Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

images (13).jpg
 
‼️CONFIRMED‼️

Kuna mtu yupo Mahakamani kanijulisha kwamba amemuona Mhe. Lissu Mahakamani asubuhi hii.

Najiuliza kwanini Serikali haram imeamua kumpeleka Mhe. Lissu Mahakamani kimya kimya bila kuwajulisha Mawakili wake wala Chama?
1777538148453.jpg
 
Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu.

Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya uhaini na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanganyika

Ana historia yake maalum .. Ana mengi mazuri ya kiwango kaifanyia Tanganyika.. TUMUENZI SASA. NI WAKATI WAKEView attachment 3381742
(7,029) Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu | JamiiForums Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu
Huyu Mwamba hata akifa kimwili atabaki Anaishi kiroho kwenye mind za Watanzania kwa miaka mingine 1000 mbele
 
NAMSHUKURU BONGO ZOZO KWA MAONI NA USHAURI WAKE MZURI WA KIZALENDO NA UPENDO NA MAARIFA. TUNGEMSIKILIZA TUNGEPIGA HATUA KATIKA MENGI IKIWEMO KUMUACHIA TUNDU LISSU ILI KULILETA TAIFA PAMOJA. WE NEED TO MOVE ON.

#Anna Tibaijuka
 
Anna Tibaijuka amesimama na mh Lissu muda mrefu sanaaa kumtetea aachiliwe,mwaka jana alisema mnazungumzia maridhiano wakati mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani yuko gerezani unayapataje maridhiano kwa hali hiyo?
 
TAL is only guy ambaye hatastaafu siasa with good record clean.

The meaning of integrity .
 
Mungu aendelee kumtunz kulinda na kumjenga ktk imani ya kweli
 
Back
Top Bottom