Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Part 62

Mhe. Lissu : Kifungu cha 39(2)d lengo la uhaini kionekane kwa maandishi in writing, publication or any overt act?

George: Ni sahihi iko hivyo.

Mhe. Lissu : Neno publish maana yake nini soma kifungu cha 3 cha cyber crime act ili tujue maana ya kupublish?

Georgia anasoma hapa kwanza, Publishing means distributing, transmitting, disseminating, printing or offering for sale. Umemaliza?

George: Naendelea kidogo.

Mhe. Lissu : Swali langu sasa shahidi kwa maelezo yako mwenyewe aliyepeleka kwenye mtandao wa Jambo TV ni nani?

George: mfanyakazi wa Jambo Tv.

Mhe. Lissu : Kwa mujibu wa ushahidi wako wewe na P aliyerusha maneno hayo ni P?

George: Hapana, aliyerusha ni wewe Lissu na P.

Mhe. Lissu : kama nilichapisha mimi na P kwanini P hajashitakiwa?

Mhe. Lissu anamwambia George tutafika tu mmezoea kuwasingizia watu kwa makesi ya uongo ila Tutafika tu.

Anatafuta maelezo ya P hapa.

Ameyapata, sasa waonyeshe majaji kuwa P alisema Mh. Lissu alitutoa nje ili tusisikie maneno fulani fulani.

Anaangalia hapa Afande George.

Jibu lake tunasubiri muda huu.

George ametoa macho kama mtu aliyejinyonga kwa kamba.😂

Anangalia kwenye maelezo uniambie kama P alisema Lissu alitutoa nje ili kuna maneno tusisikilize.

Anasoma hapa kwamba "walibaki wenyewe Chadema wakatutoa kuzungumza mambo yao"

Mhe. Lissu: Kuna mahali kuna jina la Lissu.

George: Halipo hilo jina, halipo jina la Lissu.

Katuga amesimama ukisoma kifungu cha 170 cha Evidence kama kuna maswali ambayo yanamuonyesha shahidi hafai, anaitwa Nshomile tunaomba haya ya umeiba vyeti haya asiambiwe. Kama kuna tuhuma za kuiba vyeti akafungue kesi.

Mhe. Lissu : basi nitamuita msomi wa polisi.

Mhe. Lissu : Umesema mimi ndie niliyewaalika waandishi wa habari? Ile tar. 03/04.

George : ndio ni wewe ndie uliwaita.

Mhe. Lissu : Je niliwaita kwa njia ya simu?

George: Sijui uliwaita kwa njia ya simu.

Mhe. Lissu: Je barua?

George: Sijui kwa njia gani? Mimi sijui uliwaita kwa njia gani?

Mhe. Lissu : Je nilitangaza magazetini?

George: Sijui mimi ulifanyia wapi?

Mhe. Lissu : Je wewe ni polisi wa aina gani ambae hujui mkutano ulifanyika wapi?

George : HUKUTUALIKA.

Mhe. Lissu : Hujui niliwaalikaje?

George: Sijui njia uliyotumia kuwaalika.

Mhe. Lissu : Je ulimuhoji Katibu Mkuu wa Chadema kuhusu utaratibu wa kualika waandishi?

George: Sikumuhoji.

Mhe. Lissu : Je Amani Gorugwa ulimuhoji?

George: Sikumoji.

Mhe. Lissu ;Ulimhoji Brenda Rupia ulimuhoji kuhusu utaratibu wa kuita waandishi?

George: Nilimuita lakini hakuja.

Mhe. Lissu kwahiyo ulimuhoji?

George: Sikumuhoji.

Mhe. Lissu: Hujui walialikwaje? Hujui nani aliwaalika? Ila unang'ang'ania ni Tundu Lissu ndio alialika.

George: Mimi sijui kwakweli.

Mhe. Lissu : waeleze majaji kama mimi ni mmojawapo wa wakurugenzi wa Jambo TV.

George: sina uhakika na hilo.

Mhe. Lissu : je mimi ni mmoja wa waandishi wa habari wa Jambo Tv

George : sina uhakika na hilo pia.

Mhe. Lissu : Ni kweli au si kweli hizo video zilipatikana kwenye mtandao wa Jambo Tv?

George: Ni kweli zilipatikana huko Jambo TV.

Mhe. Lissu : je unafahamu mimi nina password za mtandao wa Jambo TV uliwaambia hilo majaji?

George: Siwezi kufahamu kama unazo.

Mhe. Lissu : Kama inawezekana kitaalamu kwa mtu asiye na password kuingia na kuweka chochote?

George: Sijui uliingiaje na uliwekaje hizo video.

Kumbukeni jamani kosa lake wanasema alitoa na kusambaza. Hapa anashughulika na kipengele cha kusambaza. 😂😂😂😂

Part 63 itaendelea kwenye post inayofuata

Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali
 
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Part 63

Mhe. Lissu : ulisema hizo video zilikuwepo kwenye mitandao mingine?

George: P ndio alisema.

Mhe. Lissu : Je hukuwa na interest kujua umechapisha kwa mitandao mingine?

George: Sikuwa na interest mimi.

Mhe. Lissu : Waeleze majaji kama umesoma maelezo ya Mahamba.

George: Mimi sikusoma.

Mhe. Lissu : kwahiyo kumbe hukusoma maelezo ya Amin Mahamba?

George: Sikusoma ndio.

Mhe. Lissu : Hizi video clip zilifanyiwa uchunguzi wa kitaalamu cyber forensic analysis?

George: Ni kweli kabisa zilifanyiwa.

Mhe. Lissu : Eribariki Kahaya ndio alifanya kazi hiyo?

George: Ni sahihi kabisa.

Mhe. Lissu : ni sahihi Kahaya alisema camera iliyotumika ni aina ya Sony

George : Maelezo yake sikusoma na yeye ni shahidi atakuja kutoa.

Mhe. Lissu : Na Kaaya alisema hayo maneno yakiwekwa mtandaoni na Jambo Tv?

George: Mimi sikusoma maelezo yake.

Mhe. Lissu : Waeleze Kama ulisoma maelezo ya Andrew Churu. Yule askari wa Dodoma.

George: Ya Andrew Churu sikusoma, mimi ilisoma ya P.

Mhe. Lissu : maelezo yako uliandikiwa na nani?

George: Niliandika Mwenyewe.

Mhe. Lissu : Je kabla ya kuandika maelezo hayo uliomba ushauri wa kisheria wa mwanasheria yoyote?

George: Sikuomba ushauri kokote.

Mhe. Lissu : Naomba usome kifungu cha 11(4) cha CPA. Ulisema umeandika kifungu cha 11(3)?

George: Ni kweli.

Mhe. Lissu : Ni sahihi hicho kifungu hakiruhusu mtu kujiandikia mwenyewe?

George: Kinaruhusu unaweza kujiandikisha. Kama nilivyoeleza hakuna kifungu kinachozuia na mimi ni Police officer nilijiandika mwenyewe.

Mhe. Lissu : Nani aliyekuonya? Nani aliyekukanya? Section 10(3) of CPA.

George: NI MIMI MWENYEWE NDIO NILIJIKANYA.

Watu wanacheka.😂😂😂😂

Mhe. Lissu : Nani alithibitisha pale chini baada ya maelezo yako?

George: Ni Mimi Mwneyewe, nilijiandika, nikajikanya na kujithibitisha mwenyewe.

Mhe. Lissu : ulisema mimi nina kiapo cha JKT nilitoa kinyume na kiapo changu?

George: Ni kweli nilisema hivyo.

Mhe. Lissu : Je wewe umewahi kwenda JKT?

George: MIMI SIJAWAHI KWENDA JKT.

Mhe. Lissu : Nilikwenda JKT kambi gani?

George: Mwaka 1989 ulianzia mafinga iringa na baadae ukaenda Itende Mbeya ukapewa namba fulani anaitaja hapa. Ulifuzu na kupewa cheti.

Mhe. Lissu : Je ulikuwepo mwaka 1989?

George: Sikuwepo.

Mhe. Lissu : Je ulikuwepo Itende?

George: Sikuwepo hata Itende ila wewe umegombea urais taarifa zako zinajulikana.

Mhe. Lissu : ulikiona cheti changu cha Itende?

George: Nimeona copy yako.

Mhe. Lissu : Sasa waeleze Majaji kama hayo uliyosema yapo kwenye maelezo?

George: Hayapo.

Mhe. Lissu : Kama nilienda jeshini miaka 39 mimi ni mwanajeshi?

George: Wewe ni askari wa akiba.

Mhe. Lissu : Soma ibara ya 147(4)

Mnakaa huko mnadanganyana hamjui mambo mnajifanya mnajua.

Jaji anasema Mshitakiwa tafadhali.

George anasoma Katiba sasa Mwanajeshi maana yake ni askari aliyeajiriwa kwa masharti ya muda au kudumu katika jeshi la polisi, lawananchi, au la magereza au polisi.

Mhe. Lissu : Sasa waeleze majaji kama mimi nimeajiriwa kwa muda katika mojawapo ya hayo majeshi.

George : Wewe umeajiriwa na JKT.

Mhe. Lissu : Je kwenda JKT mwaka 1989 na 1990 je nilikuwa nimejajiriwa?

George: Hukuwa umeajiriwa.

Mhe. Lissu : nilivyomaliza nilikuwa nimeajiriwa?

George: Hukuwa umeajiriwa.

Mhe. Lissu : Kwenye Katiba kuna maneno askari wa akiba?

George: Hayapo kabisa kwenye Katiba.

Mhe. Lissu : Waeleze kama umewasilisha hati ya kiapo cha utii cha kwangu hapa mahakamani?

George: Sijakiwakilisha mimi, sijaleta hapa.

Mhe. Lissu : Je mtu yeyote aliyepitia JKT anakuwa mwanajeshi milele? Askari wa akiba anatambulika kikatiba?

George: Anatambulika.

Mhe. Lissu : Hawa maaskari wa akiba wana masharti na askari wengine?

George: Ndio.

Mhe. Lissu : Je Kikwete Ruten Kanali ni mwanajeshi alikuwa?

George:Ndio alikuwa mwanajeshi.

Part 64 itaendelea kwenye post inayofuata.

Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali
 
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Part 64

Tunaendelea na Cross examination

Mhe. Lissu : Katiba inasema itakuwa ni marufuku kwa mwanajeshi yeyote kujiunga na chama cha siasa?

George Ni kweli.

Mhe. Lissu : Sasa kuhusu Kikwete alikuwaje Mwenyekiti wa CCM?

George: Hilo sijui.

Mhe. Lissu : Je Kinana nae?

George:Nae sijui

Mhe. Lissu : Yusuph Makamba nae katibu Mkuu wa Ccm alikuwa mwanajeshi na alikuwaje kiongozi wa Ccm?

George: Yeye alikuwa Mwanajeshi mstaafu.

Mhe. Lissu : Ni kweli National Prosecution Act kunapokuwa na kosa lolote ambalo adhabu ni kifo DPP anapaswa kujurishwa?

George: Ndio ni kweli inapaswa kuwa hivyo.

Mhe. Lissu : Kati ya tar. 04 na tar. 08 wakati nakamatwa Mbinga kama ulitoa taarifa kwa DPP?

Georgia : Mpaka tarehe 08 nilikuwa sijapeleka.

Mhe. Lissu : Na kwenye maelezo yako pia hujasema jambo hilo?

George : Ndio sijasema.

Mhe. Lissu : Waeleze majaji Sheria ya NPS niliyoitaja DPP au mawakili wake ndio wenye mamlaka ya kuratibu makosa ya jinai?

George: Ni sahihi.

Mhe. Lissu : Je DPP aliratibu upelelezi ukiwa Chief investigator?

George : kwa siku ambazo mimi nilikuwa kiongozi wa upelelezi sikuwahi kumuona wakili kutoka kwa DPP, hawakusimamia au kuratibu huu upelelezi.

Anasimama Wakili wa Serikali Renatus Mkude anasema Mheshimiwa Jaji muda umeenda na wenzetu wa Magereza wanasema barabara ni mbovu kwahiyo tunaomba kuahirisha hadi kesho.

Mhe. Lissu anaulizwa wewe unasemaje?

Mhe. Lissu Wah. Majaji basi tuwakubalie na mimi niende nikale, huyu niko nae sana.

Bado nahitaji kuendelea nae.

Jaji anasema lakini kwa maafisa wa Mahakama jana tuliahirisha kesi hapa mkashikana mashati.

Leo tulikuwa tunawaangalia mnafanya jambo gani hapa, hatutaki kukitumia kifungu cha 114 hapa.

Tusingependa yatokee hayo.

Hakuna Afisa wa Mahakama mwenye immunity. Anajaribu kuwasema mawakili wa serikali.

Kesi imeahirishwa, Tukutane kesho saa tatu asubuhi

Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali
 
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Leo Oktoba 8, 2025

Jana tuliishia Part 64 so leo tunaendelea na

Part 65

Mhe. Lissu ameshaletwa hapa.

Amepiga Kombati ya Kaki ya CHADEMA.

Shahidi nae amaingia amevaa shati la kanisani kabisa lina maua maua.

Utafikiri amekuja kuongea ukweli vile.😂

Sauti ya Courtttttt imesikika.

Majaji wanaingia na Mh. Lissu anatoa vitu vyake kwenye mifuko yake.

Makabrasha mengi sana na mavitabu.

Majaji wanaandika kidogo hapa.

Anaitwa Karani anasoma jinai na 19605/2025 Jamhuri dhidi ya Tundu Lissu.

Jaji anawaita Mawakili wa Serikali wajitambulishe anaongoza Kazi hiyo Renatus Mkude, Wakili Mkuu wa Serikali akiwa pamoja na wenznake akina Ajuaye Zengeli, Nassoro Katuga, Ignas Mwinuka, Thawabu Issa, Harrison Lukosi, Cathbert Mbiringe na Winiwa Kasawa. Mshitakiwa yupo na anajitetea mwenyewe. Tuko tayari upande wa Jamhuri.

Jaji anamuuliza Mshitakiwa na Lissu anajibu na mimi niko tayari Waheshimiwa Majaji.

Jaji anamuonya Shahidi kuwa yuko chini ya kiapo. Akumbuke hilo.

Sasa kabla hatujaendelea kulikuwa na lile jambo kuhusu mmoja ya watu uliowaorodhesha alikuwa Na. 12 kwenye orodha.

Tulimwambia Msajili kuwa alifuatilie na uhalisia ni kwamba uhamiaji walisema wanahitaji nyaraka kwa mtu huyo na tumeambiwa Bwana mmoja anaitwa Heche alikuwa analifuatilia.

Kwahiyo nasisi mahakama tutaendelea kulifuatilia pia.

Tuendeleee.

Maswali yanaanza.

Mhe. Lissu : Habari ya asubuhi shahidi

George: Nzuri.

Mhe. Lissu: Mhe Jaji hiyo usiirekodi.

Mhe. Lissu: shahidi kuna mambo nataka tumalize haraka haraka katika maelezo yako ya juzi ulisema ulishika madaraka pia ndani ya hii miaka yako 22 ya upolisi ulikuwa Deputy RCO wa Rufiji 2008.

George: Ni kweli kabisa.

Mhe.Lissu: Ulikuwa Rufiji lini?

George : Nilikuwa kuanzia tar. 01/07/2018 hadi Tar. 17/07/2019.

Mhe. Lissu: waeleze majaji kama Rufiji ni mkoa wa kipolisi au wilaya ya kipolisi?

George: Rufiji ni Mkoa wa kipolisi wenye wilaya nne.

Mhe. Lissu: Ni nani alikuwa RPC wako?

George: SACP Onesmo Lyanga.

Mhe. Lissu : NANI ALIKUWA RCO?

George: Alikuwa anaitwa ACP Faustine Mafwele na mwingine SSP Richard Mchomvu.

Mhe. Lissu : Mafwele huyu huyu?

George: Kimya

Mhe. Lissu : Nilikwambia jana uwe unajibu maswali yangu usiwe na kiherehere.

Mhe. Lissu : Je kipindi kile ukiwa Deputy RCO mkuranga, kibiti, kulikuwa na mauaji mengi?

George : Ni kipindi hicho hicho kweli nilikuwa Deputy RCO.

Mhe. Lissu : JE unakumbuka idadi ya waliouawa?

George: Sikumbuki idadi yao.

Mhe. Lissu : Je unaweza kueleza sababu ya mauaji hayo mengi?

George : Kulikuwa na makosa mengi ya kigaidi ndo maana yalikuwepo.

Mhe. Lissu : Na wewe ulikuwa Deputy RCO na hujui idadi ya watu wengi waliokufa?

George : Ungenipa muda ningekuja na idadi hiyo halisi.

Mhe. Lissu : Wakati unaonyeshwa ile video ulikuwa na police notebook?

George: Yes nilikuwa nayo na hiyo notebook niliitumia kurekodi yale muhimu.

Mhe. Lissu: Naomba ueleze kama uliwasilisha hiyo Police notebook?

George: Sikuiwasilisha.

Mhe. Lissu : Ulizungumza kwa kiasi kidogo juu ya mashahidi waliopatiwa ulinzi wa mahakama?

George : Ndio ni sahihi.

Mhe. Lissu: Waeleze Majaji kama ulihusika kuwahoji hao mashahidi wa siri?

George: Sikuhusika kabisa kuwahoji.

Mhe. Lissu : Ieleze Mahakama kama unawafahamu hao mashahidi wa siri?

George: Siwafahamu kwa majina.

Mhe. Lissu : Waeleze majaji kama uliona maombi yaliyopelekwa mahakama kuu kuwaombea ulinzi?

George : Sikuyaona kabisa.

Mhe. Lissu : uliona hati ya viapo ya AMIN MAHAMBA NA MOSSIE KAHIMA?

George: Sikuona kabisa.

Mhe. Lissu : Je unajua chochote kuhusu kilichofanya katika jambo hilo la mashahidi wa siri?

George : Mimi ninachojua waliopatiwa ulinzi huo ni raia tu.

Part 66 itaendelea kwenye post inayofuata,
 
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Leo Oktoba 8, 2025

Jana tuliishia Part 64 so leo tunaendelea na

Part 65

Mhe. Lissu ameshaletwa hapa.

Amepiga Kombati ya Kaki ya CHADEMA.

Shahidi nae amaingia amevaa shati la kanisani kabisa lina maua maua.

Utafikiri amekuja kuongea ukweli vile.😂

Sauti ya Courtttttt imesikika.

Majaji wanaingia na Mh. Lissu anatoa vitu vyake kwenye mifuko yake.

Makabrasha mengi sana na mavitabu.

Majaji wanaandika kidogo hapa.

Anaitwa Karani anasoma jinai na 19605/2025 Jamhuri dhidi ya Tundu Lissu.

Jaji anawaita Mawakili wa Serikali wajitambulishe anaongoza Kazi hiyo Renatus Mkude, Wakili Mkuu wa Serikali akiwa pamoja na wenznake akina Ajuaye Zengeli, Nassoro Katuga, Ignas Mwinuka, Thawabu Issa, Harrison Lukosi, Cathbert Mbiringe na Winiwa Kasawa. Mshitakiwa yupo na anajitetea mwenyewe. Tuko tayari upande wa Jamhuri.

Jaji anamuuliza Mshitakiwa na Lissu anajibu na mimi niko tayari Waheshimiwa Majaji.

Jaji anamuonya Shahidi kuwa yuko chini ya kiapo. Akumbuke hilo.

Sasa kabla hatujaendelea kulikuwa na lile jambo kuhusu mmoja ya watu uliowaorodhesha alikuwa Na. 12 kwenye orodha.

Tulimwambia Msajili kuwa alifuatilie na uhalisia ni kwamba uhamiaji walisema wanahitaji nyaraka kwa mtu huyo na tumeambiwa Bwana mmoja anaitwa Heche alikuwa analifuatilia.

Kwahiyo nasisi mahakama tutaendelea kulifuatilia pia.

Tuendeleee.

Maswali yanaanza.

Mhe. Lissu : Habari ya asubuhi shahidi

George: Nzuri.

Mhe. Lissu: Mhe Jaji hiyo usiirekodi.

Mhe. Lissu: shahidi kuna mambo nataka tumalize haraka haraka katika maelezo yako ya juzi ulisema ulishika madaraka pia ndani ya hii miaka yako 22 ya upolisi ulikuwa Deputy RCO wa Rufiji 2008.

George: Ni kweli kabisa.

Mhe.Lissu: Ulikuwa Rufiji lini?

George : Nilikuwa kuanzia tar. 01/07/2018 hadi Tar. 17/07/2019.

Mhe. Lissu: waeleze majaji kama Rufiji ni mkoa wa kipolisi au wilaya ya kipolisi?

George: Rufiji ni Mkoa wa kipolisi wenye wilaya nne.

Mhe. Lissu: Ni nani alikuwa RPC wako?

George: SACP Onesmo Lyanga.

Mhe. Lissu : NANI ALIKUWA RCO?

George: Alikuwa anaitwa ACP Faustine Mafwele na mwingine SSP Richard Mchomvu.

Mhe. Lissu : Mafwele huyu huyu?

George: Kimya

Mhe. Lissu : Nilikwambia jana uwe unajibu maswali yangu usiwe na kiherehere.

Mhe. Lissu : Je kipindi kile ukiwa Deputy RCO mkuranga, kibiti, kulikuwa na mauaji mengi?

George : Ni kipindi hicho hicho kweli nilikuwa Deputy RCO.

Mhe. Lissu : JE unakumbuka idadi ya waliouawa?

George: Sikumbuki idadi yao.

Mhe. Lissu : Je unaweza kueleza sababu ya mauaji hayo mengi?

George : Kulikuwa na makosa mengi ya kigaidi ndo maana yalikuwepo.

Mhe. Lissu : Na wewe ulikuwa Deputy RCO na hujui idadi ya watu wengi waliokufa?

George : Ungenipa muda ningekuja na idadi hiyo halisi.

Mhe. Lissu : Wakati unaonyeshwa ile video ulikuwa na police notebook?

George: Yes nilikuwa nayo na hiyo notebook niliitumia kurekodi yale muhimu.

Mhe. Lissu: Naomba ueleze kama uliwasilisha hiyo Police notebook?

George: Sikuiwasilisha.

Mhe. Lissu : Ulizungumza kwa kiasi kidogo juu ya mashahidi waliopatiwa ulinzi wa mahakama?

George : Ndio ni sahihi.

Mhe. Lissu: Waeleze Majaji kama ulihusika kuwahoji hao mashahidi wa siri?

George: Sikuhusika kabisa kuwahoji.

Mhe. Lissu : Ieleze Mahakama kama unawafahamu hao mashahidi wa siri?

George: Siwafahamu kwa majina.

Mhe. Lissu : Waeleze majaji kama uliona maombi yaliyopelekwa mahakama kuu kuwaombea ulinzi?

George : Sikuyaona kabisa.

Mhe. Lissu : uliona hati ya viapo ya AMIN MAHAMBA NA MOSSIE KAHIMA?

George: Sikuona kabisa.

Mhe. Lissu : Je unajua chochote kuhusu kilichofanya katika jambo hilo la mashahidi wa siri?

George : Mimi ninachojua waliopatiwa ulinzi huo ni raia tu.

Part 66 itaendelea kwenye post inayofuata,
 
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Part 66

Mhe. Lissu : Matukio ya tarehe 07/04 ulisema Andrew Churu alitoka Makao Makuu ya polisi Dodoma na kuja Dar es Salaam kukuletea vifaa kadhaa na maelezo ya shahidi P?

George: NI KWELI VYOTE ALIKUJA NAVYO. NILIPOKEA.

Mhe. Lissu: Ulimuelekeza akabidhi vitu hivyo kwa Peter Malugala.

George: Ni sahihi kabisa.

Mhe. Lissu: Ulimwambia pia aandike maelezo yake yeye Mwenyewe?

George: Nilisema aandike maelezo.

Mhe. Lissu: Ulisema maelekezo yaandikwe na nani?

George: Sikujali nilisema tu aandike maelezo.

Mhe. Lissu : Kwahiyo hukujali kama anaaandika mwenyewe?

George: Yes sikujali.

Mhe. Lissu : Andrew Churu alijiandikia Mwenyewe?

George: Sikusoma maelezo yake.

Mhe. Lissu : Alijiandikia na kujionya mwenyewe?

George: Mimi sikusoma kiukweli.

Mhe. Lissu: Kesi ya ugaidi husomi mashahidi?

George: Mahamba ndio alisoma hilo sio mimi.

Mhe. Lissu : Baada ya kuwa umeletewa memory card na maelezo ya P ulisema umefahamu kuwa ile video ilikuwa picha halisi?

George: Yes ni kweli nilisema hivyo.

Mhe. Lissu : Je wakati unafikia hiyo conclusion je ulikuwa umeshapata taarifa ya kitaalamu ya Kaaya ambae ni mtaalamu wa forensic?

George: Nilikuwa sijapata hiyo taarifa kabisa.

Mhe. Lissu : Waeleze majaji kulikuwa na sababu gani ya wewe ulishajua hiyo video ya kweli kwanini ulimpa Kaaya aende akachunguze hiyo video wakati ulishajua ni halisia?

Grorge: Sababu ya meta data lakini kuona kwa macho huwezi kugundua kama video ni halisi. 😂

Mhe. Lissu : Umeiwasilisha hiyo video hapa mahakamani?

George: Sijaiwasilisha mimi kiukweli, niliiona ile siku.

Mhe. Lissu : Kwahiyo kama uliona wewe na majaji wameshaona?

George: Watakuja kuiona huko mbele.

Mhe. Lissu : Je wewe sasa umeleta?

George: Sijaleta.

Mhe. Lissu : Je umesoma report ya hiyo video kutoka kwa mtaalamu?

Grorge: Mimi sikuisoma.

Mhe. Lissu : Je maelezo ya Kaaya ulisoma?

George: Nilisoma ndio.

Mhe. Lissu : Je Inspector Kaaya alisema kwamba walioingiza mtandaoni ni P?

George: Si kweli hakusema hivyo.

Mhe. Lissu anasema ngoja twende kwenye statement yako hapa.

Naomba nimsomee yafuatayo kutoka kwenye maelezo yako wewe mwenyewe. "Mnamo tarehe 06 nilimtafuta kiongozi wa Jambo nikimtaka anipatie picha halisi aliniambia muhusika na kifaa viko Dodoma" haya ni yako?

George: Yes niliandika mimi hapo.

Mhe. Lissu : Haya twendeleee kama unayatambua.

Mhe. Lissu : “baada ya kuletwa memory card na maelezo ya shahidi kwamba nj yeye aliyerekodi na kuchapisha mtandaoni nilijiridhisha ni video halisi" haya maneno ni ya kwako au sio ya kwako?

George: Ni ya kwangu kabisa.

Mhe. Lissu : Haya ni maneno uliyoandika tar. 08/04/2025 ?

George: Ni kweli kabisa.

Mhe. Lissu : Sasa tuzungumze kuhusiana na Uhaini.

Ulisema kwamba nilielekeza uchunguzi wa uhaini kwasababu Lissu alisema atahamasisha uasi?

George: Ni kweli kabisa.

Mhe. Lissu : Mheshimiwa nimekosea we sio mheshimiwa sasa kuna mahali kokote umetafsiri neno uasi?

George : Kuzuia uchaguzi, vitisho kwa serikali basi sikusema neno moja moja. kwahiyo sikutoa tafsiri ya neno uasi.

Mhe. Lissu : Je katika hati ya mashitaka ninayoshtakiwa nayo kuna ufafanuzi wa neno tutahamasisha uasi?

George: Huo ufafanuzi upo.

Mhe. Lissu : Sasa tuambie upo wapi? Hapo kwenye hati ya mashitaka? Nakusomea hati ya mashitaka ilivyosema? Neno uasi limetajwa mara mbili. Je kuna mahali kokote imeandikwa?

George: Uasi ilitafsiriwa.

Mhe. Lissu : Una akili timamu wewe afisa wa polisi?

George: Nina akili timamu ndio maana ni afisa wa Polisi.

Mhe. Lissu : unaweza kuwa afisa wa polisi nchi hii na ukawa huna akili timamu.

Part 67 itaendelea kwenye post inayofuata,

Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali
 
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Part 67

Mhe. Lissu : Sasa uasi maana yake nini? Naomba nimsomee tafsiri kutoka kamusi kuu ya kiswahili toleo la 3 ni kitendo cha kuwaondoa madarakani na pia nakusomea Kamusi ya Baraza la Kiswahili la Zanzibar inasema tendo la kuvunja sheria, kanuni au amri.

Kamusi ya kiswahili sanifu imetolewa na Chuo kikuu cha Dar es Salaam na hii inasema tolea la 2002 inasema uasi hali ya uvunjaji wa kanuni, sheria au amri.

Sasa swali je wewe unafahamu maana tofauti ya hizi zilizopo kwenye kamusi?

George: HIZO TAFSIRI ZIPO VIZURI NAKUBALI.

Mhe. Lissu : Je kuna sheria inayohusu mikutano ya hadhara?

George: Ipo hiyo sheria.

Mhe. Lissu : Je mtu akivunja sheria ya mikutano ya hadhara atakuwa amefanya uasi? Je mtu akifanya mkutano wa hadhara bila kibali? Bila kutoa taarifa polisi

George: haliwi kosa la uhaini.

Mhe. Lissu: Mtu akifanya maandamano bila kutoa taarifa polisi ni kosa la uhaini?

George: Sio kosa la uhaini.

Mhe. Lissu : Hilo neno uasi ni kuvunja sheria?

George: Ni kuvunja sheria za Uchaguzi.

Mhe. Lissu : Safi umekuja vizuri. Twende kwenye Sheria za Uchaguzi.

Anafungua sasa sheria zake za Uchaguzi. Ninayo hapa Sheria ya Uchaguzi wa Rais wabunge na madiwani ya mwaka 2024

Sheria na. 1. Nataka nimuelekeze shahidi sura ya 7 inayozungumzia makosa na adhau yani makosa ya Uchaguzi.

Sasa wambie majaji kosa la kwanza ni kosa gani?

George anasoma -; Makosa yanayohusu uandikishaji wa wapiga kura.

Hili ni kosa la uhaini nitakuuliza yote ili nikienda kunyongwa niseme hakuna swali niliacha kuuliza. Anasema hapa Lissu.

Kosa la Pili ni nini? Kutumia wadhifa kushawishi wasiombe kuteuliwa.

Anasoma makosa yote hapa George kwenye hii sheria. Amefika kosa la saba. Hajasema bado kosa la kuzuia uchaguzi hadi sasa amefika la 10. Anasoma makosa yote 25 yaliyopo kwenye hiyo sheria.

Mhe. Lissu : Sasa katika yote uliyosoma kwenye sheria hiyo kuna kosa la kuzuia uchaguzi Mkuu?

George: Lipo kwenye makosa mengineyo.

Mhe. Lissu : Hebu yaseme.

George anasoma hayo makosa mengineyo sheria inasema makosa mengineyo maana yake ni kusema uongo na adhabu yake ni kulipa faini elfu 50.

Watu wanacheka 😂😂😂😂

Mhe. Lissu : kwahiyo katika orodha ya makosa yote ya Uchaguzi hakuna kosa la kuzuia Uchaguzi ni kweli?

George: Kwa niliyoyasoma hakuna hilo kosa lakini sehemu nyingine linaweza kuwepo.

Mhe. Lissu : Hayo mengine baki nayo mwenyewe mimi nimekupa sheria.

Mhe. Lissu Mtu hawezi kwenda kunyongwa bila mapambano hilo nakuahidi. Sasa twende.

Atakinukisha vibaya sana tena sana. Ulisema hivyo?

George: NI SAHIHI.

Mhe. Lissu Kwenye maelezo yako uliyanukuu hayo maneno "Wanasema msimamo huu unaashiria uasi, tutakwenda kukinukisha sana sana" Je katika maelezo yako yote ulifafanua maana ya maneno TUTAKINUKISHA VIBAYA SANA AU TUTAKINUKISHA SANASANA?

George : sikutafsiri neno moja moja.

Mhe. Lissu : Unafikiri ni rahisi kunyonga mtu.

Haya maneno kwenye hati ya mashitaka kuna mahali hayo maneno tutakinukisha yametafsiriwa?

George: Kwa neno moja moja hayajatafsiriwa.

Mhe. Lissu: Sasa twende kwenye Kiswahili sanifu tukaone maana ya neno KUKINUKISHA anamfungulia KAMUSI hapa.

Tuangalie sasa maana ya neno KIKUNUKISHA. Ni sahihi neno Kukinukisha linatokana na neno NUKA AU NUKIA?

George: NI SAHIHI.

Mhe. Lissu: Kamusi inasema tokwa na harufu mbaya au vunda na Nukia ni toa harufu nzuri. Kamusi nyingine ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam inasema Nuka ni toa harufu mbaya kwasababu ya kuoza. Nukia toa harufu nzuri kama vile marashi.

Sasa kama tulisema tutakinukisha sanasana maana yake kinuke vibaya kitoe harufu mbaya sana si kweli?

George: Kwa unayosoma kwenye kamusi ni kweli kabisa.

Mhe. Lissu : Na vilevile kukinukisha kinukie ni kukifanya kitoe harufu nzuri sana?

George: Kwa vile ulisema vibaya basi ni kinuke sio kunukia.

Mhe. Lissu : Je na kukinukisha sana sana ni inaweza kuwa kinukie vizuri sana?

George: Hiyo haiwezekani.

Part 68 itaendelea kwenye post inayofuata

Naomba repost yako
 
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Part 68

Anaendelea Mhe. Lissu na maswali kwa Shahidi wa Jamhuri

Mhe. Lissu : Je mtu akisema kukinukisha vibaya sana ni kosa la uhaini?

George: Ndio amefanya kosa la uhaini.

Mhe. Lissu : Sasa kifungu cha 39(2)d ya Penal Code inasema kuhusu kosa la uhaini anamsomea. Je hapo kwenye hicho kifungu wapi kuna KUKINUKISHA SANA SANA?

George: Hayo maneno hayajatajwa kwenye hicho kifungu.

Mhe. Lissu : ulisema nimeitisha serikali?

George: Ni sahihi nilisema hivyo.

Mhe. Lissu : Ulisema uchaguzi mkuu uko Kikatiba?

George: Ni sahihi kabisa.

Mhe. Lissu : Sasa waeleze katika kifungu cha 39(2)d kama neno uchaguzi limetajwa?

George: Halijatajwa.

Mhe. Lissu : Uchaguzi Mkuu je?

George: Halijatajwa.

Mhe. Lissu : Kuzuia uchaguzi mkuu halijatajwa?

George: Halijatajwa.

Mhe. Lissu : Wewe hivyo vyeti vyako umenunua sio bure.

Watu : 😂😂😂😂😂😂

Mhe. Lissu : Ulisema Tundu Lissu alitaka kulazimisha serikali kufanya anayoyataka yeye?

George: Ni sawa sawa nilisema.

Mhe. Lissu : Uliandika hivi maelezo yako maneno haya niliona yana nia ya kuitisha serikali.

Sasa nakusomea kifungu cha 55(2) cha Penal Code Pia nitakusomea Media Services Act p. Sec. 52 pia nitamsomea sheria ya TISS (Idara ya Usalama wa Taifa) kifungu cha 3 kinasema tishio kwa usalama wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mhe. Lissu : Ni ushahidi wako kuwa mtu anayepinga sheria ni kosa la jinai?

Georg : Inategemea.

Mhe. Lissu : Sasa nianze na Penal Code S. 55(2) kuhusu nia ya Uchochezi inasema kitendo kauli au chapisho hakitakuwa cha uchochezi kama kitakuwa na lengo kuwa serikali imekosea haitakuwa ni uchochezi. Kama unaonyesha makosa au mapungufu katika serikali au katika sheria au utendaji wa haki mahakamani kwa lengo la kubadilisha mambo hayo na anayehamasisha wakazi wa jamhuri ya muungano kubadilisha kwa njia halali sio kosa la jinai.

George: Kwa njia ya halali sio kosa.

Mhe. Lissu: Sasa hujaonyesha sheria toka nianze.

Mhe. Lissu : Sheria ya habari inasema kuionesha serikali imekosea halitakuwa kosa la uchochezi sasa mimi kusema uchaguzi wa hovyo unasimamiwa na serikali ya hovyo ni kosa la jinai?

George : Ndio ni kosa la jinai.

Mhe. Lissu : Twende kwenye Sheria ya usalama wa taifa. Imetaja mengi ikiwemo ujasusi, uhujumu uchumi na matishio ya kutumia serious violence je sheria hii ya usalama wa taifa ni kosa la jinai?

George: Kweli ni Kosa la Jinai.

Mhe. Lissu : Je kusema kutaka mabadiliko ni kosa la uhaini kwa mujibu wa sheria hii?

George: Ukifuata utaratibu sio kosa.

Mhe. Lissu : Huo utaratibu ukoje?

George: Kwenda kuyapeleka Mahakamani.

Mhe. Lissu : Je kuitisha maandamano ya amani ni utaratibu?

George: Ndio utaratibu.

Mhe. Lissu : Ni wapi sisi tulisema hatufuati utaratibu?

George: Sasa kuzuia uchaguzi ni kosa.

Mhe. Lissu : Nani alisema hatafuata sheria?

George: Ni wewe mwenyewe.

Nyie huyu George kuna nati haiko sawa kuna vitu anaongea mpaka unaweza kudhan kakatwa kichwa.😂 eniwei tuendelee

Mhe. Lissu : Jana ulisema kwamba baada ya kuonyeshwa ile video clip uliunda team ya Wapelelezi?

George: Ni sahihi kabisa.

Mhe. Lissu : Nimesoma maelezo ya Amin Mahamba. Je ulisoma maelezo ya Amin Mahamba?

George: Mimi sikusoma maelezo ya Mahamba halafu…..

Mhe. Lissu : Acha kiherehere ulisoma maelezo au hukusoma?

George:Sikusoma.

Mhe. Lissu : Mahamba anasema aliunda timu tatu za upelelezi?

George: Ni kweli aliunda.

Mhe. Lissu: Sasa waeleze Majaji kuwa kama ulionesha Amin Mahamba aliunda timu ya wapelelezi?

George: Sikuandika maana nilishaandika maelezo tar. 08.

Mhe. Lissu : Sasa uliandika maelezo tarehe 10 ya nyongeza pia ulisema kuhusu mahamba kuunda timu ya upelelezi?

George: Sikuandika hilo hata tar. 10.

Mhe. Lissu : Ulisema uliripoti kwa Kamishna Ng'anzi kuhusu kuteua timu ya wapelelezi kama lipo kwenye maelezo yako?

George: Linawezekana kuwa sijaliandika kabisa.

Part 69 itaendelea kwenye post inayofuata.

Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali.
 
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Part 69

Mhe. Lissu : Ulisema kwenye ushahidi wako kwamba Tar. 09/04 ulipigiwa simu na DCP Ramadhani Ng'anzi kuwa alikuwa amekamatwa Mbinga na angesafirishwa usiku huo huo?

George: Ni kweli kabisa.

Mhe. Lissu : Sasa waeleze majaji kama amri ya kunikamata mimi ilitoka kwako au kwingineko?

Mhe. Lissu : Ilitoka kwingineko.

Mhe. Lissu : Yalitokea Dodoma kwa akina Kingai?

George: Hilo sijui.

Mhe. Lissu : Kwahiyo ni kweli mawasiliano yako na Kingai yalikuwa yanapitia kwa Ng'anzi?

George : Mimi sijui kama ilitokea huko.

Mhe. Lissu : Sasa turudi kwenye PGO.

Ni kweli au si kweli askari polisi wanaatakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kuelewa kanuni kwamba Tanzania ni nchi ya kidemokrasia inayotumia kanuni ya utawala wa sheria?

George: Ni kweli kabisa.

Mhe. Order 1(2)C yapo kwenye PGO hayo niliyosema yapo huko kwenye PGO?

George: NI SAHIHI YAPO.

Mhe. Lissu : Askari Polisi wote wanatakiwa kwa muda wote wanatakiwa kuheshimu haki za binadamu na uhuru uliowekwa na Katiba?

George: Sahihi kabisa.

Mhe. Lissu O.1(3) ya PGO ndio hayo yapo?

George: Ni sahihi kabisa.

Mhe. Lissu : Je haki ya kutoa maoni ni pamoja na mambo mnayoyasimamaia kama haki za msingi kwa binadamu?

George: Ni sahihi kabisa.

Mhe. Lissu : Haki mnayoitakiwa kuiheshimu muda wote ni kuhakikisha kila mtu kuishi kwa uhuru bila kosa lolote?

George: Ni kweli pia.

Mhe. Lissu : Haki ya kutoa mawazo yake hadharani na kujiunga na vyama vya siasa au mashirika?

George: Ni sahihi kabisa.

Mhe. Lissu: Haki ya kufaidi haki za msingi za binadamu kwa mujibu wa ibara ya 27?

George: Ni sahihi kabisa.

Mhe. Lissu : Sasa ni kweli au si kweli PGO inaposema Tz ni nchi ha kidemokrasia ya vyama vingi?

George: Ni kweli kabisa.

Mhe. Lissu : Sasa kama ni nchi ya mfumo wa vyama vingi ni sahihi Inategemea nini au utaratibu wa Polisi?

George: Inategemea sheria.

Mhe. Lissu : Ni haki kuunda Chama na kupinga serikali?

George: Ni kweli kabisa.

Mhe. Lissu : Ni halali kwa mtu yeyote kupinga Chama kinachotawala?

George : Itategemea kitu gani kwa njia halali inaruhusiwa.

Mhe. Lissu : Kuitisha mikutano ya hadhara au mikutano ya ndani si ni sahihi?

George: Ni sahihi kabisa, kutaka kuwa na mkutano ni shida vitisho.

Mhe. Lissu : Sasa waeleeze Majaji katika maelezo yako kuna mahali kokote ambapo ulieleza kwamba hawa watu wana haki ya kukutana na kusema mambo yao?

George: Hilo sikuandika.

Mhe. Lissu : Kuna mahali kokote ulisema Tundu Lissu na Chadema wana haki ya kutaka mabadiliko ya Katiba?

George: Sikusema kwenye maelezo yangu

Mhe. lissu : Ulisema pia kuwa Majaji ni watu wa Rais na ni Maccm kwahiyo mahakamani hakuendeki?

George: Ni sahihi.

Mhe. Lissu : Kwa ufahamu wako Rais ndie anateua Majaji wa Mahakama kuu?

George: Ndio sahihi.

Mhe. Lissu: Kwa ufahamu je majaji wa Mahakama ya Rufani?

George: Anateua pia.

Mhe. Lissu Jaji Mkuu Je?

George: Anateua pia.

Mhe. Lissu: Je ndie anateua Jaji Kiongozi?

George: Ni sahihi pia.

Mhe. Lissu : Anateua Wasajili wa Mahakama kuu na mahakama ya rufani?

George: Ni kweli.

Mhe. Lissu : Kwa ufahamu wako Rais ndie anayeteua Mwanasheria Mkuu wa Serikali?

George: Ni sahihi hadi DPP anateua Rais.

Mhe. Lissu : Mwanasheria Mkuu wa Serikali akiteuliwa anaakuwa Mbunge ni kweli?

George: Ni kweli kabisa.

Mhe. Lissu : Mbunge yeyote wa nchi hii ni lazima awe mwanachama wa Chama cha siasa?

George: Ni kweli kabisa.

Mhe. Lissu Sasa waeleze majaji kama unamfahamu Jaji Eliezer Feleshi Mbuki?

George: Namfahamu ndio.

Mhe. Lissu : Kama Eliezer Feleshi Mbuki alikuwa Mwanasheria mkuu wa serikali na Mbunge wa bunge la JMT?

George: NI KWELI.

Mhe. Lissu : Kwahiyo alikuwa mwanachama wa CCM?

George: Hilo sina uhakika.

Mhe. Lissu : Je unamfahamu Jaji Frederick Werema marehemu?

George: Namfahamu.

Mhe. Lissu : Na yeye alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali?

George: Ndio

Mhe. Lissu : Je na yeye alikuwa mwanachama wa CCM?

George:Hapana

Part 70 itaendelea kwenye post inayofuata,

Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali
 
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Part 70

Mhe. Lissu : Je Werema na yeye alikuwa mwanachama wa CCM?

George:Hapana

Mhe. Lissu : Aina za Wabunge ni waliochaguliwa, viti maalumu, walioteuliwa.

Sifa za mtu kuwa mbunge. Anasoma ya kwanza raia na yapili mwanachama wa chama cha siasa na asipokuwa mwanachama wa Chama cha siasa huwezi kuwa mbunge.

Je Frederick Werema alikuwa mwanachama wa CCM au hakuwa?

George: Huyo Hakuwa.

Mhe. Lissu : Unamfahamu Jaji Mkuu George Mcheche Masaju?

George: Huyo nimesoma nae.

Mhe. Lissu : Alikuwa mwanasheria mkuu wa Serikali?

George: Ndio

Mhe. Lissu Alikuwa mwanachama wa CCM?

George: HILO SIO KWELI.

Mhe. Lissu : Je unafahamu wakati wa Urais wa Mkapa Masaju alikuwa mshauri wake wa sheria ikulu?

George: Ni sahihi kabisa.

Mhe. Lissu: Wambie Majaji kuwa aliteuliwa kuwa naibu mwanasheria mkuu na baadae kuwa mwanasheria mkuu wa serikali?

George: Ni sahihi kabisa.

Mhe. Lissu : Na sasa Samia kamteua kuwa Jaji Mkuu?

George: Ni sahihi kabisa.

Mhe. Lissu ; Ni sahihi alikuwa Jaji wa Mhakama ya rufaa na anafanya kazi Ikulu?

George: Ni sahaihi alikuwa anafanya ikulu.

Mhe. Lissu ; Unafahamu Samia anahamisha wamasai ngorongoro kwenda Muheza?

George: Hilo sijui kabisa.

Anasimama KATUGA kumewaka hapa naona. Waheshimiwa Majaji mahakama inaweza inaweza kuzuia maswali kwa mujibu wa kifungu cha 167 cha sheria ya ushahidi.

Anasema sasa naomba huyu mtu azuiwe huko anakotaka kwenda japo anaruhusiwa kuuliza chochote swala la Ngorongoro na masuala ya Rais hayahusiani kabisa. Ametuhamishia Ngorongoro.

Mhe. Lissu : Waheshimiwa Majaji mimi nataka kumuonyesha ni kwa namna Gani huyu Jaji Mkuu Masaju ni mtu wa Rais Hawa wanafikiri Rais ni semi GOD huyu mtu ni Rais sio MUNGU kabisa tunaweza kumtaja kabisa.

Wao walisema Majaji ni watu wa Rais hayo maneno nimesema mimi sasa wavumilie mimi niulize maswali tafadhali.

Majaji wanateta muda huu. Sijui watakuja na mwongozo gani?

KIMENUKA HASWAAAAA😂😂

Jaji Nduguru anawasha kipaza sauti chake hap baada ya kuteta na wenzake.

Huwa hatupendi kuingilia kabisa cross examination naomba tujiconfine na jambo kubwa lililopo hapa.

Hebu tuendelee basi jaji anasema.

George ; sijui kama kuna suala la kuhamisha wamasai kule ngorongoro.

Mhe. Lissu : Na unajua kama Masaju aliongoza timu ya washauri kumshauri Rais hadi kuhamisha wamasai na baadae ndio ameteuliwa kuwa Jaji Mkuu?

George: Hilo sijui.

Mhe. Lissu : Je unafahamu 1964 hadi 1994 watu ilikuwa ni lazima wawe wanachama wa CCM?

George: NI SAHIHI KABISA.

Mhe. Lissu : Je unafahamu kipindi hicho chote ukitaka kuingia chuo cha kwanza wanauliza kadi ya CCM?

George: SIJUI HILO.

Mhe. Lissu : Ukitaka kuwa mtumishi wa umma katika kipindi hicho lazima uwe mwanaCCM katika kipindi hicho?

George : Sijui kabisa.

Mhe. Lissu : Hufahamu kwasababu hamjui historia ya nchi hii.

Waeleze majaji Jaji Elizer Feleshi, Ferdinand Wambari, Jaji Masaju, Amir Mruru, Leila Mgonya, Mustapha Ismail Kambona, Sam Rumanyika hao wote ni wanaCCM kwasababu nilienda nao JKT?

George: Mimi sifahamu

Mhe. Lissu . JKT yenu ilikuwa ni oparesheni Chama yani ni Oparesheni Programu CCM.

George Hapana

Mhe. Lissu : Je hao wote niliowataja sema kama waliwahi kutangaza popote kuacha kuwa maCCM?

George: Sijawahi kusikia.

Mhe. Lissu : Mimi mwenzao nilitangaza kuacha kuwa mwanaccm nikawa Chadema je hao walitangaza lini?

George : Sijui.

Mhe. Lissu : Je unamfahamu Agustino Ramadhani alikuwa Jaji Mkuu?

George: Ndio nafahamu.

Mhe. Lissu : Sasa alivyomaliza Ujaji akaenda kuchukua fomu ya urais CCM je alijiunga lini CCM? Alijiunga zamani sana kabla ya mfumo wa vyama vingi. Je aliacha lini kuwa mwanaccm?

George: Sijui kabisa.

Mhe. Lissu : Jaji Mwambegele unamfahamu yule wa tume ya Uchaguzi?

George : Namfahamu.

Mhe. Lissu : Je aliteuliwa na Rais kuwa Mwenyekiti wa Tume?

George: Ni sahihi kabisa.

Part 71 itaendelea kwenye post inayofuata,

Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali
 
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Part 70

Mhe. Lissu : Je Werema na yeye alikuwa mwanachama wa CCM?

George:Hapana

Mhe. Lissu : Aina za Wabunge ni waliochaguliwa, viti maalumu, walioteuliwa.

Sifa za mtu kuwa mbunge. Anasoma ya kwanza raia na yapili mwanachama wa chama cha siasa na asipokuwa mwanachama wa Chama cha siasa huwezi kuwa mbunge.

Je Frederick Werema alikuwa mwanachama wa CCM au hakuwa?

George: Huyo Hakuwa.

Mhe. Lissu : Unamfahamu Jaji Mkuu George Mcheche Masaju?

George: Huyo nimesoma nae.

Mhe. Lissu : Alikuwa mwanasheria mkuu wa Serikali?

George: Ndio

Mhe. Lissu Alikuwa mwanachama wa CCM?

George: HILO SIO KWELI.

Mhe. Lissu : Je unafahamu wakati wa Urais wa Mkapa Masaju alikuwa mshauri wake wa sheria ikulu?

George: Ni sahihi kabisa.

Mhe. Lissu: Wambie Majaji kuwa aliteuliwa kuwa naibu mwanasheria mkuu na baadae kuwa mwanasheria mkuu wa serikali?

George: Ni sahihi kabisa.

Mhe. Lissu : Na sasa Samia kamteua kuwa Jaji Mkuu?

George: Ni sahihi kabisa.

Mhe. Lissu ; Ni sahihi alikuwa Jaji wa Mhakama ya rufaa na anafanya kazi Ikulu?

George: Ni sahaihi alikuwa anafanya ikulu.

Mhe. Lissu ; Unafahamu Samia anahamisha wamasai ngorongoro kwenda Muheza?

George: Hilo sijui kabisa.

Anasimama KATUGA kumewaka hapa naona. Waheshimiwa Majaji mahakama inaweza inaweza kuzuia maswali kwa mujibu wa kifungu cha 167 cha sheria ya ushahidi.

Anasema sasa naomba huyu mtu azuiwe huko anakotaka kwenda japo anaruhusiwa kuuliza chochote swala la Ngorongoro na masuala ya Rais hayahusiani kabisa. Ametuhamishia Ngorongoro.

Mhe. Lissu : Waheshimiwa Majaji mimi nataka kumuonyesha ni kwa namna Gani huyu Jaji Mkuu Masaju ni mtu wa Rais Hawa wanafikiri Rais ni semi GOD huyu mtu ni Rais sio MUNGU kabisa tunaweza kumtaja kabisa.

Wao walisema Majaji ni watu wa Rais hayo maneno nimesema mimi sasa wavumilie mimi niulize maswali tafadhali.

Majaji wanateta muda huu. Sijui watakuja na mwongozo gani?

KIMENUKA HASWAAAAA😂😂

Jaji Nduguru anawasha kipaza sauti chake hap baada ya kuteta na wenzake.

Huwa hatupendi kuingilia kabisa cross examination naomba tujiconfine na jambo kubwa lililopo hapa.

Hebu tuendelee basi jaji anasema.

George ; sijui kama kuna suala la kuhamisha wamasai kule ngorongoro.

Mhe. Lissu : Na unajua kama Masaju aliongoza timu ya washauri kumshauri Rais hadi kuhamisha wamasai na baadae ndio ameteuliwa kuwa Jaji Mkuu?

George: Hilo sijui.

Mhe. Lissu : Je unafahamu 1964 hadi 1994 watu ilikuwa ni lazima wawe wanachama wa CCM?

George: NI SAHIHI KABISA.

Mhe. Lissu : Je unafahamu kipindi hicho chote ukitaka kuingia chuo cha kwanza wanauliza kadi ya CCM?

George: SIJUI HILO.

Mhe. Lissu : Ukitaka kuwa mtumishi wa umma katika kipindi hicho lazima uwe mwanaCCM katika kipindi hicho?

George : Sijui kabisa.

Mhe. Lissu : Hufahamu kwasababu hamjui historia ya nchi hii.

Waeleze majaji Jaji Elizer Feleshi, Ferdinand Wambari, Jaji Masaju, Amir Mruru, Leila Mgonya, Mustapha Ismail Kambona, Sam Rumanyika hao wote ni wanaCCM kwasababu nilienda nao JKT?

George: Mimi sifahamu

Mhe. Lissu . JKT yenu ilikuwa ni oparesheni Chama yani ni Oparesheni Programu CCM.

George Hapana

Mhe. Lissu : Je hao wote niliowataja sema kama waliwahi kutangaza popote kuacha kuwa maCCM?

George: Sijawahi kusikia.

Mhe. Lissu : Mimi mwenzao nilitangaza kuacha kuwa mwanaccm nikawa Chadema je hao walitangaza lini?

George : Sijui.

Mhe. Lissu : Je unamfahamu Agustino Ramadhani alikuwa Jaji Mkuu?

George: Ndio nafahamu.

Mhe. Lissu : Sasa alivyomaliza Ujaji akaenda kuchukua fomu ya urais CCM je alijiunga lini CCM? Alijiunga zamani sana kabla ya mfumo wa vyama vingi. Je aliacha lini kuwa mwanaccm?

George: Sijui kabisa.

Mhe. Lissu : Jaji Mwambegele unamfahamu yule wa tume ya Uchaguzi?

George : Namfahamu.

Mhe. Lissu : Je aliteuliwa na Rais kuwa Mwenyekiti wa Tume?

George: Ni sahihi kabisa.

Part 71 itaendelea kwenye post inayofuata,

Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali
Asante,Lete vitu
 
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Part 71

Mhe. Lissu : Jaji Themistocles Kaijage, Jaji lubuva hao wote walikuwa wenyeviti wa tume ya Uchaguzi?

George: Ni kweli kabisa.

Mhe. Lissu: Na waliteuliwa na Rais?

George: Ni sahihi.

Mhe. Lissu : Je kuhusu Jaji Nyalali na Jaji Kisanga aliteuliwa na Rais kuwa wenyeviti wa tume za Rais?

George: Ni kweli.

Mhe. Lissu : Wanalipwa hela za serikali na umma wakateuliwa hao wote majaji nilowataja?

George: Sijui kwakweli.

Mhe. Lissu : Mohamed Chande Othamn amekuwa akiteuliwa kuwa Mwneyekiti wa Kikosi Kazi cha haki jinai?

George: Ni sahihi.

Mhe. Lissu : Sasa nikisema Majaji wanapenda kuteuliwa kwenye tume nakosea wapi?

George: Huna unalokosea.

Mhe. Lissu : Nakosea nini nikisema wanapenda kupandishwa vyeo hao majaji ni dhambi hiyo?

George: Sio dhambi.

Mhe. Lissu ; Unasema nilisema kuwa mahakamani hakuendeki majaji hawatendi Haki?

George: Ni haki ulisema.

Mhe. Lissu : Sasa ngoja nikusomee Tume ya Warioba ilisema nini kuhusu utendaji wa Majaji. Ukurasa wa 85 wa utafiti wa tume. Inasema hivi. "JAJI BILA KULAZIMISHWA ANAWEZA KUWA NA TAMAA KUWA JAJI MKUU AU APEWE CHEO KINGINE"

Ukurasa wa 90 Jaji mkuu Nyalali aliwahi kusema tatizo la mahakama kuu ni rushwa. Tume ya Warioba ilisema majaji "Ingawa Mahakama kuu hufanya maamuzi isiyozingatia maamuzi ya kimsingi ila ni mahakama ya rufani isiyotenda maamuzi yakiufundi yanayoweza kutenda haki ya kimsingi.

Mhe. Lissu : Sasa je mimi nikisema mahahkamani hakuendeki linakuwaje kosa la uhaini?

George : Hilo sio kosa na hujakosea hapa. Hilo lipo Kisutu.

Mhe. Lissu : Mlisema kuwa maneno yangu yalikuwa Jambo TV YouTube, Clouds na Mwanzo TV kwa mujibu wa Kaaya?

George: Ni sahihi tulisema hivyo.

Mhe. Lissu : Sasa kwanini wewe na wenzako mliamua kwenda Jambo TV peke yake?

George:Tulienda kote.

Mhe. Lissu : Je kwenye maelezo yako uliandika hilo?

George: Sikuandika.

Mhe. Lissu : Sasa kama mlienda huko kote Jambo TV na kwingine kote kwanini hujaandika?

George: Niliandika kabla sijaenda ila watu walienda.

Mhe. Lissu : Sasa tuambie shahidi gani alienda huko kwingine?

George: Simjui aliyeenda.

Mhe. Lissu : Sasa je ulikuwa objective kwenye police action zako?

George: Nilikuwa sahihi.

Mhe. Lissu: Ni kweli P alisema tulikuwa tunazingumzia matatizo ya uchaguzi?

George; Ni sahihi P alisema.

Mhe. Lissu :Sasa je kuzungumzia hayo matatizo ya Uchaguzi ni makosa ya uhaini?

George: Yeye alielewa hivyo.

Mhe. Lissu. Kwahiyo ni uhaini?

George; Sio Uhaini.

Mhe. Lissu : Haya maneno ulikuwa unayafahamu ulipoletewa Tar. 07/04?

George: Ndio sahihi.

Mhe. Lissu : Na tarehe 08/04 ndio uliamua kufungua makosa ya Uhaini?

George: Ni kweli kwa maelekezo yangu nilielekeza kufungua Uhaini.

Mhe. Lissu : Hadi tarehe 08/04 unahamishia jalada kwa Mahamba ulikuwa umemjulisha DPP kuhusu Uhaini?

George : Ndio nilikuwa sijamwambia DPP.

Mhe. Lissu : Mpaka unanfungua tarehe 08 si DPP wala maafisa wake aliyekuwa na taarifa yoyote kwamba kuna uchunguzi?

George: Mimi sikumjulisha ila Mahamba asingekuja ningemjulisha.

Mhe. Lissu : Sikiliza wewe POLISI acha kiherehere.

Jaji Nduguru anasema anaomba tupate health break angalau ya lisaa limoja.

Mahakama imeahirishwa baada ya lisaa limoja.

Part 72 itaendelea baada ya Break

Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali.
 
20251008_150008.jpg
 
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Part 72

Mhe. Lissu anaendelea na Maswali ya Dodoso kwa Shahidi namba 1 wa Jamhuri George Bagyemu

Karani anasoma shauri na mawakili wa serikali wanajitambulisha hapa.

Tunaendelea muda huu.

Mhe. Lissu : Kesi ya Uhaini kwa haiba yake ni kesi ya usalama wa taifa ni kweli au si kweli?

George : ni kweli kabisa.

Mhe. Lissu : Mamlaka nyingine yenye mamlaka ya kuhusika na usalama wa taifa ni TISS?

Grorge : Ni sahihi.

Mhe. Lissu : Sasa waeleze majaji kama uliwahi mjulisha RSO?

George: SIJAWAHI. RSO ni mkuu wa usalama Dar es salaam.

Mhe. Lissu : Je ulimwambia mkurugenzi mkuu wa usalama wa Taifa?

George: Sijawahi kabisa.

Mhe. Lissu : Je unafahamu kama kiongozi mwingine wa Polisi aliwahi kutoa taarifa kwa idara ya Polisi?

George: Sijui kabisa.

Mhe. Lissu : Je hii ni kesi ambayo ilikuwa na umuhimu mkubwa kwa umma?

George: Ni sahihi ilikuwa hivyo.

Mhe. Lissu : Na hii ni kesi inayomuhusu mtu muhimu kisiasa?

George: Si kweli umuhimu huo siuoni.

Mhe. Lissu : Huyu Mshitakiwa ni Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchi hii?

George: Si kweli.

Mhe. Lissu : Je unafahamu ni Makamu Mwenyekiti na Mjumbe wa Kamati ya halmashauri kuu ya IDU international Democratic Union?

George: Ndio nasikia kwako.

Mhe. Lissu : Waeleze waheshimiwa majaji kama unafahamu au hufahamu amekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema 2019 hadi 2025?

George: Hilo ni sahihi kabisa.

Mhe. Lissu : Je unafahamu Mshitakiwa kwenye kesi hii aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Chadema 2011 hadi 2017 na alishambuliwa kwa risasi?

George: Hilo nalifahamu ila kuhusu risasi sijui.

Mhe. Lissu : Sawa Afisa wa polisi mkubwa kama wewe hujui kama nilishambuliwa na risasi.

Je mshitakiwa huyu amekuwa Mkurugenzi wa Sheria, Katiba na haki za Binadamu wa Chadema tangu 2004 hadi 2010.

Kama unafahamu kwamba mshitakiwa huyu aliwahi kuwa Mbunge wa Kuchaguliwa kati ya 2010 hadi 2019 alipovuliwa ubunge?

George: la kuwa Mbunge nafahamu ila la kuvuliwa sifahamu.

Mwanasheria Mkuu kivuli 2010 hadi 2017 nilipopigwa risasi?

George: Hilo ni sahihi ila kwenye risasi sina uhakika nalo.

Mhe. Lissu : Je unafahamu mshitakiwa huyu alishambuliwa na risasi tar. 07/09/2025?

George: Nafahamu lakini sijui kuhusu wasiojulikana.

Mhe. Lissu : Je unafahamu aliyekuwa Waziri wa mambo ya ndani mwezi September mwaka 2017?

George: Sikumbuki.

Mhe. Lissu Je nikukumbushe?

George: Naomba unikumbushe.

Mhe. Lissu: Alikuwa ni Mwigulu.

Mhe. Lissu : Sasa baada ya kushambuliwa nilisafirishwa kwenda Nairobi?

George: Ni sahihi ila muda sijui ilikuwa saa ngapi.

Mhe. Lissu : Je unafahamu au hufahamu kwa wakati huo uwanja wa Ndege wa Dodoma ulikuwa hauruhusu ndege kutua baada ya saa 12 jioni?

George: Hilo nafahamu kabisa.

Mhe. Lissu : Eleza kwa vile kulikuwa na hilo zuio ilibidi ruhusa maalumu itolewe na mamlaka ya ndege Tanzania?

George: Hilo sijui.

Mhe. Lissu: Je unafahamu Waziri wa mambo ya ndani Mwigulu Nchemba ndie aliyetoa maelekezo?

George: Hilo sijui.

Mhe. Lissu : Je unafahamu ni Waziri Mwigulu Nchemba Dodoma wawepo saa sita ili niweze kusafirishwa kwenda Hospitali?

George: Sifahamu.

Mhe. Lissu : Waeleze kama unajua kama Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alikuja kunitembelea Nairobi?

George: Nafahamu alikuja ndio.

Mhe. Lissu : Rais Mwinyi na mkewe pia walikuja. Hilo je?

George: Hao sifahamu kama waliokuja.

Mhe. Lissu : Je unafahamu Warioba, Jaji Chande Othman nao walikuja kunitembelea.

George: Kimya

Mhe. Lissu : SASA NAKUULIZA TENA.

Je hii ni kesi yenye umuhimu mkubwa wa kisiasa na umma?

George : Sio, kwasababu sio kesi ya kisiasa.

Mhe. Lissu : Je mshitakiwa huyu ni mtu muhimu kisiasa ndani ya JMT?

George: Sio mtu muhimu.

Part 73 itaendelea kwenye post inayofuata.

Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali.
 
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Mhe. Lissu : Sasa uasi maana yake nini? Naomba nimsomee tafsiri kutoka kamusi kuu ya kiswahili toleo la 3 ni kitendo cha kuwaondoa madarakani na pia nakusomea Kamusi ya Baraza la Kiswahili la Zanzibar inasema tendo la kuvunja sheria, kanuni au amri.

Kamusi ya kiswahili sanifu imetolewa na Chuo kikuu cha Dar es Salaam na hii inasema tolea la 2002 inasema uasi hali ya uvunjaji wa kanuni, sheria au amri.

Sasa swali je wewe unafahamu maana tofauti ya hizi zilizopo kwenye kamusi?

George: HIZO TAFSIRI ZIPO VIZURI NAKUBALI.

Mhe. Lissu : Je kuna sheria inayohusu mikutano ya hadhara?

George: Ipo hiyo sheria.

Mhe. Lissu : Je mtu akivunja sheria ya mikutano ya hadhara atakuwa amefanya uasi? Je mtu akifanya mkutano wa hadhara bila kibali? Bila kutoa taarifa polisi

George: haliwi kosa la uhaini.

Mhe. Lissu: Mtu akifanya maandamano bila kutoa taarifa polisi ni kosa la uhaini?

George: Sio kosa la uhaini.

Mhe. Lissu : Hilo neno uasi ni kuvunja sheria?

George: Ni kuvunja sheria za Uchaguzi.

Mhe. Lissu : Safi umekuja vizuri. Twende kwenye Sheria za Uchaguzi.

Anafungua sasa sheria zake za Uchaguzi. Ninayo hapa Sheria ya Uchaguzi wa Rais wabunge na madiwani ya mwaka 2024

Sheria na. 1. Nataka nimuelekeze shahidi sura ya 7 inayozungumzia makosa na adhau yani makosa ya Uchaguzi.

Sasa wambie majaji kosa la kwanza ni kosa gani?

George anasoma -; Makosa yanayohusu uandikishaji wa wapiga kura.

Hili ni kosa la uhaini nitakuuliza yote ili nikienda kunyongwa niseme hakuna swali niliacha kuuliza. Anasema hapa Lissu.

Kosa la Pili ni nini? Kutumia wadhifa kushawishi wasiombe kuteuliwa.

Anasoma makosa yote hapa George kwenye hii sheria. Amefika kosa la saba. Hajasema bado kosa la kuzuia uchaguzi hadi sasa amefika la 10. Anasoma makosa yote 25 yaliyopo kwenye hiyo sheria.

Mhe. Lissu : Sasa katika yote uliyosoma kwenye sheria hiyo kuna kosa la kuzuia uchaguzi Mkuu?

George: Lipo kwenye makosa mengineyo.

Mhe. Lissu : Hebu yaseme.

George anasoma hayo makosa mengineyo sheria inasema makosa mengineyo maana yake ni kusema uongo na adhabu yake ni kulipa faini elfu 50.

Watu wanacheka 😂😂😂😂

Mhe. Lissu : kwahiyo katika orodha ya makosa yote ya Uchaguzi hakuna kosa la kuzuia Uchaguzi ni kweli?

George: Kwa niliyoyasoma hakuna hilo kosa lakini sehemu nyingine linaweza kuwepo.

Mhe. Lissu : Hayo mengine baki nayo mwenyewe mimi nimekupa sheria.

Mhe. Lissu Mtu hawezi kwenda kunyongwa bila mapambano hilo nakuahidi. Sasa twende.

Atakinukisha vibaya sana tena sana. Ulisema hivyo?

George: NI SAHIHI.

Mhe. Lissu Kwenye maelezo yako uliyanukuu hayo maneno "Wanasema msimamo huu unaashiria uasi, tutakwenda kukinukisha sana sana" Je katika maelezo yako yote ulifafanua maana ya maneno TUTAKINUKISHA VIBAYA SANA AU TUTAKINUKISHA SANASANA?

George : sikutafsiri neno moja moja.

Mhe. Lissu : Unafikiri ni rahisi kunyonga mtu.

Haya maneno kwenye hati ya mashitaka kuna mahali hayo maneno tutakinukisha yametafsiriwa?

George: Kwa neno moja moja hayajatafsiriwa.

Mhe. Lissu: Sasa twende kwenye Kiswahili sanifu tukaone maana ya neno KUKINUKISHA anamfungulia KAMUSI hapa.

Tuangalie sasa maana ya neno KIKUNUKISHA. Ni sahihi neno Kukinukisha linatokana na neno NUKA AU NUKIA?

George: NI SAHIHI.

Mhe. Lissu: Kamusi inasema tokwa na harufu mbaya au vunda na Nukia ni toa harufu nzuri. Kamusi nyingine ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam inasema Nuka ni toa harufu mbaya kwasababu ya kuoza. Nukia toa harufu nzuri kama vile marashi.

Sasa kama tulisema tutakinukisha sanasana maana yake kinuke vibaya kitoe harufu mbaya sana si kweli?

George: Kwa unayosoma kwenye kamusi ni kweli kabisa.

Mhe. Lissu : Na vilevile kukinukisha kinukie ni kukifanya kitoe harufu nzuri sana?

George: Kwa vile ulisema vibaya basi ni kinuke sio kunukia.

Mhe. Lissu : Je na kukinukisha sana sana ni inaweza kuwa kinukie vizuri sana?

George: Hiyo haiwezekani.

Itaendelea kwenye post inayofuata,

Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali
 
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Part 73

Mhe. Lissu : Je unafahamu kwamba mshitakiwa huyu ni Wakili toka mwaka 2003?

George: Hilo natambua.

Mhe. Lissu : Unafahamu aliwahi kuchaguliwa kuwa Rais wa TLS 2017?

George: Nalitambua hilo.

Mhe. Lissu ; Unajua kama cheo hicho hupewi pewi bali wanakuchagua na kukupa nafasi hiyo kwasababu ya sifa?

George; Ni kweli nafahamu.

Mhe. Lissu : Je mshitakiwa huyu amekuwa mpiganiaji wa mabadiliko ya kisiasa toka akiwa Jeshini?

George; Sifahamu hilo.

Mhe. Lissu ; Je unafahamu ili nchi yetu aingie kwenye mfumo wa Vyama vya siasa ilibidi aunde tume?

George: Ni sahihi.

Mhe. Lissu ; Waeleze majaji kama Mshitakiwa huyu alitoa ushuhuda mbele ya tume ya Nyalali kwenye jopo lililokuwa likiogozwa na Jaji Augustino Ramadhani kuhusu masuala ya mabadiliko ya Katiba Mpya?

George: Nafahamu tume ilikuwepo hiyo.

Mhe. Lissu : Je unafahamu mshitakiwa huyu alikuwa mgombea ubunge jimbo la singida kusini mwaka 1995?

George: Nafahamu ila hakushinda huo mwaka.

Mhe. Lissu: Unafahamu baada ya pendekezo la Nyalali serikali ya CCM ilikataa tume huru na Katiba Mpya?

George: Hilo sifahamu.

Mhe. Lissu : Je unafahamu mwaka 1998 waliunda tume nyingine ya Katiba iliyoongozwa na Robert Kisanga?

George: Hilo nalifahamu.

Mhe. Lissu : Kama unafahamu tume ya Jaji Kisanga nayo ilipendekeza Katiba Mpya na mfumo mpya wa Uchaguzi nayo ilikataliwa na Serikali ya Mkapa?

George: Nafahamu hilo.

Mhe. Lissu; Je unawafahamu waliokuwa wajumbe wa tume ya mabadiliko ya Katiba iliyoteuliwa na Rais Jakaya Kikwete?

George: Nawafahamu ndio mtu kama vile Paul Makonda.

Watu: 😂😂😂

Mhe. Lissu amemwambia una akili wewe. Huyo hakuwa mjumbe wa tume. Huyo alikuwa Bungeni. Wajumbe ni kama Polepole ambae sasa tunaambiwa ameuwawa.

Mhe. Lissu Sasa nakuuliza huu usomi umeupata wapi?

George: Nisingekuwa kamishina wa jeshi la Polisi sio kila mmoja anapata hii nafasi.

Mhe. Lissu anamwambia mimi najua sio kila anayepata anastahili kuwa kamishna wa Polisi kama wewe vile.

Unajua kama Mshitakiwa huyu ndie aliyeongoza wakati wa Bunge la Mabadiliko ya Katiba ndie alikuwa Mnadhimu wa Kambi ya upinzani na aliongoza hoja zote za kisheria upande wa upinzani kuhusu Katiba?

George: Nafahamu hilo, ulikuwa ndie kiongozi wa Upinzani.

Mhe. Lissu : Unafahamu mshitakiwa huyu ndie aliyeandika hoja zote za Kikatiba pale Bungeni za Kikatiba za kambi ya upinzani?

Gorge. Hilo sijui.

Mhe. Lissu : Je unafahamu mshitakiwa huyu ana ufahamu kuhusu masuala ya Sheria za Uchaguzi?

George: Hilo silifahamu.

Mhe. Lissu : Je unafahamu pia mshitakiwa huyu kama Wakili amekuwa Wakili kwenye kesi za Uchaguzi nyingi kuliko Wakili mwingine yeyote nchi hii?

George: Nafahamu ni Wakili ila kuwa wakili kuliko wote kufanya kesi nyingi za Uchaguzi sifahamu.

Mhe. Lissu ; Je unafahamu kama mshitakiwa huyu ameandika Kitabu kuhusu matatizo ya Kikatiba Tanzania, Kenya na Uganda?

George: Sijapata kukisoma bado hicho.

Mhe. Lissu : Waeleze Majaji kwamba baada ya Uchaguzi Mkuu 2020 akiwa uhamishoni alianza kufanya utafiti wa matatizo ya Uchaguzi kuanzia 2021 hadi 2025 alipokamatwa?

George: Hilo Sijui.

Mhe. Lissu ; Je kama isingekuwa kukamatwa na kuwekwa mahabusu angeshachapisha kitabu chake cha The Architecture of Free and fair Election?

George: Hilo sijui

Mhe. Lissu : Je unafahamu mshitakiwa huyu amepata tuzo mbalimbali ndani na nje ya nchi kwasababu ya kupigania haki za Binadamu?

George; Hilo sifahamu.

Mhe. Lissu: Je unafahamu au hufahamu mwezi wa tano mwaka 2011 mshitakiwa huyu alipata tuzo ya kuwa fellow wa Bridgeport united state of America?

George: Hilo mimi sifahamu.

Mhe. Lissu: Unafahamu Chuo Kikuu cha BridgePort walitoa tuzo hiyo wakisema kwa kutambua utendaji uliotukuka kupigania haki za Binadamu?

George; Hilo sifahamu pia.

Part 74 itaendelea kwenye post inayofuata.

Naomba nisaidie kushare
 
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Part 74

Mhe. Lissu: Je unafahamu December 2020 mshitakiwa alipata tuzo inayoitwa BushThetcher Award for freedom kwasababau ya kupigania haki za binadamu?

George: Sifahamu

Mhe. Lissu : Je unajua mwaka jana TLS walimtunukia tuzo kwa utumishi wake ndani ya Chama cha Mawakili Tanganyika?

George: Sifahamu.

Mhe. Lissu : Wewe unawafahamu nini kuhusu mtu huyu?

George: Sioni umuhimu wako wowote naona mtangulizi wako kwenye uwenyekiti wa CHADEMA alikuwa bora kuliko wewe.

Mhe. Lissu Anasema hiyo tunaiiita a kiss of death nendeni kamwambieni Mwenyekiti Mbowe kuwa mapolisi wa Tanzania wamempongeza.

Jaji anasema sasa mtuhumiwa mbona kama maswali ya hizi sifa zako yanakuwa mengi sana?

Mhe. Lissu anawajibu Waheshimiwa kuweni wavumilivu mimi sijachagua hii kesi vumilieni tu bado naendelea na yapo mengi sana.

Watu : 😂😂😂😂

Mhe. Lissu : Tena nikimaliza kuhusu hizi sifa zangu nitaanza juu ya mambo ambayo CCM wamekuwa wakinisingizia kila siku. Kesi za michongo zote ambazo wamekuwa wakinisingizia.

Mhe. Lissu : Je unafahamu pia kuwa mshitakiwa toka mwaka 1997 alikuwa anapiganaia haki za binadamu maeneo kama Rufiji, Haki za wamasai kule Ngorongoro, Longido, kupigania haki za madini Geita, Tarime kwa miaka karibu 28?

George: Sina ufahamu huo wa mambo hayo.

Mhe. Lissu: Sasa waeleze waheshimiwa Majaji kwenye kesi za kumbambikizia huyu mshitakiwa kesi za michongo. Je ni kweli Jeshi la Polisi toka enzi za Mkapa mlinifungulia kesi za uongo?

George: Sisi hatufungui kesi za Uongo.

Mhe. Lissu : Rais Samia alikuja chuo cha taaluma ya Polisi mwaka 2021?

George: Ni kweli alikuja nakumbuka.

Mhe. Lissu : Ngoja sasa nikutafutie kitu hapa maana kinamuhusu Mama.

Sasa waeleze majaji tar. 18/05/2021 anawatajia link ya YouTube kwamba ipo hotuba humo ya Rais Samia alipoenda kuzungumza na mapolisi.

Nimezungumza na TAKUKURU wamefuta kesi 147 Polisi Jitazameni, mkisikia hotuba Rais anasema Polisi mmekithiri kubambikizia watu kesi?

George: Naikumbuka hiyo hotuba ya Rais.

Mhe. Lissu : Sasa ni kweli au si kweli tar. 24/12/2002 jeshi la Polisi Dar es salaam walinikamata na kuniweka mahabusu Central na kesho yake wakanifungulia mashitaka ya Uchochezi?

George: Huo mwaka sikuwa Polisi sifahamu.

Mhe. Lissu : Je unafahamu kesi hiyo ikitokana na harakati za kutetea haki za wachimbaji wadogo wa Bulyanhulu?

George: Hilo sifahamu.

Mhe. Lissu: Na unajua aliyesema nikamatwe ni DCI Adadi Rajabu?

George: Hilo sifahamu.

Mhe. Lissu: Je unajua kesi hiyo ilikaa miaka 6 na polisi hawajawahi kuleta shahidi hata mmmoja?

George: Sifahamu.

Mhe. Lissu : Na wambie majaji mwaka 2008 kesi hiyo ilifutwa pale Kisutu?

George: Hilo sifahamu.

Mhe. Lissu : Mwaka 2012 mwezi January nilikamatwa na Polisi Arusha Mjini kushiriki maandamano baada ya polisi kuua watu katika maandamano mengine yaliyofanyika Arusha mjini na baadae nilishitakiwa kwa kosa la kukusanyika bila kibali?

Mhe. Lissu : Sifahamu hilo

Anamtajia hapa makesi ambayo Lissu amewahi kukamatwa na Mapolisi na hajawahi kukutwa na hatia yoyote.

Mhe. Lissu : Je unafahamu mwaka 2016 nilikamatwa na kufunguliwa uchochezi kisutu?

George: Ni sahihi.

Mhe. Lissu : Je unafahamu siku nne baada ya kushitakiwa Kisutu nilikamatwa Ikungi na kuletwa tena Dar es salaam na kuja kushitakiwa na kesi nyingine ya Uchochezi kwamba Dictator uchwara huyu anapaswa kukabiliwa na kila mwenye akili?

George: Hilo sifahamu pia

Mhe. Lissu : Je unafahamu baadae mwaka 2016 nilishitakiwa kesi ya Uchochezi pale Kisutu nilikamatiwa kwenye geti Bungeni kuja kushitakiwa Dar es salaam kwa kumsema Magufuli?

George: Sifahamu hilo pia.

Mhe. Lissu: Je unafahamu pia Mwaka huo huo 2016 nilikamtwa mara ya nne kwa kumkosoa Magufuli?

George: Hilo sifahamu.

Mhe. Lissu : Je unafahamu baada ya hapo Nilikamatwa Dodoma kwa kushitakiwa Dar es salaam kwa kesi ya tano ya Uchochezi kisutu?

George: Sifahamu pia.

Part 75 itaendelea kwenye post inayofuata.

Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali.
 
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI

Part 74

Mhe. Lissu: Je unafahamu December 2020 mshitakiwa alipata tuzo inayoitwa BushThetcher Award for freedom kwasababau ya kupigania haki za binadamu?

George: Sifahamu

Mhe. Lissu : Je unajua mwaka jana TLS walimtunukia tuzo kwa utumishi wake ndani ya Chama cha Mawakili Tanganyika?

George: Sifahamu.

Mhe. Lissu : Wewe unawafahamu nini kuhusu mtu huyu?

George: Sioni umuhimu wako wowote naona mtangulizi wako kwenye uwenyekiti wa CHADEMA alikuwa bora kuliko wewe.

Mhe. Lissu Anasema hiyo tunaiiita a kiss of death nendeni kamwambieni Mwenyekiti Mbowe kuwa mapolisi wa Tanzania wamempongeza.

Jaji anasema sasa mtuhumiwa mbona kama maswali ya hizi sifa zako yanakuwa mengi sana?

Mhe. Lissu anawajibu Waheshimiwa kuweni wavumilivu mimi sijachagua hii kesi vumilieni tu bado naendelea na yapo mengi sana.

Watu : 😂😂😂😂

Mhe. Lissu : Tena nikimaliza kuhusu hizi sifa zangu nitaanza juu ya mambo ambayo CCM wamekuwa wakinisingizia kila siku. Kesi za michongo zote ambazo wamekuwa wakinisingizia.

Mhe. Lissu : Je unafahamu pia kuwa mshitakiwa toka mwaka 1997 alikuwa anapiganaia haki za binadamu maeneo kama Rufiji, Haki za wamasai kule Ngorongoro, Longido, kupigania haki za madini Geita, Tarime kwa miaka karibu 28?

George: Sina ufahamu huo wa mambo hayo.

Mhe. Lissu: Sasa waeleze waheshimiwa Majaji kwenye kesi za kumbambikizia huyu mshitakiwa kesi za michongo. Je ni kweli Jeshi la Polisi toka enzi za Mkapa mlinifungulia kesi za uongo?

George: Sisi hatufungui kesi za Uongo.

Mhe. Lissu : Rais Samia alikuja chuo cha taaluma ya Polisi mwaka 2021?

George: Ni kweli alikuja nakumbuka.

Mhe. Lissu : Ngoja sasa nikutafutie kitu hapa maana kinamuhusu Mama.

Sasa waeleze majaji tar. 18/05/2021 anawatajia link ya YouTube kwamba ipo hotuba humo ya Rais Samia alipoenda kuzungumza na mapolisi.

Nimezungumza na TAKUKURU wamefuta kesi 147 Polisi Jitazameni, mkisikia hotuba Rais anasema Polisi mmekithiri kubambikizia watu kesi?

George: Naikumbuka hiyo hotuba ya Rais.

Mhe. Lissu : Sasa ni kweli au si kweli tar. 24/12/2002 jeshi la Polisi Dar es salaam walinikamata na kuniweka mahabusu Central na kesho yake wakanifungulia mashitaka ya Uchochezi?

George: Huo mwaka sikuwa Polisi sifahamu.

Mhe. Lissu : Je unafahamu kesi hiyo ikitokana na harakati za kutetea haki za wachimbaji wadogo wa Bulyanhulu?

George: Hilo sifahamu.

Mhe. Lissu: Na unajua aliyesema nikamatwe ni DCI Adadi Rajabu?

George: Hilo sifahamu.

Mhe. Lissu: Je unajua kesi hiyo ilikaa miaka 6 na polisi hawajawahi kuleta shahidi hata mmmoja?

George: Sifahamu.

Mhe. Lissu : Na wambie majaji mwaka 2008 kesi hiyo ilifutwa pale Kisutu?

George: Hilo sifahamu.

Mhe. Lissu : Mwaka 2012 mwezi January nilikamatwa na Polisi Arusha Mjini kushiriki maandamano baada ya polisi kuua watu katika maandamano mengine yaliyofanyika Arusha mjini na baadae nilishitakiwa kwa kosa la kukusanyika bila kibali?

Mhe. Lissu : Sifahamu hilo

Anamtajia hapa makesi ambayo Lissu amewahi kukamatwa na Mapolisi na hajawahi kukutwa na hatia yoyote.

Mhe. Lissu : Je unafahamu mwaka 2016 nilikamatwa na kufunguliwa uchochezi kisutu?

George: Ni sahihi.

Mhe. Lissu : Je unafahamu siku nne baada ya kushitakiwa Kisutu nilikamatwa Ikungi na kuletwa tena Dar es salaam na kuja kushitakiwa na kesi nyingine ya Uchochezi kwamba Dictator uchwara huyu anapaswa kukabiliwa na kila mwenye akili?

George: Hilo sifahamu pia

Mhe. Lissu : Je unafahamu baadae mwaka 2016 nilishitakiwa kesi ya Uchochezi pale Kisutu nilikamatiwa kwenye geti Bungeni kuja kushitakiwa Dar es salaam kwa kumsema Magufuli?

George: Sifahamu hilo pia.

Mhe. Lissu: Je unafahamu pia Mwaka huo huo 2016 nilikamtwa mara ya nne kwa kumkosoa Magufuli?

George: Hilo sifahamu.

Mhe. Lissu : Je unafahamu baada ya hapo Nilikamatwa Dodoma kwa kushitakiwa Dar es salaam kwa kesi ya tano ya Uchochezi kisutu?

George: Sifahamu pia.

Part 75 itaendelea kwenye post inayofuata.

Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali.
 
Back
Top Bottom