Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

Screenshot_2025-07-30-21-15-07-1.png
 
LISSU YUPO KWA KUDONDOKA KWA WENGI

Kwa kawaida watu ambao wamepitia jaribio la kuuawa na kuwa wafu katika nia za wabaya wao hupata roho mpya na nguvu mpya. Mmojawapo katika watu wa jinsi hiyo ni Tundu Lissu. Watu wa jinsi hiyo hawaogopi hofu ya usiku wala mshale urukao mchana (Zaburi 91:5). Uwepo wa watu wa jinsi hiyo ni kero na tishio kwa watawala na wenye mamlaka ambao hutamani waondoshwe hima. Lakini watu wa hivyo ni sauti ya Mungu duniani nao hawaondosheki hima bali huondoka kwa mpango wa Mungu. Wapo wengi watadondoka kabla Lissu hajadondoka. Sijapata nafasi kuhudhuria kwenye shauri lake lakini siachi kuomba kwa ajili yake.
Credit: Askofu Munga
FB_IMG_1754118362747.jpg
 
Huyu sio kibaka, sio muhalifu, sio mwizi, sio jambazi, sio mbakaji bali ni Katibu wa CHADEMA Kanda ya Pwani. Tukio hili halijatokea enzi za mkoloni mweupe wa Kijerumani na Kingerezahii miaka ile ya 1947 au 1920 au 1960 wakati wa kupigania Uhuru kutoka kwa wakoloni wazungu..

Tukio hili ni leo mahakama ya hakimu mkazi Kisutu..

Kosa la Mtanzania huyu ni kwenda kusikiliza kesi ya Kiongozi wa upinzani Tanzania Tundu A. M. Lissu aliyepewa kesi ya uhaini na uchochezi.

Ni katika nchi hii hii club ya mpira imechangia fedha ili kufanikisha utawala huu huu unaofanya maovu haya dhidi ya raia upate pesa na nguvu ya kubaki madarakani..... wafanyabiashara na wengine waliochangia maana wanaunga mkono dhulma hizi dhidi ya raia, utekaji, mauaji, uzembe na maovu mengine yote..

Kumbuka kauli ya Mwalimu, lazima wanyonge waungane kukabili wenye nguvu. Haki haiombwi haki imadaiwa na kupiganiwa na hata kuporwa kwa nguvu mikononi mwa anayeikandamiza. Kwanza unamuomba nani yani umuombe anayenufaika na uporaji wa haki yako?

✍️𝗝𝗼𝗵𝗻 𝗛𝗲𝗰𝗵𝗲

#NoReformsNoElection
1755156973552.jpg
 
TANZIA TANZIA TANZIA

KIFO CHA MC MWINGIRA

Taarifa ya msiba ndugu yetu mpambanaji mwenzetu ERASMO MWINGIRA maarufu kama MC MWINGIRA amefariki dunia tangu siku ya jumapili kwenye ajali ya bus la SAMA COACH maeneo ya Mikumi akiwa safarini kuelekea Dar essalaam.

Mwili bado uko maeneo ya mikumi Morogoro, tunashugulikia namna ya kuupeleka Songea😰

Mc mwingila ni mwimbaji wa nyimbo za chama ameimba "Chadema People's na Mwana Kotide ambaye nae alitangulia mbele za haki, Pia ameimba Tundu Lissu wapeleke mchaka mchaka"

Mc Mwingila alikuwa anakuja Dar kwenye kesi ya Mh. Tundu Lissu, ndio akapata ajali njiani.

Mungu amlaze mahali pema peponi.

Imetolewa na...
Juma Ng'itu
Mwenyekiti wa baraza la vijana Kanda ya kusini.

14.August.2025.
FB_IMG_1755157211052.jpg
 
SWALI la kisheria, hivi mawakili wa SERIKALI kwenye KESI ya Mh. Tundu A. M. Lissu, nao watakuwa wa SIRI wakati kesi inaendelea? Hakimu, Jaji na Polisi?

#noreformsnoelection2025
#NoReformsNoElection

#FreeTunduLissuNow
#FreeTunduLissu

#like #follow #share
1755166222071.jpg
 
ni sahihi kabisa boss!

sisi watumishi wa Mungu tunaaswa tusilaani watu. Ila kwa yeyote aliyehusika/anayehusika katika kumtesa Tundu Antipas Lissu, limpate la kumpata.

na watu wote tuseme Amina.
mlishamlaani alivyowatuhumu mumehongwa 70m na rugemarila, umlaani mtu huwezi ondoa laana mwenyewe
 
Back
Top Bottom