#UPDATES_KESI_YA_UHAINI
Leo September 22, 2025
Tunaendelea na
Part 37
Mahakama imejaa.
Watu wapo katika ari ya kusikiliza kinachojiri siku ya leo.
Viongozi wa Chama wapo wakiongozwa na Mhe. John Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chama.
Mhe. Lissu tayari ameingia
Na Sauti ya High Court imepigwaa hapa kwa ukali sana watu wote wamesimama.
Majaji wameingia tayari wakiwa na bashasha.
Wanaandika kidogo.
Leo watu wamekunja ngumi kwa vibe sana wakati wa kumsalimia Mhe. Lissu.
Anasimama Karani wa Mahakama kijana mmoja hivi amevaa miwani mfupi kwa kimo.
Anaita kesi hapa anataja namba yake. (Criminal Case 16905/2025)
Jaji Nduguru anamuita Wakili wa Serikali.
Anasimama Katuga anaanza kujitambulisha na kuwatambulisha wenzake sita waliopo hapa.
Majaji wanateta kidogo na kumuuliza Mh. Lissu kama yuko tayari.
Anajibu kuwa yuko tayari.
Hawa Mawakili wa Serikali wamevaa majoho yana nembo ya Bibi na Bwana nafikiri hizi ni kodi zetu kabisa.
Katuga anasema shauri linakuja kwa uamuzi mdogo lakini tuna ombi dogo tunaomba tulitoe kabla ya maamuzi kwasababu tukisubiri maamuzi ombi hilo linaweza kukosa maana kabisa.
Majaji wanateta kidogo.
Je wamruhusu Katuga au wasimruhusu kwenye ombi lake hilo?
Wanajadiliana namna ya kwenda mbele hapa.
Ngoja tuone.
Wametumia muda kidogo kama dakika tano hivi kujadiliana ni kama kila mmoja anamaoni tofauti.
Jaji Ndunguru anasema kwa vile kesi ilikuja kwa ajili ya uamuzi acha tusome uamuzi na hayo mambo mengine yatakuja baadae.
Kwasasa ni uamuzi kwanza hivyo usubiri kwahiyo Jaji anajiandaa kuanza kusoma uamuzi.
Mnakumbuka Tarehe 08/09 shauri lilipokuja kwa ajili ya hoja za awali, mshitakiwa alikuja na mapingamizi ikiwemo hili linalohusiana na hati ya mashitaka.
Tulishamaliza na lile la kwanza la mamlaka ya mahakama.
Sasa tuko na hili la hati ya mashitaka na hoja ya pili alisema viambatanisho vya hati ya mashitaka navyo viko kinyume na sheria vifungu vya 11 na vifungu vingine vya CPA.
Hivyo hizo hoja mbili ndio tutazitolea uamuzi siku ya leo na mshitakiwa alisema kwanini hati ya mashitaka ina makosa yasiyoweza kurekebishika.
Mahakama inaangalia kama mapingamizi hayo mawili yana mashiko.
Mahakama inaangalia sehemu kuu tatu.
1. Kama kweli hati ya mashitaka ina makosa yasiyorekebishika?
2. Je hiyo hati ya mashitaka ilikuwa na marekebisho?
3. Maelezo ya mashahidi yalikuwa na mapungufu ya kisheria ambayo yanaweza kuifanya ikose nguvu?
Mahakama itazingatia hayo.
Hoja ya kwanza ni uhalali wa hati ya mashitaka na hoja hiyo ilijengwa katika kurejea mashauri mbalimbali ikiwemo shauri la Grey na Khatibu Gandi.
Mashauri hayo yanataka hati ya mashitaka iandaliwe kwa mujibu wa English Procedure.
Sasa katika kujibu hilo tutarejea mashauri na sheria.
Kifungu cha 135 cha CPA kimeeleza namna hati ya mashitaka inapaswa kuwa ili iwe sahihi.
Anakinukuu hapa hicho kifungu cha 135.
Kwa mujibu wa kifungu hicho cha 135 kinasema lazima hati iwe na maelezo ya kosa maalumu ambayo mshitakiwa anakabiliwa pia maelezo ya shitaka lenyewe yawepo.
Sasa namna gani hivyo vitu viwili vinaweza kuonekana.
Soma kif. 138 cha CPA kimeelezea statement of the offence and particulars of the offence.
Anakisoma hapa hicho kifungu hapa…
Kumbuka CPA ni Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai.
Sasa hicho kifungu cha 138 kinasema pia maelezo ya kosa yawe yanaeleweka na kwa kifupi ili kumuelezea kosa mtuhumiwa. (Ordinary language)
Anaendelea kukisoma kwa urefu hicho kifungu cha 138.
Sasa kutoka na vifungu nilivyotaja hapo juu. Statement ya offence inapaswa kueleza kosa maalumu ambalo mshitakiwa anakabiliwa nalo na pia kama kosa limerejewa kwa kifungu maalumu hasi na shitaka lizingatie hicho kifungu maalumu.
Vifungu vya 135 na 138 vya CPA ndio vinasema hati ya mashitaka inapaswa kuweje?
Part 38 itaendelea kwenye post inayofuata
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI
Leo September 22, 2025
Tunaendelea na
Part 37
Mahakama imejaa.
Watu wapo katika ari ya kusikiliza kinachojiri siku ya leo.
Viongozi wa Chama wapo wakiongozwa na Mhe. John Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chama.
Mhe. Lissu tayari ameingia
Na Sauti ya High Court imepigwaa hapa kwa ukali sana watu wote wamesimama.
Majaji wameingia tayari wakiwa na bashasha.
Wanaandika kidogo.
Leo watu wamekunja ngumi kwa vibe sana wakati wa kumsalimia Mhe. Lissu.
Anasimama Karani wa Mahakama kijana mmoja hivi amevaa miwani mfupi kwa kimo.
Anaita kesi hapa anataja namba yake. (Criminal Case 16905/2025)
Jaji Nduguru anamuita Wakili wa Serikali.
Anasimama Katuga anaanza kujitambulisha na kuwatambulisha wenzake sita waliopo hapa.
Majaji wanateta kidogo na kumuuliza Mh. Lissu kama yuko tayari.
Anajibu kuwa yuko tayari.
Hawa Mawakili wa Serikali wamevaa majoho yana nembo ya Bibi na Bwana nafikiri hizi ni kodi zetu kabisa.
Katuga anasema shauri linakuja kwa uamuzi mdogo lakini tuna ombi dogo tunaomba tulitoe kabla ya maamuzi kwasababu tukisubiri maamuzi ombi hilo linaweza kukosa maana kabisa.
Majaji wanateta kidogo.
Je wamruhusu Katuga au wasimruhusu kwenye ombi lake hilo?
Wanajadiliana namna ya kwenda mbele hapa.
Ngoja tuone.
Wametumia muda kidogo kama dakika tano hivi kujadiliana ni kama kila mmoja anamaoni tofauti.
Jaji Ndunguru anasema kwa vile kesi ilikuja kwa ajili ya uamuzi acha tusome uamuzi na hayo mambo mengine yatakuja baadae.
Kwasasa ni uamuzi kwanza hivyo usubiri kwahiyo Jaji anajiandaa kuanza kusoma uamuzi.
Mnakumbuka Tarehe 08/09 shauri lilipokuja kwa ajili ya hoja za awali, mshitakiwa alikuja na mapingamizi ikiwemo hili linalohusiana na hati ya mashitaka.
Tulishamaliza na lile la kwanza la mamlaka ya mahakama.
Sasa tuko na hili la hati ya mashitaka na hoja ya pili alisema viambatanisho vya hati ya mashitaka navyo viko kinyume na sheria vifungu vya 11 na vifungu vingine vya CPA.
Hivyo hizo hoja mbili ndio tutazitolea uamuzi siku ya leo na mshitakiwa alisema kwanini hati ya mashitaka ina makosa yasiyoweza kurekebishika.
Mahakama inaangalia kama mapingamizi hayo mawili yana mashiko.
Mahakama inaangalia sehemu kuu tatu.
1. Kama kweli hati ya mashitaka ina makosa yasiyorekebishika?
2. Je hiyo hati ya mashitaka ilikuwa na marekebisho?
3. Maelezo ya mashahidi yalikuwa na mapungufu ya kisheria ambayo yanaweza kuifanya ikose nguvu?
Mahakama itazingatia hayo.
Hoja ya kwanza ni uhalali wa hati ya mashitaka na hoja hiyo ilijengwa katika kurejea mashauri mbalimbali ikiwemo shauri la Grey na Khatibu Gandi.
Mashauri hayo yanataka hati ya mashitaka iandaliwe kwa mujibu wa English Procedure.
Sasa katika kujibu hilo tutarejea mashauri na sheria.
Kifungu cha 135 cha CPA kimeeleza namna hati ya mashitaka inapaswa kuwa ili iwe sahihi.
Anakinukuu hapa hicho kifungu cha 135.
Kwa mujibu wa kifungu hicho cha 135 kinasema lazima hati iwe na maelezo ya kosa maalumu ambayo mshitakiwa anakabiliwa pia maelezo ya shitaka lenyewe yawepo.
Sasa namna gani hivyo vitu viwili vinaweza kuonekana.
Soma kif. 138 cha CPA kimeelezea statement of the offence and particulars of the offence.
Anakisoma hapa hicho kifungu hapa…
Kumbuka CPA ni Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai.
Sasa hicho kifungu cha 138 kinasema pia maelezo ya kosa yawe yanaeleweka na kwa kifupi ili kumuelezea kosa mtuhumiwa. (Ordinary language)
Anaendelea kukisoma kwa urefu hicho kifungu cha 138.
Sasa kutoka na vifungu nilivyotaja hapo juu. Statement ya offence inapaswa kueleza kosa maalumu ambalo mshitakiwa anakabiliwa nalo na pia kama kosa limerejewa kwa kifungu maalumu hasi na shitaka lizingatie hicho kifungu maalumu.
Vifungu vya 135 na 138 vya CPA ndio vinasema hati ya mashitaka inapaswa kuweje?
Part 38 itaendelea kwenye post inayofuata
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI
Part 38
Anaendelea Jaji Nduguru
Sasa turejeee kwenye hati ya mashitaka tuliyonayo hapa mahakamani.
Anasoma statement of the offence na particulars of the offence kwenye hati ya mashitaka kama vipo au havipo?
Anaisoma hati ya mashitaka yote kuhusu maneno ya kukinukisha ya TUNDU LISSU.
Jaji anaendelea...
Sasa tukishasoma hiyo hati tunapaswa kurudi kwenye sheria.
Statement of the offence tunaona iko clear kabisa imeelezwa kwenye hati ya mashitaka.
Kingine ni Particulars of the offence na sheria pamoja na mashauri ukisoma shauri la Mwaikunda linasema lazima maelezo ya kosa yawe yakutosha ana kueleweka vizuri.
Shauri la Isdory lilisema pia ni muhimu sana kuwepo na reasonable information in relation to the charge.
Anasoma kilichosemwa na Jaji katika hukumu ya hiyo kesi ya Isdory aliyoitaja hapa.
Na hivi basi baada ya kurudi kwenye hati ya mashitaka. Information imeeleza suala la nia ya kushawishi kuzuia uchaguzi mkuu na kutishia utawala.
Nia hiyo imethibitika kwa matendo ya kutamka hayo maneno.
Hoja ya kwamba maneno yanamanifest matendo ni suala la ushahidi.
Tunakubaliana na mshitakiwa kuwa pande zote mbili zinabanwa na pleadings. Hatupaswi kutoka nje.
Tunaungana na mshitakiwa katika kulitatua hilo tusubiri ushahidi huo.
Kifungu cha 138 cha CPA tulikisoma na mshitakiwa alisema hati ya mashitaka kwenye kesi kubwa hivi yanapaswa kutengenezwa kwa mujibu wa kesi hizo tajwa za Grey likungu na Khatibu Gandi.
Mshitakiwa alisema lazima kuwepo na particulars of the offence lazima upande wa mashitaka waonyeshe manifestation na lazima iwe pleaded na ielezwe kama alipublish au vipi na pia lazima overt act ionekane.
Hayo yote yanapaswa kuwa pleaded separately ndio alisema hivyo Mshitakiwa akiwa anaegemea kwenye hayo mashauri mawili ambayo ndio muundo qa kiingereza wenyewe.
Shauri la Grey Likungu kuhusu adoption ya English Procedure (English Mode za kuendesha mashitaka) mahakama ilisema nchi ya Tanzania haibanwi kufuata English Procedure and Practice sio lazima kuifuata inaweza kutafuta utaratibu wake bora zaidi.
Tumeyasema hivi ili kuonesha kuwa mahakama hii haibanwi wala kulazimishwa kutumia mfumo wa kiingereza.
Kwahiyo kifungu cha 135 na 138 vya CPA ndio vitatumika katika kuamua jambo hili na tusiende kwa KHATIBU GANDI na Kwa GREY LIKUNGU.
Tunabanwa na sheria yetu wenyewe.
Hoja ya pili kuhusiana na endapo Hati ya Mashitaka ilifanyiwa amendment. Kimsingi ukisoma kosa la treason linaangukia sehemu ya pili ya Penal Code. (Kanuni ya Adhabu)
Mahakama hii imeyapa uzito mwasilisho ya pande zote mbili. Ambapo kif. Cha 262(1) cha CPA kinazungumza kuhusu mshitakiwa anavyopaswa kupelekwa mahakamani mara baada ya kukamatwa. Apelekwe na Charge.
Ukisoma kifungu hiki ni dhahiri hati ya mashitaka katika makosa ambayo mahakama kuu inasikiliza basi hati ya mashitaka inakuwa ni proposed charge au holding Charge na ita exist hadi siku anapelekwa mahakamani na DPP akiona kuna ushahidi basi atatengeneza hati ya mashitaka nyingine na kuisubmit akiwa na nakala tatu pamoja na viambatanisho.
Kifungu hiki kinasema DPP asome kwanza maelezo ya mashahidi akijiridhisha ndio anaandaa hati ya mashitaka na kuiwasilisha mahakamani.
Kwahiyo hati inayopelekwa mahakama kuu ndio hati halisi ndio mshitakiwa anasomewa wakati shauri lake linapoanza kusikilizwa. Na ndio hati ambayo ilitumwa Kisutu.
Hati ambayo imeletwa hapa mahakama kuu haijawahi kubadilishwa na haina marekebisho yoyote.
Kwahiyo hoja ya kwamba imefanyiwa marekebisho haiko sahihi tunakubaliana na mawakili wa serikali.
Part 39 itaendelea kwenye post inayofuata.
Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali.
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI
Part 38
Anaendelea Jaji Nduguru
Sasa turejeee kwenye hati ya mashitaka tuliyonayo hapa mahakamani.
Anasoma statement of the offence na particulars of the offence kwenye hati ya mashitaka kama vipo au havipo?
Anaisoma hati ya mashitaka yote kuhusu maneno ya kukinukisha ya TUNDU LISSU.
Jaji anaendelea...
Sasa tukishasoma hiyo hati tunapaswa kurudi kwenye sheria.
Statement of the offence tunaona iko clear kabisa imeelezwa kwenye hati ya mashitaka.
Kingine ni Particulars of the offence na sheria pamoja na mashauri ukisoma shauri la Mwaikunda linasema lazima maelezo ya kosa yawe yakutosha ana kueleweka vizuri.
Shauri la Isdory lilisema pia ni muhimu sana kuwepo na reasonable information in relation to the charge.
Anasoma kilichosemwa na Jaji katika hukumu ya hiyo kesi ya Isdory aliyoitaja hapa.
Na hivi basi baada ya kurudi kwenye hati ya mashitaka. Information imeeleza suala la nia ya kushawishi kuzuia uchaguzi mkuu na kutishia utawala.
Nia hiyo imethibitika kwa matendo ya kutamka hayo maneno.
Hoja ya kwamba maneno yanamanifest matendo ni suala la ushahidi.
Tunakubaliana na mshitakiwa kuwa pande zote mbili zinabanwa na pleadings. Hatupaswi kutoka nje.
Tunaungana na mshitakiwa katika kulitatua hilo tusubiri ushahidi huo.
Kifungu cha 138 cha CPA tulikisoma na mshitakiwa alisema hati ya mashitaka kwenye kesi kubwa hivi yanapaswa kutengenezwa kwa mujibu wa kesi hizo tajwa za Grey likungu na Khatibu Gandi.
Mshitakiwa alisema lazima kuwepo na particulars of the offence lazima upande wa mashitaka waonyeshe manifestation na lazima iwe pleaded na ielezwe kama alipublish au vipi na pia lazima overt act ionekane.
Hayo yote yanapaswa kuwa pleaded separately ndio alisema hivyo Mshitakiwa akiwa anaegemea kwenye hayo mashauri mawili ambayo ndio muundo qa kiingereza wenyewe.
Shauri la Grey Likungu kuhusu adoption ya English Procedure (English Mode za kuendesha mashitaka) mahakama ilisema nchi ya Tanzania haibanwi kufuata English Procedure and Practice sio lazima kuifuata inaweza kutafuta utaratibu wake bora zaidi.
Tumeyasema hivi ili kuonesha kuwa mahakama hii haibanwi wala kulazimishwa kutumia mfumo wa kiingereza.
Kwahiyo kifungu cha 135 na 138 vya CPA ndio vitatumika katika kuamua jambo hili na tusiende kwa KHATIBU GANDI na Kwa GREY LIKUNGU.
Tunabanwa na sheria yetu wenyewe.
Hoja ya pili kuhusiana na endapo Hati ya Mashitaka ilifanyiwa amendment. Kimsingi ukisoma kosa la treason linaangukia sehemu ya pili ya Penal Code. (Kanuni ya Adhabu)
Mahakama hii imeyapa uzito mwasilisho ya pande zote mbili. Ambapo kif. Cha 262(1) cha CPA kinazungumza kuhusu mshitakiwa anavyopaswa kupelekwa mahakamani mara baada ya kukamatwa. Apelekwe na Charge.
Ukisoma kifungu hiki ni dhahiri hati ya mashitaka katika makosa ambayo mahakama kuu inasikiliza basi hati ya mashitaka inakuwa ni proposed charge au holding Charge na ita exist hadi siku anapelekwa mahakamani na DPP akiona kuna ushahidi basi atatengeneza hati ya mashitaka nyingine na kuisubmit akiwa na nakala tatu pamoja na viambatanisho.
Kifungu hiki kinasema DPP asome kwanza maelezo ya mashahidi akijiridhisha ndio anaandaa hati ya mashitaka na kuiwasilisha mahakamani.
Kwahiyo hati inayopelekwa mahakama kuu ndio hati halisi ndio mshitakiwa anasomewa wakati shauri lake linapoanza kusikilizwa. Na ndio hati ambayo ilitumwa Kisutu.
Hati ambayo imeletwa hapa mahakama kuu haijawahi kubadilishwa na haina marekebisho yoyote.
Kwahiyo hoja ya kwamba imefanyiwa marekebisho haiko sahihi tunakubaliana na mawakili wa serikali.
Part 39 itaendelea kwenye post inayofuata.
Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali.
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI
Part 38
Anaendelea Jaji Nduguru
Sasa turejeee kwenye hati ya mashitaka tuliyonayo hapa mahakamani.
Anasoma statement of the offence na particulars of the offence kwenye hati ya mashitaka kama vipo au havipo?
Anaisoma hati ya mashitaka yote kuhusu maneno ya kukinukisha ya TUNDU LISSU.
Jaji anaendelea...
Sasa tukishasoma hiyo hati tunapaswa kurudi kwenye sheria.
Statement of the offence tunaona iko clear kabisa imeelezwa kwenye hati ya mashitaka.
Kingine ni Particulars of the offence na sheria pamoja na mashauri ukisoma shauri la Mwaikunda linasema lazima maelezo ya kosa yawe yakutosha ana kueleweka vizuri.
Shauri la Isdory lilisema pia ni muhimu sana kuwepo na reasonable information in relation to the charge.
Anasoma kilichosemwa na Jaji katika hukumu ya hiyo kesi ya Isdory aliyoitaja hapa.
Na hivi basi baada ya kurudi kwenye hati ya mashitaka. Information imeeleza suala la nia ya kushawishi kuzuia uchaguzi mkuu na kutishia utawala.
Nia hiyo imethibitika kwa matendo ya kutamka hayo maneno.
Hoja ya kwamba maneno yanamanifest matendo ni suala la ushahidi.
