Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Kwa jinsi ulivonichekesha hapa... Thank God nieleza ukweli kua sijaelewa....lol... DC bana... So that is your wish?? ha ha ha....
Hutaki kuamini??
Nitakuja baadaye na wish nyingine!!!
Kwa jinsi ulivonichekesha hapa... Thank God nieleza ukweli kua sijaelewa....lol... DC bana... So that is your wish?? ha ha ha....
ha ha ha.... Mie Curious.....
<br />Husny taja baaadhi basi....
<br />Waambie tu, ukinipata mie ndio utaridhika , unaogopa ogopa nini sasa? viaibu vyengine bana!
<br />Ndiio maana nikasema baadhi... na hayo kama baadhi, inatosha kabisa.....
<br />Khaaa!! asije tu akajinyonga....lol
Nimeshapata kile nikitakacho. Mke mwema na watoto kadhaa! Mengine ni maj'aaliwa akipenda mungu atanij'aalia pia. Ila kwa sasa namrudishia sifa na utukufu!
<br />
<br />
sawa mamito, labda nimeandika kwa kifupi sana ndio maana umekuwa na maswali mengi.
Mambo yanayonipa furaha kwa uchache.
1. Afya. Nikiumwa huwa nakosa furaha kabisa. Afya njema ni furaha kwangu.
2. Pesa. Bora niwe nayo hata kidogo. Nikiwa sina kabisa huwa nakosa raha. Lol.
3. Nakosa raha ninapokuwa kwenye mgogoro, uwe mgogoro binafsi au wa kifamilia. Furaha yangu ni kuona mambo yapo sawa.
4. Ninapomkosea mtu nakosa furaha na mtu anaponikosea pia nakosa furaha.. Furaha yangu ni kuona na wengine wanafurahi.
5. Mawazo huninyima furaha. Sipendi kuwaza sana, sipendi kuyafikiria matatizo.
Kama nikiambiwa nichague ninachotaka sitochagua pesa nitachagua furaha maana naweza kuwa na pesa nyingi ila zisinipe furaha.
Kipipi.... haya bana... nice one...lol... Unaweza nidokeza hayo mengine ambayo number iko chini??
<br />Husny... kwa vigezo vyako hapo juu... You are a good person... Mungu akubariki dear....
Nimeshapata kile nikitakacho. Mke mwema na watoto kadhaa! Mengine ni maj'aaliwa akipenda mungu atanij'aalia pia. Ila kwa sasa namrudishia sifa na utukufu!