Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,193
- 5,129
mkuu hili file nalo mm sema njoo inboxMkuu fanya kushare file la MUST
mkuu hili file nalo mm sema njoo inboxMkuu fanya kushare file la MUST
Nilioneshwa kupitia simu ya mtu! Hakunitumia.Chief fanya kushea mzigo wa must basi
pichaWakuu Salaam:
Siku za karibuni kumekuwa na usambaaji wa video chafu kwenye mitandao ya kijamii na jambo hili linaendelea kukua miongoni mwa wanafunzi wa Elimu ya juu.
Na waliohusika katika video wapo pamoja na kwamba kumekuwa na matamko toka uongozi wa vyuo lakini bado hakuna fundisho.
Hawa wanafunzi wa vyuo vikuu watakapohitimu ndiyo wanaotegemewa kuwa viongozi na wazalishaji katika sekta mbalimbali ili kuinua maendeleo yao binafsi na Taifa kwa ujumla.
TCU wanatakiwa kuwafuta usajili wote waliohusika kwenye hizo video na wasipewe nafasi ya kusoma chuo chochote kabisa.
Kila mtu ni kama kashazoea habari kama hizi kusikika, hakuna maadili tena. Unakaa siku 2,3 unapata habari mpya.
Wanafunzi wa elimu ya juu tatizo liko wapi hadi kufikia hatua hii?
TCU chukueni hatua.
TrueHao wanafunzi wanaojirekodi picha chafu wanawaweka wazazi wao kwenye wakati mgumu Sana.
Wanafunzi waoneeni huruma wazazi wenu, msiwafanye wafe mapema.
Nikuulize Tu.. Wewe ni Mkamilifu?Wakuu Salaam:
Siku za karibuni kumekuwa na usambaaji wa video chafu kwenye mitandao ya kijamii na jambo hili linaendelea kukua miongoni mwa wanafunzi wa Elimu ya juu.
Na waliohusika katika video wapo pamoja na kwamba kumekuwa na matamko toka uongozi wa vyuo lakini bado hakuna fundisho.
Hawa wanafunzi wa vyuo vikuu watakapohitimu ndiyo wanaotegemewa kuwa viongozi na wazalishaji katika sekta mbalimbali ili kuinua maendeleo yao binafsi na Taifa kwa ujumla.
TCU wanatakiwa kuwafuta usajili wote waliohusika kwenye hizo video na wasipewe nafasi ya kusoma chuo chochote kabisa.
Kila mtu ni kama kashazoea habari kama hizi kusikika, hakuna maadili tena. Unakaa siku 2,3 unapata habari mpya.
Wanafunzi wa elimu ya juu tatizo liko wapi hadi kufikia hatua hii?
TCU chukueni hatua.
Bob una connection ya 5GMtoto ana tak.o yule
unajua nilidhani wamenitoa. nikawafuata mods inbo.YAN HAPA SASA NDO NAONA UMUHIMU WA JUKWAA LETU PENDWA WALILOLIPIGA KUFULI