Tukikubaliana na dhana za kuikejeli elimu kisa Profesa Muhongo kakejeliwa tutapotea kama Taifa

Msukuma ni mgonjwa wa akili, kutoelewa kwake hoja ya Prop Mhongo ndiko kulikosababisha personal attack zake..

Speaker naye ni wakuaumiwa kwa kuruhusu bunge kufanya personal attacks na sio kujikita kwenye hoja. Speaker ndio msimamizi wa hii mijadala sasa kama anashindwa kusimamia na kuwa mshabiki kwa maslahi yake binafsi mbeleni huko tutapata shida..

Kuruhusu elimu inakejeliwa ndani ya Bunge na bunge linashangilia maana yake ni kuiambia jamii iachane na shule maana haina umuhimu wala msaada...effect yake ni kubwa kuliko tunavyodhania.

Awamu ya tano nayo ni ya kulaumiwa kwa kulazimisha watu watumie fikra za mtu mmoja na ukipingana naye basi wewe msaliti, sio mzalendo, mpiga dili, kibaraka nk.

Prop Mhongo aliwakilisha fikra zake na kuzitetea kwa ufahamu wake bila kumkejeli mtu, Msukuma kama hakubaliana alipaswa kuweka hoja zake mezani tupime na sio kufanya personal attack.
 
Mheshimiwa Msukuma amepata umaarufu mkubwa siku za karibuni haswa kwa kumkejeli Profesa Muhongo mwenye kuamini kwamba umeme wa gesi ni suluhisho la suala zima la nishati hiyo. Ni mawazo ya Profesa Muhongo na anao uwezo wa kuyatetea kwa hoja kila anaposimama na kuongea bungeni.

Naona kama Msukuma anakwenda mbali sana anapoamua kumkejeli Profesa na akawaweka katika kundi moja maprofesa wote kwa kigezo cha kutokubaliana tu na mitazamo yake. Ujinga ni mzigo mzito sana na upo uhakika hao mabilionea na mamilionea wanaojulikana kila kona wanawategemea wasomi wenye elimu za juu.

Tutakuwa tunapotea kama Taifa tukianza kukubaliana na dhana hizi za darasa la saba kuwa na manufaa na mafanikio kiasi cha wenye elimu kubwa kuanza kuonekana hawana maana. Ni kosa kubwa sana tutakuwa tunalifanya.

Wanaokesha usiku ndani ya maabara kubwa za mataifa yaliyoendelea wakitafuta kila aina ya chanjo dhidi ya Covid19 ni wasomi wa viwango vya juu. Na matokeo ya elimu zao wameanza kuzaa matunda kwani miezi michache ijayo dunia kwa maana ya ile ya watu kuchanganyika wakifanya shughuli mbalimbali itaanza kurudi kama ilivyokuwa zamani.

Wanaoandika ilani na kuwawezesha wagombea wanaopanda majukwaani ni wataalam wa fani mbalimbali. Hivyo Msukuma kuwepo kwake mle bungeni ni matunda ya hao hao wasomi anaowakejeli kisa tu ametofautiana kimtazamo na Prof Muhongo.

Ujinga kama alivyowahi kusema Hayati Mwalimu Julius Nyerere pale Karimjee miaka ya nyuma ni sawa na uchi wa akili. Ndio sababu hata wanamichezo ambao wanafanikiwa wakiwa na elimu ndogo, wakishapata pesa za kutosha huamua kutafuta elimu ambayo waliikosa hapo kabla, lengo ni kuuvalisha nguo ubongo.

Wenye elimu ya darasa wanaoweza kufika alipofika Mheshimiwa mbunge Msukuma ni wachache sana. Na sekta zetu nyingi zimekuwa zikikwama kwa kukosa maarifa sahihi ya wakati husika. Uendeshaji wa taasisi zetu nyingi ukiuchunguza kwa undani unagundua upungufu mwingi unaotokana na elimu kuwa ni ndogo pamoja na wahusika kukosa ufahamu mpana wa kitu wanachokifanya, wanakosa exposure.

Nimemuelewa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu kumkabidhi wizara ya mambo ya nje Mama Liberata Mulamula, anataka aitumie exposure yake kubwa katika kujenga taswira chanya ya Tanzania kimataifa. Inakuwa ni aibu unapomsikia mbunge anakejeli elimu wakati ndio silaha namba moja ya mataifa yaliyoendelea.

Kejeli anazokutana nazo Prof Muhongo zinawahusu pia maprofesa wengi ambao wamefanya mengi ya maana na yenye kuonekana kwa faida ya taifa. Ni mawazo fulani duni kuiponda elimu eti kwa sababu ya kutofautiana mitazamo na msomi mmoja

Hili tatizo litaondoka tu pale chama tawala kitakapoacha kufadhili propaganda chafu zinazohusisha defamation ya wenye mawazo mbadala. Wachumia fursa wengi wamegundua ukionekana unapambana na “dissenters” wa viongozi wa chama na serikali basi unainuliwa. Ndio maana ujinga wa kina Msukuma unaendelea kupata “airtime” kubwa sana nchini.

Serikali na chama tawala vimekuwa na hulka ya ku-sponsor kampeni kubwa za defamation dhidi ya wenye mawazo mbadala kuhusu sera na mipango ya kitaifa baada ya kuzidiwa hoja. Wakubwa wa Tanzania bado hawajakubali kuendesha nchi kwa hoja za kushawishi bali wanatarajia kuheshimiwa kwa nguvu na uwezo wao wa kudhibiti wananchi kwa kutumia dola.

Katika kampeni hizi, vyombo vya dola, shule, nyumba za ibada, nk, hutumika. Elimu, dini na makabila ya wahusika hutumika. Imefikia watu wanaaminishwa madhehebu na makabila fulani ni ya wapinzani/wasaliti/wezi! Kwamba elimu ni vyeti tu, cha maana ni “utendaji”. Bora kuwa na mbunge wa darasa la saba “mchapa kazi” kuliko mwenye digrii anayeshinda ofisini muda mwingi.

Kitu kinachoitwa “the rational” kimetupiliwa mbali katika harakati za kuhodhi madaraka ya nchi. It is power by any means.
 
Acha kiuamane
Msukuma ni mgonjwa wa akili, kutoelewa kwake hoja ya Prop Mhongo ndiko kulikosababisha personal attack zake..

Speaker naye ni wakuaumiwa kwa kuruhusu bunge kufanya personal attacks na sio kujikita kwenye hoja. Speaker ndio msimamizi wa hii mijadala sasa kama anashindwa kusimamia na kuwa mshabiki kwa maslahi yake binafsi mbeleni huko tutapata shida..

Kuruhusu elimu inakejeliwa ndani ya Bunge na bunge linashangilia maana yake ni kuiambia jamii iachane na shule maana haina umuhimu wala msaada...effect yake ni kubwa kuliko tunavyodhania.

Awamu ya tano nayo ni ya kulaumiwa kwa kulazimisha watu watumie fikra za mtu mmoja na ukipingana naye basi wewe msaliti, sio mzalendo, mpiga dili, kibaraka nk.

Prop Mhongo aliwakilisha fikra zake na kuzitetea kwa ufahamu wake bila kumkejeli mtu, Msukuma kama hakubaliana alipaswa kuweka hoja zake mezani tupime na sio kufanya personal attack.
 
[/QUOTE]
Love is blind. Kumbuka watawala wengi wanakubalika na watu wenye elimu ndogo sababu ya kuona vinavyoonekana na si kusikia na kudigest vinavyosemwa na mara nyingi wengi hawajui impact ya maamuzi ya wanaowatawala.
 
Spika wa bunge ameshasema wakina Kibajaji na Msukuma ndio nchi inawahitaji kuliko ma Prof PHDs

Basi sawa!
 
Spika wa bunge ameshasema wakina Kibajaji na Msukuma ndio nchi inawahitaji kuliko ma Prof PHDs

Basi sawa!
Spika Wa ajabu kuwahi kutokea,hii nchi ya ajabu sana Ndugayi kasomea mambo ya kupandikiza mbegu n'gombe,eti Leo ni boss wa mhimili Wa kutunga sheria.
 
