Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,973
Hilo wengi hawajui sababu ya kufungwa kwa akili ya kimungu666 atatokea Vatican City
Hilo wengi hawajui sababu ya kufungwa kwa akili ya kimungu666 atatokea Vatican City
Barikiwa Sana kiongozi wangu1)Unajua maana ya chuki?
2)Nani alikwambia kuwa mtu akipinga unachokiamini basi anachukia?
3)usisubiri kuambiwa na watu ndio ujione intelligent
4)kanisa katoliki limeingi mambo yafuatayo, (hapa chini) ambapo wale ambao hamuhoji mmeaminishwa kuwa ndio intelligent ila wanaohoji wanaonekaka wajinga.
-ibada za sanamu
-ndoa za jinsia moja
-taasisi ya utawa
Ninavyojua mimi, viashiria vya awali juu ya intelijensia ya mtu yeyote duniani ni uwezo wake wa kuhoji na maamuzi, sasa kama kanisani kwako umeletewa mafundisho yasiyoshabihiana na biblia, badala ya kuhoji umekalia tu kulialia eti watu wanawachukia (hasa wakristo wasio wakatoliki) hauoni kama umefungwa akili huku miguu inatembea? Amka mwana wa adam,
*Not everything you read on the internet is true, you've got to use you common sense
Papa huyu huyu ambae anaishi kwenye temple lenye alama ya nyoka ndy aongee kibiblia??Matamshi ya Pope yapo Ki-Biblia! huwa Habahatishi!
Hivyo vyeo Vyoote vipo Ki-Biblia
Refer Rozali na tasbihiUislamu na ukatoliki unaendana kwa kiasi flani
Ni kutokujua Maandiko tu kwani ukizikwa na watu wote walioko duniani ndy utaenda mbinguni??Imani ya Mtu Kama Inakukera Ina Maana Hujakomaa Kwenye Hiyo Uliyopo.... Kuna Kumtafuta Mungu Halafu Kuna Kuwafurahisha Binadamu Wenzio Usikose Wa Kukuzika...
YOHANA 17:11, MATHAYO 23:9-10Matamshi ya Pope yapo Ki-Biblia! huwa Habahatishi!
Hivyo vyeo Vyoote vipo Ki-Biblia
Kumbe hujui hata Ibada ya sanamu!1)Unajua maana ya chuki?
2)Nani alikwambia kuwa mtu akipinga unachokiamini basi anachukia?
3)usisubiri kuambiwa na watu ndio ujione intelligent
4)kanisa katoliki limeingi mambo yafuatayo, (hapa chini) ambapo wale ambao hamuhoji mmeaminishwa kuwa ndio intelligent ila wanaohoji wanaonekaka wajinga.
-ibada za sanamu
-ndoa za jinsia moja
-taasisi ya utawa
Ninavyojua mimi, viashiria vya awali juu ya intelijensia ya mtu yeyote duniani ni uwezo wake wa kuhoji na maamuzi, sasa kama kanisani kwako umeletewa mafundisho yasiyoshabihiana na biblia, badala ya kuhoji umekalia tu kulialia eti watu wanawachukia (hasa wakristo wasio wakatoliki) hauoni kama umefungwa akili huku miguu inatembea? Amka mwana wa adam,
*Not everything you read on the internet is true, you've got to use you common sense
Kuipigia magoti sanamu ya huyo mnaemuita bikira Maria sio kuabudu sanamu huko??Katoliki hakuna ibada ya sanamu wala hakuna ushoga mkuu si vyema kukashfu imani za watu kwa maneno ya uongo. Kwa hapa wewe una chuki sasa.
Tupo Sana kiongozi wangu
Wewe ni mroman cathoric kweli?Wenye Chuki nasi Wakatoliki utawajua.
Ibada ya sanamu maana yake ni ipi kulingana na biblia? hapa nadhani umeandika kitu usichokijua maana yake.1)Unajua maana ya chuki?
2)Nani alikwambia kuwa mtu akipinga unachokiamini basi anachukia?
3)usisubiri kuambiwa na watu ndio ujione intelligent
4)kanisa katoliki limeingi mambo yafuatayo, (hapa chini) ambapo wale ambao hamuhoji mmeaminishwa kuwa ndio intelligent ila wanaohoji wanaonekaka wajinga.
-ibada za sanamu
-ndoa za jinsia moja
-taasisi ya utawa
Ninavyojua mimi, viashiria vya awali juu ya intelijensia ya mtu yeyote duniani ni uwezo wake wa kuhoji na maamuzi, sasa kama kanisani kwako umeletewa mafundisho yasiyoshabihiana na biblia, badala ya kuhoji umekalia tu kulialia eti watu wanawachukia (hasa wakristo wasio wakatoliki) hauoni kama umefungwa akili huku miguu inatembea? Amka mwana wa adam,
*Not everything you read on the internet is true, you've got to use you common sense
Umeniwahi, naamini ameshajifunza.Kumbe hujui hata Ibada ya sanamu!
Kwa faida yako ibada ya sanamu hii hapa!
KOL. 3:5-6 Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu; kwa ajili ya mambo hayo huja ghadhabu ya Mungu.
Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Chanzo: bavicha.tz
Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.
Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwengun
Ukiona shetani anakusifia ni Kwa vile huna madhara nae ( mwenye akili anafahamu)
Tumsifu Yesu KristuKwa kweli sijawahi kusikia Catholic wakipigania sandaka kanisani kama ambavyo wakristo wengine wanazichapa kisa sadaka.
Hayo ndiyo uliyo karirishwaPapa huyu huyu ambae anaishi kwenye temple lenye alama ya nyoka ndy aongee kibiblia??
Weka mafungu bro!YOHANA 17:11, MATHAYO 23:9-10
Biblia hpi na mstali hupi?Matamshi ya Pope yapo Ki-Biblia! huwa Habahatishi!
Hivyo vyeo Vyoote vipo Ki-Biblia
Wewe hata biblia huijui, msingi wa kanisa la kikiristo ni huruma ya Mungu isiyo na mipakaNdio ukweli
Hata Papa alipotoa matamshi yenye mwelekeo wa kuunga mkono mashoga ilionekena wakristo wote ndio msimamo wao.
Hata Rwanda pale wapadre na watawa waliposhiriki mauwaji ilionekana wakristo wote wameshiriki.
Hivyo vyeo vya uaskofu, havipo kibiblia,
Huyo sheikh anatueleza Mambo yaliyo njee ya biblia