Tunakubaliana na mshitakiwa kuwa pande zote mbili zinabanwa na pleadings. Hatupaswi kutoka nje.
Tunaungana na mshitakiwa katika kulitatua hilo tusubiri ushahidi huo.
Kifungu cha 138 cha CPA tulikisoma na mshitakiwa alisema hati ya mashitaka kwenye kesi kubwa hivi yanapaswa kutengenezwa kwa mujibu wa kesi hizo tajwa za Grey likungu na Khatibu Gandi.
Mshitakiwa alisema lazima kuwepo na particulars of the offence lazima upande wa mashitaka waonyeshe manifestation na lazima iwe pleaded na ielezwe kama alipublish au vipi na pia lazima overt act ionekane.
Hayo yote yanapaswa kuwa pleaded separately ndio alisema hivyo Mshitakiwa akiwa anaegemea kwenye hayo mashauri mawili ambayo ndio muundo qa kiingereza wenyewe.
Shauri la Grey Likungu kuhusu adoption ya English Procedure (English Mode za kuendesha mashitaka) mahakama ilisema nchi ya Tanzania haibanwi kufuata English Procedure and Practice sio lazima kuifuata inaweza kutafuta utaratibu wake bora zaidi.
Tumeyasema hivi ili kuonesha kuwa mahakama hii haibanwi wala kulazimishwa kutumia mfumo wa kiingereza.
Kwahiyo kifungu cha 135 na 138 vya CPA ndio vitatumika katika kuamua jambo hili na tusiende kwa KHATIBU GANDI na Kwa GREY LIKUNGU.
Tunabanwa na sheria yetu wenyewe.
Hoja ya pili kuhusiana na endapo Hati ya Mashitaka ilifanyiwa amendment. Kimsingi ukisoma kosa la treason linaangukia sehemu ya pili ya Penal Code. (Kanuni ya Adhabu)
Mahakama hii imeyapa uzito mwasilisho ya pande zote mbili. Ambapo kif. Cha 262(1) cha CPA kinazungumza kuhusu mshitakiwa anavyopaswa kupelekwa mahakamani mara baada ya kukamatwa. Apelekwe na Charge.
Ukisoma kifungu hiki ni dhahiri hati ya mashitaka katika makosa ambayo mahakama kuu inasikiliza basi hati ya mashitaka inakuwa ni proposed charge au holding Charge na ita exist hadi siku anapelekwa mahakamani na DPP akiona kuna ushahidi basi atatengeneza hati ya mashitaka nyingine na kuisubmit akiwa na nakala tatu pamoja na viambatanisho.
Kifungu hiki kinasema DPP asome kwanza maelezo ya mashahidi akijiridhisha ndio anaandaa hati ya mashitaka na kuiwasilisha mahakamani.
Kwahiyo hati inayopelekwa mahakama kuu ndio hati halisi ndio mshitakiwa anasomewa wakati shauri lake linapoanza kusikilizwa. Na ndio hati ambayo ilitumwa Kisutu.
Hati ambayo imeletwa hapa mahakama kuu haijawahi kubadilishwa na haina marekebisho yoyote.
Kwahiyo hoja ya kwamba imefanyiwa marekebisho haiko sahihi tunakubaliana na mawakili wa serikali.
Part 39 itaendelea kwenye post inayofuata.
Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali.
“Waheshimiwa majaji wa Mahakama Tukufu, mimi Tundu Antipas Lissu ni Mtanzania Mtiifu kwa Nchi yangu. Maneno yaliyosomwa hapo ni yangu, niliyasema mimi mwenyewe kwa kinywa changu. Lakini,hakuna hata neno moja ambalo ni kosa la jinai. Mimi ni mpinzani, ninapinga Serikali"
Tundu Antipas Lissu
22 Septemba 2025![]()
Mkuu kama yale majibizano ya mahakamani ( cross examination), tunaweza kupata itakua farajra. # free Humphrey PolepoleWana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu.
Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya uhaini na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanganyika
Ana historia yake maalum .. Ana mengi mazuri ya kiwango kaifanyia Tanganyika.. TUMUENZI SASA. NI WAKATI WAKEView attachment 3381742
(7,029) Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu | JamiiForums Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu