Tulia.... Vuta Taswira...

Kuna vitu viwili hapa bado najaribu kuvifanyia comparison coz naona vyote vinategemeana na ndivyo vitakavyonifanya niridhike maishani mwangu!! mmmh.............ila haka ni kachemsha bongo tosha kabisa!! ADI nitarudi baadae.


Kipp swagger zako hizo usiporudi hapa nakufuata ulipo...lol
 
nimegundua kuwa watu wengi humu ni ma selfish...lol

siri mojawapo ya furaha ni kuwasaidia wengine wapate furaha.....

ndo maana kuna kazi ambazo wanaozifanya huwapa furaha mno kila siku...

tazama madaktari wa upasuaji akifanikiwa kazi yake......

na kadhalika

Mimi nikipata hela za kutosha nataka nifungue orphanage. Na mimi bado mbinafsi?
 
nimegundua kuwa watu wengi humu ni ma selfish...lol

siri mojawapo ya furaha ni kuwasaidia wengine wapate furaha.....

ndo maana kuna kazi ambazo wanaozifanya huwapa furaha mno kila siku...

tazama madaktari wa upasuaji akifanikiwa kazi yake......

na kadhalika


That is so true... But ni wachache saana wanaweza hilo...
 
Mimi nikipata hela za kutosha nataka nifungue orphanage. Na mimi bado mbinafsi?

wewe ni mbinafsi mno

kufungua charity baada ya kupata pesa huwasaidii hao..

unajisaidia mwenyewe to feel better....guilty conscious ndio chanzo....

kwa nini usiwasaidie watu wawe matajiri zaidi labda?kuandika itabu ukitoa blue print ya utajiri wako?????
 
Will that make you happy AJ?? If it will, i allow you with pleasure...
.... Sure it will .. Since its the only thing ... I can visualise ... kama nimetuliaa sanah ... Subiri hapo hapo uione ikipandaa ... !! Ofcourse ... no regreat! Lol
 
aaisee... Mzee DC naomba nidadafulie hii post, maana sijaipata....

Kuna babu mmoja wa kimasaia alinambia hivi..."nyie waswahili ni wajinga sana..eti mwanaume nasema natosheka na mke mmoja, mna akili kweli????"....

Baada ya kumaliza hii miongo yoote niliyomeza, naanza kuona kwamba yule babu alikuwa jiniasi!!!
 
.... Sure it will .. Since its the only thing ... I can visualise ... kama nimetuliaa sanah ... Subiri hapo hapo uione ikipandaa ... !! Ofcourse ... no regreat! Lol


ha ha ha.... AJ.. You are my friend.. How can i regret... Tatizo you like it a lot and you think, i can't let go... Nikiitaka si utanigawia?? lol
 
Kuna babu mmoja wa kimasaia alinambia hivi..."nyie waswahili ni wajinga sana..eti mwanaume nasema natosheka na mke mmoja, mna akili kweli????"....

Baada ya kumaliza hii miongo yoote niliyomeza, naanza kuona kwamba yule babu alikuwa jiniasi!!!


Kwa jinsi ulivonichekesha hapa... Thank God nieleza ukweli kua sijaelewa....lol... DC bana... So that is your wish?? ha ha ha....
 
Hio kweli ni muhimu... ila umeongea kama hauna uhakika vile.... "nadhani"??

Nilikuwa na mambo mengi nayapa kipaumbele rafiki ila mwisho wa siku hilo limeshika hatamu.
hiyo nadhani itoe tu...mbwembwe za uandishi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom