Prof. Muhongo asema kuwa hii habari ya 16% Share kwenye Madini huenda tumeliwa!

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,498
51,092
Kama Taifa bado hatujatuliza vichwa ipasavyo katika ishu za madini. Hatujui vizuri biashara yake, na wala hatujui hata thamani halisi ya madini yetu ukiachilia mbali vipesa mbuzi. Kiufupi bado akili zetu ni zilezile za kugawa Almasi kwa Shanga.

Profesa Muhongo ameongea vizuri sana bungeni. kuwa bila kuwa ndani ya management ya kampuni hizi za madini zinazowekeza kwetu, hii asilimia 16 share haitotufaa kitu chochote. Maana hawa watu watu watakuwa wana under declare kiasi cha pesa wanachopata, wewe kazi yako itakuwa kusubiri mgao tu, tena watakaoamua wao!

Tunahitaji mjadala wa kitaifa juu ya madini, na kuanzia sasa serikali iache kuingia mikataba mipya ya madini mpaka Watanzania tutakapojiridhisha kuwa haya mambo sasa tunayajua na kuyaelewa vizuri. So far hadi sasa, Serikali yetu haijui vizuri inafanya nini katika suala la madini.

1. Tumepigwa kiasi cha kutosha kwenye dhahabu.

2. Tumeingia mkataba mbovu ajabu wa madini ya Nickel huko Kabanga.

3. Na juzi hapa tumeingia mkataba mbovu kwenye madini ya Rare earth metals.

Sikiliza hii clip ya Profesa Muhongo na John Heche wakizungumzia jambo hili la madini.

 
Kuhusu "kuliwa", hilo lipo wazi; lakini hata hiyo kuwa ndani ya "management" haisaidii chochote! Akina Mnyika si walikuwa ndani ya management' ya Acacia, tukawa tunapigwa hadi Acacia' wenyewe 'guilty conscious' ikawalemea!

Kwa upande wa pili, haya makampuni huko kwao yanalazimika kutoa taarifa sahihi kuhusu shughuli zao na mapato yao kwa wenye hisa zao. Kwa hiyo siyo kazi ngumu kufuatilia kujua uhalisia wa mapato ya makampuni yenyewe.

Sema tu hatuna 'interest' tukishapewa fungu letu wanalopata watu maalum ndani ya serikali yetu; watu kama huyo huyo Mhongo mwenyewe!
 
Prof. Muhongo is a good lecturer, tatizo akiingia kwenye system, huwa tunashindwa kuona impacts za yale ayasemayo, infact ni lazima Tanzania iwe na uwakilishi wa watu waaminifu kweli kweli na walokole ndani ya makampuni haya KATIKA KULINDA MASLAHI YA TAIFA LETU,NA HAKI ZAKE STAHILI. NO WAY OUT.
 
Prof. Muhongo is a good lecturer, tatizo akiingia kwenye system, huwa tunashindwa kuona impacts za yale ayasemayo, infact ni lazima Tanzania iwe na uwakilishi wa watu waaminifu kweli kweli na walokole ndani ya makampuni haya KATIKA KULINDA MASLAHI YA TAIFA LETU,NA HAKI ZAKE STAHILI. NO WAY OUT.
Ulipotaja walokole umenihamisha, kumbuka hata gwajiboy ni mlokole
 
Hiki kiherehere kilikuwa cha nani? Huu uharaka ulikuwa wa nini? Yani juzi tu tumetoka kulumbana na haya makampuni na tukawa kwenye kadi zao za kuwa [Litigious] ikiwa na maana kiherehere kimetoka kwetu. Isitoshe tumekuwa tunapigana tano ati tunakusanya mapato mazuri kutoka kwenye madini.....why not wait for the next perfomence? review ....wakajipindisha
MON ameelezea vizuri hapa.....ninamnukuu
Tunahitaji mjadala wa kitaifa juu ya madini, na kuanzia sasa serikali iache kuingia mikataba mipya ya madini mpaka Watanzania tutakapojiridhisha kuwa haya mambo sasa tunayajua na kuyaelewa vizuri. So far hadi sasa , Serikali yetu haijui vizuri inafanya nini katika suala la madini.
Bunge letu liwekeee serikali moratorium.....mpaka kieleweke. Kama wanaweza katizo au sijui wanaita ushauri kutoshugulikia CAG mpaka wakati wake:rolleyes: basi wafanye vivyo hivyo katika masuala haya nyeti ya Taifa. Haya maagizo kutoka juu....Duh!
 
Mhongo ni kati ya professor wa hovyo kabisa tz.hana faida yeyote zaidi ya kujidai ni msomi kupita watu wote duniani wakati ukweli ni kilaza tu.kipindi akiwa waziri alikwamisha wawekezaji wa ndani.
 
Kuhusu "kuliwa", hilo lipo wazi; lakini hata hiyo kuwa ndani ya "management" haisaidii chochote! Akina Mnyika si walikuwa ndani ya management' ya Acacia, tukawa tunapigwa hadi Acacia' wenyewe 'guilty conscious' ikawalemea!

Kwa upande wa pili, haya makampuni huko kwao yanalazimika kutoa taarifa sahihi kuhusu shughuli zao na mapato yao kwa wenye hisa zao. Kwa hiyo siyo kazi ngumu kufuatilia kujua uhalisia wa mapato ya makampuni yenyewe.
Sema tu hatuna 'interest' tukishapewa fungu letu wanalopata watu maalum ndani ya serikali yetu; watu kama huyo huyo Mhongo mwenyewe!
Bwana Kalamu, Kwa watu ambao tunatofautiana na jinsi tunavyo ripoti mapato (Financial Report) ni vigumu sana sana kudadavua Ukweli wa Taarifa zao....mfano[naomba ujiridhie na Fourth Directives ya 1978 ya EU kama mfano na mwongozo] Maagizo ya EU (1978) kuhusu usawa wa sheria ya kampuni na mazoea ya uhasibu katika nchi wanachama. Ndipo utaona ugumu ulipo wa kudadavua "Taarifa sahihi" kutoka kwao. Nasisitiza, kuchukulia kama mfano huo wa EU. Huko Australia utakuwa vipi...labda idondokee kwenye Uhasibu wa "Jumuiya ya Madola" . Hatahivyo kufanya hivyo ina maana tayari umeshapigwa na unataka kufanyike uhakiki wa mapaato yao....too late. Tuanchotakiwa kuwa nacho mwanzoni ni kuhakikisha tunajua thamani ya madini hayo. Nafikiri hapo ndipo kwenye kasoro na ndipo tulipopigwa. Ingekuwa dhahabu, labda ni sawa, lakini ikiwa suala ni la Rare earth minerals hapo tungewashikia na hata kuwatingishia kiberiti.

Mkuu umegusa penyewe. Kukosa 'interest' mie naita kiherehere, Tulipata wapi hicho kiherehere? manake sidhani kama walikosa "Interest" bali walipuuza "Interest" kwa mustakhabali wa nchi na kufanya Kiherehere kwa maslagi yao binafsi. Mkuu nafikiri wote, wadau wa hayo makampuni hawakuwa wakweli na waau wetu hawakuwa makini au walijizimisha data.
 
Kama Taifa bado hatujatuliza vichwa ipasavyo katika ishu za madini. Hatujui vizuri biashara yake, na wala hatujui hata thamani halisi ya madini yetu ukiachilia mbali vipesa mbuzi. Kiufupi bado akili zetu ni zilezile za kugawa Almasi kwa Shanga.

Profesa Muhongo ameongea vizuri sana bungeni. kuwa bila kuwa ndani ya management ya kampuni hizi za madini zinazowekeza kwetu, hii asilimia 16 share haitotufaa kitu chochote. Maana hawa watu watu watakuwa wana under declare kiasi cha pesa wanachopata, wewe kazi yako itakuwa kusubiri mgao tu, tena watakaoamua wao!.

Tunahitaji mjadala wa kitaifa juu ya madini, na kuanzia sasa serikali iache kuingia mikataba mipya ya madini mpaka Watanzania tutakapojiridhisha kuwa haya mambo sasa tunayajua na kuyaelewa vizuri. So far hadi sasa , Serikali yetu haijui vizuri inafanya nini katika suala la madini.

1. Tumepigwa kiasi cha kutosha kwenye dhahabu.

2. Tumeingia mkataba mbovu ajabu wa madini ya Nickel huko Kabanga.

3 .Na juzi hapa tumeingia mkataba mbovu kwenye madini ya Rare earth metals.

Sikiliza hii clip ya Profesa Muhongo na John Heche wakizungumzia jambo hili la madini.

View attachment 2604252
Wakati akiwa waziri wa mqdini Muhongo alifanya nini kuzuia tusidhulumiwe?

Mnafiki mkubwa baada ya kuona JPM amerekebisha mikataba mibovu ambayo yeye akiwa waziri alichangia kuiweka sasa anajifanya ana uchungu. Mbona hakumshauri JK wakati akiwa waziri wake? Hiyo 16% ni zao la JPM , pia JPM alienda mbali zaidi kwa kuweka sharti la kuwa na kampuni ya pamoja ya ubia katika mafini mfano kampuni ya Twiga.

Tulipo sasa kimkataba ni pazuri sana kuliko wakati wa swahiba wake JK.

Muhongo huyu aliyepinga hata bwawa la kufua umeme la Rufiji lisijengwe ili kutetea ufisadi walioufanya kwenye gesi.
 
Tuwekeze kwenye Elimu Kisha Tuchimbe wenyewe!

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
Vyuo vyetu vingi vinashindana na our development partners kufund applied research badala ya kudeal na basic research katika context ya mazingira yetu.

Kupitisha mradi wa kudesign system ama ku analyse micro structure ya substance mpya kwenye mchujo wa kupata fund za vyuo vyetu ni vigumu sana.

Wapo tayari kufund research za assessing the awareness of... badala ya zile developing a system to solve ....
===
Pia mkazo, tuuweke kufundisha watoto wetu kujifunza namna ya kujifunza(research methods)na kuelewa vitu badala ya kuwafundisha kuelewa vitu tu.
 
Kuhusu "kuliwa", hilo lipo wazi; lakini hata hiyo kuwa ndani ya "management" haisaidii chochote! Akina Mnyika si walikuwa ndani ya management' ya Acacia, tukawa tunapigwa hadi Acacia' wenyewe 'guilty conscious' ikawalemea!

Kwa upande wa pili, haya makampuni huko kwao yanalazimika kutoa taarifa sahihi kuhusu shughuli zao na mapato yao kwa wenye hisa zao. Kwa hiyo siyo kazi ngumu kufuatilia kujua uhalisia wa mapato ya makampuni yenyewe.
Sema tu hatuna 'interest' tukishapewa fungu letu wanalopata watu maalum ndani ya serikali yetu; watu kama huyo huyo Mhongo mwenyewe!

Unacho sema ni kweli kabisa…..ki ukweli hata akae mtu kwenye management bado tutaliwa tu kuwa tumejaa tamaa na ubinafsi….
 
Kama Taifa bado hatujatuliza vichwa ipasavyo katika ishu za madini. Hatujui vizuri biashara yake, na wala hatujui hata thamani halisi ya madini yetu ukiachilia mbali vipesa mbuzi. Kiufupi bado akili zetu ni zilezile za kugawa Almasi kwa Shanga.

Profesa Muhongo ameongea vizuri sana bungeni. kuwa bila kuwa ndani ya management ya kampuni hizi za madini zinazowekeza kwetu, hii asilimia 16 share haitotufaa kitu chochote. Maana hawa watu watu watakuwa wana under declare kiasi cha pesa wanachopata, wewe kazi yako itakuwa kusubiri mgao tu, tena watakaoamua wao!.

Tunahitaji mjadala wa kitaifa juu ya madini, na kuanzia sasa serikali iache kuingia mikataba mipya ya madini mpaka Watanzania tutakapojiridhisha kuwa haya mambo sasa tunayajua na kuyaelewa vizuri. So far hadi sasa , Serikali yetu haijui vizuri inafanya nini katika suala la madini.

1. Tumepigwa kiasi cha kutosha kwenye dhahabu.

2. Tumeingia mkataba mbovu ajabu wa madini ya Nickel huko Kabanga.

3 .Na juzi hapa tumeingia mkataba mbovu kwenye madini ya Rare earth metals.

Sikiliza hii clip ya Profesa Muhongo na John Heche wakizungumzia jambo hili la madini.

View attachment 2604252
Aulizwe Kabudi na kina Mwendazake walioileta 😁😁

Japo Sina uhakika Kwa anachosema Kwa sababu unaposema hatuingii kwenye Management na wakati Huwa zinaundwa kampuni tanzu Zenye uwakilishi wa Serikali kwenye Management inaleta mkanganyo..

Nimemsikia Dotto akisema tutakuwa na uwakilishi kwenye management ya kampuni tanzu Kwa level zote.
 
Back
Top Bottom