Mheshimiwa Msukuma amepata umaarufu mkubwa siku za karibuni haswa kwa kumkejeli Profesa Muhongo mwenye kuamini kwamba umeme wa gesi ni suluhisho la suala zima la nishati hiyo. Ni mawazo ya Profesa Muhongo na anao uwezo wa kuyatetea kwa hoja kila anaposimama na kuongea bungeni.

Naona kama Msukuma anakwenda mbali sana anapoamua kumkejeli Profesa na akawaweka katika kundi moja maprofesa wote kwa kigezo cha kutokubaliana tu na mitazamo yake. Ujinga ni mzigo mzito sana na upo uhakika hao mabilionea na mamilionea wanaojulikana kila kona wanawategemea wasomi wenye elimu za juu.

Tutakuwa tunapotea kama Taifa tukianza kukubaliana na dhana hizi za darasa la saba kuwa na manufaa na mafanikio kiasi cha wenye elimu kubwa kuanza kuonekana hawana maana. Ni kosa kubwa sana tutakuwa tunalifanya.

Wanaokesha usiku ndani ya maabara kubwa za mataifa yaliyoendelea wakitafuta kila aina ya chanjo dhidi ya Covid19 ni wasomi wa viwango vya juu. Na matokeo ya elimu zao wameanza kuzaa matunda kwani miezi michache ijayo dunia kwa maana ya ile ya watu kuchanganyika wakifanya shughuli mbalimbali itaanza kurudi kama ilivyokuwa zamani.

Wanaoandika ilani na kuwawezesha wagombea wanaopanda majukwaani ni wataalam wa fani mbalimbali. Hivyo Msukuma kuwepo kwake mle bungeni ni matunda ya hao hao wasomi anaowakejeli kisa tu ametofautiana kimtazamo na Prof Muhongo.

Ujinga kama alivyowahi kusema Hayati Mwalimu Julius Nyerere pale Karimjee miaka ya nyuma ni sawa na uchi wa akili. Ndio sababu hata wanamichezo ambao wanafanikiwa wakiwa na elimu ndogo, wakishapata pesa za kutosha huamua kutafuta elimu ambayo waliikosa hapo kabla, lengo ni kuuvalisha nguo ubongo.

Wenye elimu ya darasa wanaoweza kufika alipofika Mheshimiwa mbunge Msukuma ni wachache sana. Na sekta zetu nyingi zimekuwa zikikwama kwa kukosa maarifa sahihi ya wakati husika. Uendeshaji wa taasisi zetu nyingi ukiuchunguza kwa undani unagundua upungufu mwingi unaotokana na elimu kuwa ni ndogo pamoja na wahusika kukosa ufahamu mpana wa kitu wanachokifanya, wanakosa exposure.

Nimemuelewa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu kumkabidhi wizara ya mambo ya nje Mama Liberata Mulamula, anataka aitumie exposure yake kubwa katika kujenga taswira chanya ya Tanzania kimataifa. Inakuwa ni aibu unapomsikia mbunge anakejeli elimu wakati ndio silaha namba moja ya mataifa yaliyoendelea.

Kejeli anazokutana nazo Prof Muhongo zinawahusu pia maprofesa wengi ambao wamefanya mengi ya maana na yenye kuonekana kwa faida ya taifa. Ni mawazo fulani duni kuiponda elimu eti kwa sababu ya kutofautiana mitazamo na msomi mmoja
Prof ana dharau sana. Anajionaga kama yeye anaelea kwenye mawingu kwasababu ni Prof. Haimsaidii. Hakuna lolote alilosaidia Taifa letu kwa kutumia uprofessor wake. I dare say, ajifunze kuwa humble. hatakosa lolote.
Dunia hii ni ya wanadamu wote, wakiwemo maprofessor
 
Mheshimiwa Msukuma amepata umaarufu mkubwa siku za karibuni haswa kwa kumkejeli Profesa Muhongo mwenye kuamini kwamba umeme wa gesi ni suluhisho la suala zima la nishati hiyo. Ni mawazo ya Profesa Muhongo na anao uwezo wa kuyatetea kwa hoja kila anaposimama na kuongea bungeni.

Naona kama Msukuma anakwenda mbali sana anapoamua kumkejeli Profesa na akawaweka katika kundi moja maprofesa wote kwa kigezo cha kutokubaliana tu na mitazamo yake. Ujinga ni mzigo mzito sana na upo uhakika hao mabilionea na mamilionea wanaojulikana kila kona wanawategemea wasomi wenye elimu za juu.

Tutakuwa tunapotea kama Taifa tukianza kukubaliana na dhana hizi za darasa la saba kuwa na manufaa na mafanikio kiasi cha wenye elimu kubwa kuanza kuonekana hawana maana. Ni kosa kubwa sana tutakuwa tunalifanya.

Wanaokesha usiku ndani ya maabara kubwa za mataifa yaliyoendelea wakitafuta kila aina ya chanjo dhidi ya Covid19 ni wasomi wa viwango vya juu. Na matokeo ya elimu zao wameanza kuzaa matunda kwani miezi michache ijayo dunia kwa maana ya ile ya watu kuchanganyika wakifanya shughuli mbalimbali itaanza kurudi kama ilivyokuwa zamani.

Wanaoandika ilani na kuwawezesha wagombea wanaopanda majukwaani ni wataalam wa fani mbalimbali. Hivyo Msukuma kuwepo kwake mle bungeni ni matunda ya hao hao wasomi anaowakejeli kisa tu ametofautiana kimtazamo na Prof Muhongo.

Ujinga kama alivyowahi kusema Hayati Mwalimu Julius Nyerere pale Karimjee miaka ya nyuma ni sawa na uchi wa akili. Ndio sababu hata wanamichezo ambao wanafanikiwa wakiwa na elimu ndogo, wakishapata pesa za kutosha huamua kutafuta elimu ambayo waliikosa hapo kabla, lengo ni kuuvalisha nguo ubongo.

Wenye elimu ya darasa wanaoweza kufika alipofika Mheshimiwa mbunge Msukuma ni wachache sana. Na sekta zetu nyingi zimekuwa zikikwama kwa kukosa maarifa sahihi ya wakati husika. Uendeshaji wa taasisi zetu nyingi ukiuchunguza kwa undani unagundua upungufu mwingi unaotokana na elimu kuwa ni ndogo pamoja na wahusika kukosa ufahamu mpana wa kitu wanachokifanya, wanakosa exposure.

Nimemuelewa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu kumkabidhi wizara ya mambo ya nje Mama Liberata Mulamula, anataka aitumie exposure yake kubwa katika kujenga taswira chanya ya Tanzania kimataifa. Inakuwa ni aibu unapomsikia mbunge anakejeli elimu wakati ndio silaha namba moja ya mataifa yaliyoendelea.

Kejeli anazokutana nazo Prof Muhongo zinawahusu pia maprofesa wengi ambao wamefanya mengi ya maana na yenye kuonekana kwa faida ya taifa. Ni mawazo fulani duni kuiponda elimu eti kwa sababu ya kutofautiana mitazamo na msomi mmoja
Tumia reference za wasomi wa tz ili twende sawa otherwise msukuma atabaki kua mshindi mbele ya mhongo
 
Maadui wakuu wa taifa:
(1) Ujinga
(2)Umasikini na
(3)Maradhi.
Adui namba moja hapo juu ndo anamsibu Mh. Msukuma. Pia hakana staha kale kajamaa ni ka kupuuza tu.
Mjinga ni nani? Tusaidie kujua sifa zake ili nasi tupate pa kuanzia ktk kumpima msukuma
 
Maadui wakuu wa taifa:
(1) Ujinga
(2)Umasikini na
(3)Maradhi.
Adui namba moja hapo juu ndo anamsibu Mh. Msukuma. Pia hakana staha kale kajamaa ni ka kupuuza tu.
Mna uhakika hao ndiyo maadui ?

Adui mkuu wa taifa hili ni mmoja nae ni CCM
 
Mheshimiwa Msukuma amepata umaarufu mkubwa siku za karibuni haswa kwa kumkejeli Profesa Muhongo mwenye kuamini kwamba umeme wa gesi ni suluhisho la suala zima la nishati hiyo. Ni mawazo ya Profesa Muhongo na anao uwezo wa kuyatetea kwa hoja kila anaposimama na kuongea bungeni.

Naona kama Msukuma anakwenda mbali sana anapoamua kumkejeli Profesa na akawaweka katika kundi moja maprofesa wote kwa kigezo cha kutokubaliana tu na mitazamo yake. Ujinga ni mzigo mzito sana na upo uhakika hao mabilionea na mamilionea wanaojulikana kila kona wanawategemea wasomi wenye elimu za juu.

Tutakuwa tunapotea kama Taifa tukianza kukubaliana na dhana hizi za darasa la saba kuwa na manufaa na mafanikio kiasi cha wenye elimu kubwa kuanza kuonekana hawana maana. Ni kosa kubwa sana tutakuwa tunalifanya.

Wanaokesha usiku ndani ya maabara kubwa za mataifa yaliyoendelea wakitafuta kila aina ya chanjo dhidi ya Covid19 ni wasomi wa viwango vya juu. Na matokeo ya elimu zao wameanza kuzaa matunda kwani miezi michache ijayo dunia kwa maana ya ile ya watu kuchanganyika wakifanya shughuli mbalimbali itaanza kurudi kama ilivyokuwa zamani.

Wanaoandika ilani na kuwawezesha wagombea wanaopanda majukwaani ni wataalam wa fani mbalimbali. Hivyo Msukuma kuwepo kwake mle bungeni ni matunda ya hao hao wasomi anaowakejeli kisa tu ametofautiana kimtazamo na Prof Muhongo.

Ujinga kama alivyowahi kusema Hayati Mwalimu Julius Nyerere pale Karimjee miaka ya nyuma ni sawa na uchi wa akili. Ndio sababu hata wanamichezo ambao wanafanikiwa wakiwa na elimu ndogo, wakishapata pesa za kutosha huamua kutafuta elimu ambayo waliikosa hapo kabla, lengo ni kuuvalisha nguo ubongo.

Wenye elimu ya darasa wanaoweza kufika alipofika Mheshimiwa mbunge Msukuma ni wachache sana. Na sekta zetu nyingi zimekuwa zikikwama kwa kukosa maarifa sahihi ya wakati husika. Uendeshaji wa taasisi zetu nyingi ukiuchunguza kwa undani unagundua upungufu mwingi unaotokana na elimu kuwa ni ndogo pamoja na wahusika kukosa ufahamu mpana wa kitu wanachokifanya, wanakosa exposure.

Nimemuelewa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu kumkabidhi wizara ya mambo ya nje Mama Liberata Mulamula, anataka aitumie exposure yake kubwa katika kujenga taswira chanya ya Tanzania kimataifa. Inakuwa ni aibu unapomsikia mbunge anakejeli elimu wakati ndio silaha namba moja ya mataifa yaliyoendelea.

Kejeli anazokutana nazo Prof Muhongo zinawahusu pia maprofesa wengi ambao wamefanya mengi ya maana na yenye kuonekana kwa faida ya taifa. Ni mawazo fulani duni kuiponda elimu eti kwa sababu ya kutofautiana mitazamo na msomi mmoja
Muhongo anataka vyanzo vya nishati viwe vingi badala ya kutegemea maji tu.Hakupinga nishati ya maji.
 
Uhalali wao wanaupata toka kwa wasomi stori zao msukuma na wajinga wenzie upi toka kunufaika na wizi na kuiba kodi. Msukuma kaiba madini yetu sana. Kishimba mpaka kuna wakati alikimbia nchi.
Wasomi ndio wahasibu wao, madaktari wao, wanasheria wao etc. Wanapojamba jamba ni sababu tu mfumo wa Tanzania unambeba sana mwanasiasa na kumbeza msomi.
Wasomi waheshimiwe nchi itaendelea.
 
Prof kazingua! Acha ale za uso.
Kukosa kwake uwaziri isiwe sababu ya kuwapotosha watanzania, kwa taarifa yake Tz ya Sasa sio ile ya zamani tuna upeo mkubwa wa kuchanganua mambo., Atulie ameshaaibika!
 
Back
Top Bottom