Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,776
- 861,230
- Thread starter
- #401
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI
Part 62
Mhe. Lissu : Kifungu cha 39(2)d lengo la uhaini kionekane kwa maandishi in writing, publication or any overt act?
George: Ni sahihi iko hivyo.
Mhe. Lissu : Neno publish maana yake nini soma kifungu cha 3 cha cyber crime act ili tujue maana ya kupublish?
Georgia anasoma hapa kwanza, Publishing means distributing, transmitting, disseminating, printing or offering for sale. Umemaliza?
George: Naendelea kidogo.
Mhe. Lissu : Swali langu sasa shahidi kwa maelezo yako mwenyewe aliyepeleka kwenye mtandao wa Jambo TV ni nani?
George: mfanyakazi wa Jambo Tv.
Mhe. Lissu : Kwa mujibu wa ushahidi wako wewe na P aliyerusha maneno hayo ni P?
George: Hapana, aliyerusha ni wewe Lissu na P.
Mhe. Lissu : kama nilichapisha mimi na P kwanini P hajashitakiwa?
Mhe. Lissu anamwambia George tutafika tu mmezoea kuwasingizia watu kwa makesi ya uongo ila Tutafika tu.
Anatafuta maelezo ya P hapa.
Ameyapata, sasa waonyeshe majaji kuwa P alisema Mh. Lissu alitutoa nje ili tusisikie maneno fulani fulani.
Anaangalia hapa Afande George.
Jibu lake tunasubiri muda huu.
George ametoa macho kama mtu aliyejinyonga kwa kamba.😂
Anangalia kwenye maelezo uniambie kama P alisema Lissu alitutoa nje ili kuna maneno tusisikilize.
Anasoma hapa kwamba "walibaki wenyewe Chadema wakatutoa kuzungumza mambo yao"
Mhe. Lissu: Kuna mahali kuna jina la Lissu.
George: Halipo hilo jina, halipo jina la Lissu.
Katuga amesimama ukisoma kifungu cha 170 cha Evidence kama kuna maswali ambayo yanamuonyesha shahidi hafai, anaitwa Nshomile tunaomba haya ya umeiba vyeti haya asiambiwe. Kama kuna tuhuma za kuiba vyeti akafungue kesi.
Mhe. Lissu : basi nitamuita msomi wa polisi.
Mhe. Lissu : Umesema mimi ndie niliyewaalika waandishi wa habari? Ile tar. 03/04.
George : ndio ni wewe ndie uliwaita.
Mhe. Lissu : Je niliwaita kwa njia ya simu?
George: Sijui uliwaita kwa njia ya simu.
Mhe. Lissu: Je barua?
George: Sijui kwa njia gani? Mimi sijui uliwaita kwa njia gani?
Mhe. Lissu : Je nilitangaza magazetini?
George: Sijui mimi ulifanyia wapi?
Mhe. Lissu : Je wewe ni polisi wa aina gani ambae hujui mkutano ulifanyika wapi?
George : HUKUTUALIKA.
Mhe. Lissu : Hujui niliwaalikaje?
George: Sijui njia uliyotumia kuwaalika.
Mhe. Lissu : Je ulimuhoji Katibu Mkuu wa Chadema kuhusu utaratibu wa kualika waandishi?
George: Sikumuhoji.
Mhe. Lissu : Je Amani Gorugwa ulimuhoji?
George: Sikumoji.
Mhe. Lissu ;Ulimhoji Brenda Rupia ulimuhoji kuhusu utaratibu wa kuita waandishi?
George: Nilimuita lakini hakuja.
Mhe. Lissu kwahiyo ulimuhoji?
George: Sikumuhoji.
Mhe. Lissu: Hujui walialikwaje? Hujui nani aliwaalika? Ila unang'ang'ania ni Tundu Lissu ndio alialika.
George: Mimi sijui kwakweli.
Mhe. Lissu : waeleze majaji kama mimi ni mmojawapo wa wakurugenzi wa Jambo TV.
George: sina uhakika na hilo.
Mhe. Lissu : je mimi ni mmoja wa waandishi wa habari wa Jambo Tv
George : sina uhakika na hilo pia.
Mhe. Lissu : Ni kweli au si kweli hizo video zilipatikana kwenye mtandao wa Jambo Tv?
George: Ni kweli zilipatikana huko Jambo TV.
Mhe. Lissu : je unafahamu mimi nina password za mtandao wa Jambo TV uliwaambia hilo majaji?
George: Siwezi kufahamu kama unazo.
Mhe. Lissu : Kama inawezekana kitaalamu kwa mtu asiye na password kuingia na kuweka chochote?
George: Sijui uliingiaje na uliwekaje hizo video.
Kumbukeni jamani kosa lake wanasema alitoa na kusambaza. Hapa anashughulika na kipengele cha kusambaza. 😂😂😂😂
Part 63 itaendelea kwenye post inayofuata
Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali
Part 62
Mhe. Lissu : Kifungu cha 39(2)d lengo la uhaini kionekane kwa maandishi in writing, publication or any overt act?
George: Ni sahihi iko hivyo.
Mhe. Lissu : Neno publish maana yake nini soma kifungu cha 3 cha cyber crime act ili tujue maana ya kupublish?
Georgia anasoma hapa kwanza, Publishing means distributing, transmitting, disseminating, printing or offering for sale. Umemaliza?
George: Naendelea kidogo.
Mhe. Lissu : Swali langu sasa shahidi kwa maelezo yako mwenyewe aliyepeleka kwenye mtandao wa Jambo TV ni nani?
George: mfanyakazi wa Jambo Tv.
Mhe. Lissu : Kwa mujibu wa ushahidi wako wewe na P aliyerusha maneno hayo ni P?
George: Hapana, aliyerusha ni wewe Lissu na P.
Mhe. Lissu : kama nilichapisha mimi na P kwanini P hajashitakiwa?
Mhe. Lissu anamwambia George tutafika tu mmezoea kuwasingizia watu kwa makesi ya uongo ila Tutafika tu.
Anatafuta maelezo ya P hapa.
Ameyapata, sasa waonyeshe majaji kuwa P alisema Mh. Lissu alitutoa nje ili tusisikie maneno fulani fulani.
Anaangalia hapa Afande George.
Jibu lake tunasubiri muda huu.
George ametoa macho kama mtu aliyejinyonga kwa kamba.😂
Anangalia kwenye maelezo uniambie kama P alisema Lissu alitutoa nje ili kuna maneno tusisikilize.
Anasoma hapa kwamba "walibaki wenyewe Chadema wakatutoa kuzungumza mambo yao"
Mhe. Lissu: Kuna mahali kuna jina la Lissu.
George: Halipo hilo jina, halipo jina la Lissu.
Katuga amesimama ukisoma kifungu cha 170 cha Evidence kama kuna maswali ambayo yanamuonyesha shahidi hafai, anaitwa Nshomile tunaomba haya ya umeiba vyeti haya asiambiwe. Kama kuna tuhuma za kuiba vyeti akafungue kesi.
Mhe. Lissu : basi nitamuita msomi wa polisi.
Mhe. Lissu : Umesema mimi ndie niliyewaalika waandishi wa habari? Ile tar. 03/04.
George : ndio ni wewe ndie uliwaita.
Mhe. Lissu : Je niliwaita kwa njia ya simu?
George: Sijui uliwaita kwa njia ya simu.
Mhe. Lissu: Je barua?
George: Sijui kwa njia gani? Mimi sijui uliwaita kwa njia gani?
Mhe. Lissu : Je nilitangaza magazetini?
George: Sijui mimi ulifanyia wapi?
Mhe. Lissu : Je wewe ni polisi wa aina gani ambae hujui mkutano ulifanyika wapi?
George : HUKUTUALIKA.
Mhe. Lissu : Hujui niliwaalikaje?
George: Sijui njia uliyotumia kuwaalika.
Mhe. Lissu : Je ulimuhoji Katibu Mkuu wa Chadema kuhusu utaratibu wa kualika waandishi?
George: Sikumuhoji.
Mhe. Lissu : Je Amani Gorugwa ulimuhoji?
George: Sikumoji.
Mhe. Lissu ;Ulimhoji Brenda Rupia ulimuhoji kuhusu utaratibu wa kuita waandishi?
George: Nilimuita lakini hakuja.
Mhe. Lissu kwahiyo ulimuhoji?
George: Sikumuhoji.
Mhe. Lissu: Hujui walialikwaje? Hujui nani aliwaalika? Ila unang'ang'ania ni Tundu Lissu ndio alialika.
George: Mimi sijui kwakweli.
Mhe. Lissu : waeleze majaji kama mimi ni mmojawapo wa wakurugenzi wa Jambo TV.
George: sina uhakika na hilo.
Mhe. Lissu : je mimi ni mmoja wa waandishi wa habari wa Jambo Tv
George : sina uhakika na hilo pia.
Mhe. Lissu : Ni kweli au si kweli hizo video zilipatikana kwenye mtandao wa Jambo Tv?
George: Ni kweli zilipatikana huko Jambo TV.
Mhe. Lissu : je unafahamu mimi nina password za mtandao wa Jambo TV uliwaambia hilo majaji?
George: Siwezi kufahamu kama unazo.
Mhe. Lissu : Kama inawezekana kitaalamu kwa mtu asiye na password kuingia na kuweka chochote?
George: Sijui uliingiaje na uliwekaje hizo video.
Kumbukeni jamani kosa lake wanasema alitoa na kusambaza. Hapa anashughulika na kipengele cha kusambaza. 😂😂😂😂
Part 63 itaendelea kwenye post inayofuata
Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali