Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

1771958368477.jpg
 
Spirit aliyonayo Lissu inanikumbusha James Orengo aliyesimama enzi za Moi kuwapatia wakenya second liberation .

Hata juzi baada ya ODM kugawanyika kuwa timu madalali wakiongozwa na Oburu Odinga , James Orengo amekataa na kuendelea kusimama imara na timu ya wazalendo wa ODM waliokataa udalali akiwa kama vijana kama Edwin Sifuna na Babu Owino.

Na hawa wote pia wana sifa moja kitaaluma kama Lissu nao ni wanasheria.

Historia itawaandika mashujaa wote walioamua kusimama na wananchi na sio kutanguliza matumbo yao kwa tamaa za madaraka.
20260222_070015.jpg
20260222_070013.jpg
 
Kuendelea kumshikilia Tundu Lissu kunazidisha dhuluma na kuathiri zaidi hadhi ya Tanzania, ndani na kimataifa.

Matukio ya Oktoba 29 yaliashiria mojawapo ya sura mbaya zaidi katika historia ya taifa. Kutoweka kwa nguvu, mmomonyoko wa nafasi za kiraia, na kuzorota kwa uhuru wa kimsingi kumeharibu sana sifa ya Tanzania. Ukweli usemwe- ukweli huu umevuta hisia za kimataifa na kuharibu taswira ya nchi ambayo hapo awali ilichukuliwa kama taifa la amani.

Sifa na amani ya Tanzania haitarejeshwa kwa ukimya au ukandamizaji. Watarejeshwa kupitia ukweli, uwajibikaji, na haki.View attachment 3547870
Aisee
 
Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu.

Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya uhaini na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanganyika

Ana historia yake maalum .. Ana mengi mazuri ya kiwango kaifanyia Tanganyika.. TUMUENZI SASA. NI WAKATI WAKEView attachment 3381742
(7,029) Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu | JamiiForums Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu
Man .mwamba
 
‼️AFYA YA TUNDU LISSU YAZOROTA 🚨
Tuache utani! Lissu anahitaji kwa sasa awe ameshapatiwa matibabu ya kitaalam tukizingatia historia yake! Wanachofanya @judiciarytz ni kumwacha ateseke bila sababu! Na hii serikali ya wauaji wanatarajia adhoofike na hata kufia jela! Mnawaona hawa ni binadamu ?!
Hivi wanaelewa Lissu ni moja ya sababu bado watanzania wana matumaini na wamekaa wanasubiri atoke ndiyo maana kuna ukimya fulani?! Mwambie huyu Bi Msumi wenu asicheze na moto!
Watanzania tuelewe tukimpoteza Lissu tutakaa muda mrefu kupata mzalendo mwingine kama huyu! Na msitarajie Bi Msumi kuwa na busara - ye anawaza damu tu!
Tusipopambana hakuna wa kuja kutukomboa! We need to act NOW!
#FreeTunduLissu NOW
🚨‼️TUNDU LISSU FILES APPLICATION WITH CERTIFICATE OF URGENCY‼️

Tundu Lissu has filed an application before the Court of Appeal seeking an expedited hearing of his treason case, citing his rapidly deteriorating health. This development underscores the urgency and gravity of his situation. Clearly Samia Suluhu wants Lissu to wither and hopes he dies in illegal detention before he sees justice! This is not an exaggeration! We need immediate action
@commonwealth_sec @worldbankgroup @the_imf

#MO29
#tanzaniamassacre
#NoJusticeNoPeace

HUYU HAPA
1774111336588.jpg
 
Back
Top Bottom