibu kwa kanuni hizo?
Jaji: Kamishna hakuna mtu atakuadhibu maana kanuni hujatunga wewe. Kwahiyo kama kanuni hazisemi sema hazisemi. Usijipe presha kabisa mzee wangu.
Kumbukeni ana miaka 57 huyu Ntamamiro (Bwana Jela).
Ntamamiro (Bwana Jela): Hakuna hiyo kanuni.
Mhe. Lissu: Ni wafungwa wa adhabu ya kifo tu ndio wanatakiwa kulindwa na askari wawili na wasikilizwa mazungumzo yao ni wa adhabu ya kifo pekee? Kweli au sio kweli.
Ntamamiro (Bwana Jela): Sio kweli
Mhe. Lissu: Inasemaje Baba yangu? Kwanza wewe sio Baba yangu mimekuzidi umri. Si umesema una miaka 57.
Ntamamiro (Bwana Jela): Kwa mujibu wa hiki kifungu ni sahihi wafungwa wa kifo ndio wanapaswa kulindwa.
Mhe. Lissu: Safi tukienda hapa tutafanya vizuri. Kwa hayo ambayo umeyasoma na kwa kanuni hizo. Mahabusu, mfungwa hatakiwi kulindwa muda wote kwa masaa 24 isipokuwa wa kifo kwa mujibu wa kanuni hizo? Kanuni ipi?
Ntamamiro (Bwana Jela): Nimesema Jeshi la magereza linaendeshwa na kanuni, sheria na miongozo.
Part 13 itaendelea kwenye post inayofuata.
Naomba Repost yako.
Part 12
Mhe. Lissu anaendelea kumdodosa Ntamamiro (Bwana Jela)
Ntamamiro (Bwana Jela) : Lakini suala la searching zipo sheria zingine.
Mhe. Lissu: Sasa huko tutafika. Mashahidi wengine nilikuwa nawambia waache kiherehere sasa unataka na wewe nikwambie hivyo halafu tutaendaje Ukonga baadae, sitaki kukwambia hivyo Afande wangu.
Watu wanacheka. Majaji pia wanacheka sana. 😂😂😂😂
Mhe.Lissu: Sasa soma kifungu cha 105(1)(l) kama hakisemi kuwa Waziri ndio mwenye mamlaka ya kutunga kanuni za management na treatment za prisoners. Ndio au hapana?
Ntamamiro (Bwana Jela) : Naomba nielezee kidogo.
Mhe. Lissu: Nimesema mimi na wewe kwetu ni ukonga tukitoka hapa. Tukitoboa mtumbwi tutafika? Haya jibu swali tusigombane?
Ntamamiro (Bwana Jela) : Kweli
Mhe. Lissu: Kamishna Mkuu ana mamlaka ya kutunga hizo kanuni za kutunga mambo haya ambayo nimesema hapo juu?
Ntamamiro (Bwana Jela) : Waziri ndio amempa mamlaka kamishna wa magereza.
Mhe. Lissu: kwa kifungu?
Ntamamiro (Bwana Jela) : Kile nilichosema cha 5(2)
Mhe. Lissu: Kile hakijataja Prisoners sasa.
Ntamamiro (Bwana Jela) : Kimetaja Prison ndio Prisoners wapo.
Mhe. Lissu: Kasome Definition section kwenye hiyo sheria kuna tofauti kati ya Prison na Prisoners. Havitumiki interchangebly. Gereza na wafungwa ni vitu tofauti.
Ntamamiro (Bwana Jela): Sijui.
Mhe. Lissu: Kanuni ya 8 ya kanuni za usimamizi magereza. (Prison Management regulation) je inaeleza utaratibu wa ku search wafungwa.
Ntamamiro (Bwana Jela) : Ndio lakini zipo na sheria zingine.
Mhe. Lissu: Tutaenda kila mahali. Tutafika kwa hizo sheria zote.
Ntamamiro (Bwana Jela) : Sawa. Nakubali.
Mhe. Lissu: Haki za wafungwa tunaenda kanuni ya 9 hadi ya 11?
Ntamamiro (Bwana Jela): Kweli
Mhe. Lissu: Kanuni ya 12 na Kanuni ya 17 je kanuni hizo zinahusu haki ya wafungwa kutembelewa gerezani?
Ntamamiro (Bwana Jela): Kweli.
Mhe. Lissu: Soma kanuni ya 13 na useme inahusu nini? Ni kweli inahusu haki ya wafungwa kutembelewa na mawakili au washauri wao wa kisheria?
Ntamamiro (Bwana Jela) : Ni kweli.
Mhe. Lissu: Kanuni hizo pia zimeeleza hata namna ya adhabu ya kifo ifanyike kwa maana ya kunyonga wafungwa na masuala yote yanayohusu wafungwa wa adhabu ya kifo? Soma kanuni ya 33.
Ntamamiro (Bwana Jela): haeleweki amesoma nini?
Mhe. Lissu: Ngoja nikusomeee. Anamsomea hapa.
Ntamamiro (Bwana Jela): Nilikuwa sijaiona nimeiona.
Mhe. Lissu: Namna ya kunyoa wafungwa si imeandikwa kwenye kanuni?
Ntamamiro (Bwana Jela): Naam
Mhe. Lissu: Mimi huoni nimefuga rasta sio mfungwa ndio hamuwezi niambia chochote unaelewa hilo?
Ntamamiro (Bwana Jela): uko sahihi.
Mhe. Lissu: Kwa kanuni hizo mahabusu kama mimi napaswa kusimamiwa na askari magereza wawili usiku na mchana.
Ntamamiro (Bwana Jela): Kuna kipengele cha segregation kwenye sheia zetu.
Mhe . Lissu: Jibu kwa kanuni hizo?
Jaji: Kamishna hakuna mtu atakuadhibu maana kanuni hujatunga wewe. Kwahiyo kama kanuni hazisemi sema hazisemi. Usijipe presha kabisa mzee wangu.
Kumbukeni ana miaka 57 huyu Ntamamiro (Bwana Jela).
Ntamamiro (Bwana Jela): Hakuna hiyo kanuni.
Mhe. Lissu: Ni wafungwa wa adhabu ya kifo tu ndio wanatakiwa kulindwa na askari wawili na wasikilizwa mazungumzo yao ni wa adhabu ya kifo pekee? Kweli au sio kweli.
Ntamamiro (Bwana Jela): Sio kweli
Mhe. Lissu: Inasemaje Baba yangu? Kwanza wewe sio Baba yangu mimekuzidi umri. Si umesema una miaka 57.
Ntamamiro (Bwana Jela): Kwa mujibu wa hiki kifungu ni sahihi wafungwa wa kifo ndio wanapaswa kulindwa.
Mhe. Lissu: Safi tukienda hapa tutafanya vizuri. Kwa hayo ambayo umeyasoma na kwa kanuni hizo. Mahabusu, mfungwa hatakiwi kulindwa muda wote kwa masaa 24 isipokuwa wa kifo kwa mujibu wa kanuni hizo? Kanuni ipi?
Ntamamiro (Bwana Jela): Nimesema Jeshi la magereza linaendeshwa na kanuni, sheria na miongozo.
Part 13 itaendelea kwenye post inayofuata.
Naomba Repost yako.