Leo nimetazama video
Yenye msisimko mbaya Sana
Majonzi inayoashiria Taswira mbaya na ya kusikitisha Sana aliyofanyiwa mh lissu na Askari magereza kizimbani !
#Lissu amesukumwa kwenye kizimba kama mbwa na Askari magereza nimetazama mara nyingi tukio lile la unyanyasaji mwingine unaoongeza hisia hasi nimejiuliza
Kuna mtanzania hajui Hali aliyo nayo lissu kiafya hasa mwili wake uliojeruhiwa vibaya kabisa Kwa Risasi nyingi 2017
Nimeendelea kujiuliza mwenyewe
Je nini lengo la wale Askari Wetu wa magereza kufanya harassment kwenye macho ya Dunia kwa chuki kiasi kile ?
Vipi wakiwa naye mwenyewe Hali ikoje ?
Je Wana baraka za Nani kufanya Yale ?
Je Ile NI mbegu njema ya nchi inapandwa mioyoni mwa watu ?
wenye madaraka hasa mnaowatuma hawa wanaofanya haya
Mkiliona huko mtakakokuwa kama mnasali na mnajua Mungu yupo
Mjiulize vipi tabia hii itadumishwa kwa vizazi vyetu Tu? ! Hiyo ahadi mnayo toka kwa Mungu ? Ili tusishangae tena
NI swala la muda mlioko kwenye madaraka oneni umuhimu WA kuondoa mambo mengine yasiyokuwa na sababu ya kuzidisha vilio kwenye mioyo ya Watanzania kama Mungu aishivyo
Haya yatasimamishwa siku Moja Ten kwa aibu kubwa na sio mbali
Mwisho niseme Tu nimeumia Sana kwa kitendo kile
Nimeogopa kurudia kuangalia Tena Ile video isiyokuwa na tofauti kabisa na uovu mwingine wowote
Kama Mungu aishivyo kisasi NI chake yeye