Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,676
- 22,265
Potelo, Anjari na Vimto vipo uhindini.Potelo kinywaji Cha enzi hizo na nguo zimeandikwa Babu kubwa daah maisha ni safari
Potelo, Anjari na Vimto vipo uhindini.Potelo kinywaji Cha enzi hizo na nguo zimeandikwa Babu kubwa daah maisha ni safari
Zipo kasoro AnteparBasi sijaziona muda sana aisee Mkuu.
Sidhani kama hizi dawa bado zipo. Japo umenikumbusha mbali na hasa hizo andrews yale mapovu yake. Uwiiii.
Wapi mkuu?Hata cow boy bado zipo mkuu.
Zile tumetafuna sana aisee.Sizioni kabisa. Pipi zangu pendwa.
Chai jaba. 😂😂
Mimi naitwa jambo Ndogo. 😅
Duuh! Kweli tumetoka mbali.Kuna dawa ya kikohozi ilikuwa inaitwa “Mkojo wa Punda”
Mbona hivyo Bado vipo tele, watu tunatumia mtungi badala ya fridge, vyungu pia vimejazana Dar-Mtungi wa maji ya kunywa
-Kibuyu cha kuhifadhi maziwa
-Chungu cha kupikia chakula,msosi
wake mtamu sana
Wali ulipikipiwa kwenye Chungu-Mtungi wa maji ya kunywa
-Kibuyu cha kuhifadhi maziwa
-Chungu cha kupikia chakula,msosi
wake mtamu sana
Ulikuwa mhuni wewe.Waptrick.com
Rehema mwakangale kwenye taarifa ya habari. Mtu wa makandana Tukuyu.RIP Nyaisanga, Misanya, Rehema Mwakangale na wengine
Hahaha hatariDadeki revola nilikuwaga naiskia tu redioni. Bila shaka ilikuwaga Sabuni hii ya kuogea. Ila enzi hizo Mimi Sabuni ya kufulia ndio ilikuwa hiyohiyo ya kuogea iliitwa Mbuni na Ukikosa kabisa kulikuwa na matunda flani tulikuwa tunayatumia kama Sabuni na yalitakatiaha nguo vizuri tu.
Uhujumu uchumi🤣Kimbo bado ipo upande wa Kenya sisi tulikuwa tunanunua kwa kuiba kutoka Kenya na ole wako ukamatwe inaitwa Magendo shikamoo Nyerere
Onga ipo mkuuKomoa
aha dawa ya meno
Onga mchuzi mix
Baiskeli ya Phoenix ( Fonex)
Simu za Siemens, HTC, Panasonic
Utakuwa umehama.nchi. sabunni ya codray vimto ayu soap vipoooKinywaji cha Vinto.
Gazeti la Alasiri.
Sabuni ya Codray.
Chupi za VIP.(Taiwani)
Sabuni za AYU.
Sizioni sana sokoni kwa huku nilipoHizi bidhaa mbili ulizozitaja bado zipo madukani: Onga na baiskeli phoenix.