Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,130
Hah, hah, ... So its here ...Thisz real good! Kweli unataka tuseme ... ! Am cming soon!!
Waambie tu, ukinipata mie ndio utaridhika , unaogopa ogopa nini sasa? viaibu vyengine bana!<br />
<br />
furaha husababishwa na vitu vingi. Nikianza kuelezea hapa havitaisha.
Waambie tu, ukinipata mie ndio utaridhika , unaogopa ogopa nini sasa? viaibu vyengine bana!
Bado nafkiria nikipata nini nitaridhika, sizanii kama binadamu anarizika bana! labda tulisogezeni mbele hili sredi tuKlorokwini Byabusha, umugambire baba?
Ningejibu tuhuma lakini kwa umuhimu wa hii mada nimeonelea ni vyema nistoke kwenye mada! suala la msingi hivi Binadamu anaridhika?Nakuonea huruma kweli... Lizzy umenyang'anywa.... Husny kwa Uporoto.... Bora tu vuta taswira na useme nini wapenda...
Ningejibu tuhuma lakini kwa umuhimu wa hii mada nimeonelea ni vyema nistoke kwenye mada! suala la msingi hivi Binadamu anaridhika?
Nitachagua Happiness!!!!!!!!!!!!!
Watu wanatafuta pesa, mali, marafiki, starehe ili wawe na furaha. So end product ni HAPPINESS! So kama kuna shortcut ya kuwa na furaha milele l go for that!
Nitachagua Happiness!!!!!!!!!!!!!
Watu wanatafuta pesa, mali, marafiki, starehe ili wawe na furaha. So end product ni HAPPINESS! So kama kuna shortcut ya kuwa na furaha milele l go for that!
Mh .. I real love you patience .. Kwani imenipunguzia kazi and am taking the advantage . Ok?!.. Please Return That Signature ... Kweli kabisa huo ndio mwisho wa utulivu nilionao ... Na ndiyo Taswira ya mwishoo... LolAJ Patiently waiting...lol
Ki-PP kwa hamu nakusubiri jibu lako....
Mh .. I real love you patience .. Kwani imenipunguzia kazi and am taking the advantage . Ok?!.. Please Return That Signature ... Kweli kabisa huo ndio mwisho wa utulivu nilionao ... Na ndiyo Taswira ya mwishoo... Lol