Tukiwa tunasema Kanisa Katoliki ndiyo Alama rasmi ya Ukristo Tanzania na Duniani muwe mnatuelewa tafadhali

Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Chanzo: bavicha.tz

Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.

Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Ukiona shetani anakusifia ni Kwa vile huna madhara nae ( mwenye akili anafahamu)
 
Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Chanzo: bavicha.tz

Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.

Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Tangu lini sheikh ambaye ana njaa ya kichwani akaaminika..huyo ni mchumia tumbo..na statement yake imekaa kinafiki..na wivu anaona watu maaskofu wameongezeka kila kona na kila siku waumini wake wanahamia ukristo wivu umemjaa..atulie aendelee kutumika na chama cha kijani.


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1)Unajua maana ya chuki?
2)Nani alikwambia kuwa mtu akipinga unachokiamini basi anachukia?
3)usisubiri kuambiwa na watu ndio ujione intelligent
4)kanisa katoliki limeingi mambo yafuatayo, (hapa chini) ambapo wale ambao hamuhoji mmeaminishwa kuwa ndio intelligent ila wanaohoji wanaonekaka wajinga.
-ibada za sanamu
-ndoa za jinsia moja
-taasisi ya utawa
Ninavyojua mimi, viashiria vya awali juu ya intelijensia ya mtu yeyote duniani ni uwezo wake wa kuhoji na maamuzi, sasa kama kanisani kwako umeletewa mafundisho yasiyoshabihiana na biblia, badala ya kuhoji umekalia tu kulialia eti watu wanawachukia (hasa wakristo wasio wakatoliki) hauoni kama umefungwa akili huku miguu inatembea? Amka mwana wa adam,
*Not everything you read on the internet is true, you've got to use you common sense
Ndugu naomba uthibitishe hiyo number 4 kipengere cha pili.
Nadhani umeghafirika tu.
 
Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Chanzo: bavicha.tz

Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.

Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Kwa hiyo kauli ya mtu mmoja ambaye ni binadam kama wewe inahitimisha kila kitu kwako
 
Kama hujui basi jua kwamba Catholics sio christians
And catholics na Islam ni kitu kimoja. So lazima wasifiane.
And mwisho wa siku kwahiyo shehe alhad ndio benchmark yako kuhusu ukatoliki?
Ni Orthodox na Uislamu ndio utakuwa kitu kimoja kuwapiga mayahudi na wakristo angalia Orthodox wanafuga madevu kama waislamu mm mpk kanisa lao nimeingia hakuna bench za kukaa watu wote mmesimama sio Catholics .
 
1)Unajua maana ya chuki?
2)Nani alikwambia kuwa mtu akipinga unachokiamini basi anachukia?
3)usisubiri kuambiwa na watu ndio ujione intelligent
4)kanisa katoliki limeingi mambo yafuatayo, (hapa chini) ambapo wale ambao hamuhoji mmeaminishwa kuwa ndio intelligent ila wanaohoji wanaonekaka wajinga.
-ibada za sanamu
-ndoa za jinsia moja
-taasisi ya utawa
Ninavyojua mimi, viashiria vya awali juu ya intelijensia ya mtu yeyote duniani ni uwezo wake wa kuhoji na maamuzi, sasa kama kanisani kwako umeletewa mafundisho yasiyoshabihiana na biblia, badala ya kuhoji umekalia tu kulialia eti watu wanawachukia (hasa wakristo wasio wakatoliki) hauoni kama umefungwa akili huku miguu inatembea? Amka mwana wa adam,
*Not everything you read on the internet is true, you've got to use you common sense
Hakuna ibada za sanamu, ila mbona huoni dhmbi ya kutapeliana huko ulololeni, kama kuna sehemu kunaongoza kwa utapeli kupitia dini basi ni nyie, mnajiita walokole.
 
"Sasa hivi tuna Msiba mkubwa, mtu anajiamkia tu Nyumbani anajiita askofu Wakati hata uchungaji hajapitia,leo nimeshuhudia askofu sio jambo la mchezo mchezo ni Safari ngumu " Sheikh DSM
 
"Sasa hivi tuna Msiba mkubwa, mtu anajiamkia tu Nyumbani anajiita askofu Wakati hata uchungaji hajapitia,leo nimeshuhudia askofu sio jambo la mchezo mchezo ni Safari ngumu " Sheikh DSM
Wivu tu unamsumbua..yeye atulie injili iendelee kuhubiriwa..watu aokolewe wondoke kwa ibilisi mvaa kobazi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alama ya ukristo duniani ni KRISTO mwenywe. Au Yesu alikuw anasali kanisa Katoliki
 
Imani ya Mtu Kama Inakukera Ina Maana Hujakomaa Kwenye Hiyo Uliyopo.... Kuna Kumtafuta Mungu Halafu Kuna Kuwafurahisha Binadamu Wenzio Usikose Wa Kukuzika...
 
Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Chanzo: bavicha.tz

Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.

Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Au ,,Ukiona muislam anasifia jambo la kikristo ujue hilo limekaa kiislam zaidi kuliko kikristo"
 
Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Chanzo: bavicha.tz

Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.

Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Au ,,Ukiona muislam anasifia jambo la kikristo ujue hilo limekaa kiislam zaidi kuliko kikristo"
 
Kanisa Katoliki ndilo kanisa halisi linaloonesha ukristo wa kwelikweli. Nimejifunza nidhamu ya hali ya juu ya mababa askofu, nidhamu ya hali ya juu kwa waumini dhidi ya viongozi wao- Alhad Mussa Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Chanzo: bavicha.tz

Ukiona mpaka Muislamu anasifia Jambo tena la Kikristo jua kuwa anamaanisha na ameshajiridhisha vya Kutosha tu.

Katoliki tu ndiyo kila Kitu Ulimwenguni.
Luka 6:26 Ole wenu ninyi watu wote watakapowasifu, kwa kuwa baba zao waliwatenda manabii wa uongo mambo kama hayo.
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom